John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,060
- 1,957
Kaa kwa kutulia Kilaza wewe!Kumbe GENTAMYCINE aliposoma pale SAUT Darasa la ( 2006 - 2009 ) alisomea Sociology.
Pole kwa kuwa na huo Ubongo wako Uliosindikwa Mkuu na wahi Tiba Mirembe Hospital.
Oya Mheshimiwa Moses Machali niliyesoma nawe SAUT na Kukaa nawe Hostel ya Watukutu na Werevu ya Darfur na nikawa 'nakuonea' mno kwa 'Ubabe' wangu hebu mwambie huyu Zuzu ( Humbe ) nilisomea Kozi gani / ipi.
Hivi hata huo uchafu unaoitwa bunge, usipokuwepo, kutakuwa na tofauti gani?Hili bunge hata lisipokuwa na spika mi naona poa tu.
Kwahiyo hata akipewa Tulia au mwanae au mjomba wake mimi naunga mkono hoja.
Ngoja niendelee kuutafuta ule mpira uliopotezwa na ile timu iliyofungwa magoli 11 kwenye mechi tatu
Wazo la kufutwa hii takataka inayoitwa Bunge, naunga mkono.Kwani tuna bunge Tanzania? Sijawahi ona umuhimu wa bunge la Tanzania, nafikiri hata wakimweka DR. Msukuma poa tu,
Tuliwahi kuwa na bunge kipindi fulani alikuwepo Spika mmoja anaitwa Samweli Sitta, pale ndo tulikuwaga na bunge
Sasa hivi hamna chochote hata wakimweka kibajaji sawa tu, au kama vip kuondoa gharama za uendeshaji wa bunge ambazo tunatishwa watanzania lifutwe kabisa!!
Uliishia darasa la ngapi? Siyo hopeless and fool, ni hopeless fool. Na unaposema certified mental, unamaanisha nini? Tafuta walimu wa chekechea, wapo wanaofahamu Kiingereza vizuri, watakufundisha. Hutakuwa na hiki Kiingereza cha kurushia neno moja moja mahali pasipostahili.Kama unavyomuona kuwa She's that Hopeless and Fool hata Sisi JF Brainy ( Einstein ) Members tunakuona nawe si tu ni Hopeless and Fool bali pia ni Certified Mental Jamvini hapa.
Kuna Wapuuzi wanamharibia atapita tu.
Masele ni mbunge wa wapi?Masele Naibu?
Acha kuleta ujenda hapaGENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
God forbid!!! Kwanza yule mama ni katili na mshamba
Kuuliza si ujinga. Kwenu wataalamu wa sheria;
Tulia kachukua fomu ya kugombea U-spika.
Je, itakuwaje nafasi ya U-naibu Spika ikitokea Tulia kashinda kuwa Spika wa bunge?
Je, atashikilia nafasi zote mbili, yaani U-naibu Spika na Spika?
Au Tulia atajiuzulu nafasi ya U-naibu hivyo CCM watatangaza tena nafasi ya U-naibu Spika?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
As for Tulia's performance whenever she presided over parliamentary proceedings; she never showed seriousness when discussing serious issues for instance when she entertained childishness whenever Goodluck Mlinga then a member of parliament rose unnecessarily to raise points of order!!! A serious Speaker would never have entertained such time wasting stupidity.
Hapa sikuelewi; ulitaka asi respond to the point of order raised by the Mp??!!
Kichaa kabisa wewe.GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
😍GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
🤣Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.
Kumbe hata wee umo ktk kundi la wachumia tumbo, elim bora ni ya kuzliwa nayo, ya darasan ni nyongezaGENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
We km nani hata usipowapenda?Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.
Eti brainy, jinga sanaKama unavyomuona kuwa She's that Hopeless and Fool hata Sisi JF Brainy ( Einstein ) Members tunakuona nawe si tu ni Hopeless and Fool bali pia ni Certified Mental Jamvini hapa.