Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,190
- 5,045
acha mchina awapge bao wazawa maana mfano mi npo kanda ya ziwa kampuni ya jambo jamukaya anatengeneza maji, juice nk lakn bei anayouza uku kanda ya ziwa ni sawa na juice na maji ya azam uhai, wkt jambo yeye gharama za usafiri zko chini tofauta na bidhaa za azam znatoka dsm ilitakiwa ili ateke soko kanda ya ziwa maji ya buku auze hata jero tu, halafu uko dsm ndo auze bei kubwa, azam nae ilitakiwa kwa dar na pwani na morogoro,tanga, mtwara, lindi angeshusha bei sbb gharama za usafiri si kubwa.Jana nipo Kariakoo nikaagiza maji nikaletewa maji haya muuzaji akinambia yanaitwa “Mshangazi” ikabidi nicheke.
Nikaambiwa wengine wanayaita “Bonge la Dada”
Mchina kaja na maji mengi kwa bei ileile nafuu, yaani 1.8L
Wazawa wamelala, wakija kushtuka hawana chaoView attachment 3532995View attachment 3532997