Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 2,235
- 4,382
Ndo issue hapo.Wabongo wanaweka faida kubwa huku wakiwaachia mawinga waweke faida mara mbili; halafu wanasingizia wachina. Wachina wana elimu ya biashara.....hela ya winga mwenye duka ndiye analipa sio mteja
Siku wafanyabiashara wakitoka usingizini watajua kuwa, Mawinga ni tatizo kubwa kuliko Wachina
Kuhusu Predatory pricing, wala haiko applicable hapo.....kwa sababu wachina wanauza kwa profiti magin kubwa tu...
Lakini naona predatory pricing ina apply, maana hata wauzaji wa jumla wanasema kwamba mchina anawaachia margin kubwa kuliko margin wanayotoa haya makampuni mengine ya wabongo