mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,257
- 2,933
Nilikuwa nafikiria hili suala tangu zamani kwamba akija mwekezaji mmoja akatumia akili kidogo tu ya kuongeza ujazo wa maji katika chupa basi wateja wote watakimbilia kwake,na kweli maji ya jambo yalithibitisha ndoto yangu maana aliongeza ujazo kutoka 1.5 mpaka 1.6 na 0.5 mpaka 1.6 na kweli alisepa na Kijiji Kanda ya ziwa yote ni JAMBO sijajua sehemu nyingine.Wafanyabiashara wajifunze kuacha tamaa ya kupata faida mara dufu,hivi ukiongeza ujazo wa maji wewe ukapanda Hadi litre 2 Kwa bei ile ile ya lt 1.6 utapungukiwa nini!??? Mbona maji yamejaa tele unit Moja ya maji ni 1100 ina maana unatoa chupa kibao