Si mlisema wafanyabishara wa Kariakoo wana tamaa. Vipi tena na maji yanazalishwa Kariakoo?
Bado kwa wavuvi vilio vinakuja, Wachina wana mashamba ya samaki kule kwao zimejaza mercury na sumu nyingine wanakuja kuuza bei ya kutupa soko la bongo.
Bado kwenye supermarkets, nazo mtasema ni za Kariakoo.
Bado kwenye madini, kilimo na kila sekta.
Industry ya drinking water kwa China ni kubwa kuliko jumla ya biashara zote zinazofanyika Tanzania sijui madini, kilimo, viwanda, etc. Sasa unategemea nini?
Wakati mbongo anakopa kwa interest isiyo chini ya 16% Mchina wakati huo anakopa kwa around 2%.