Duuuh weee noumaa mnooo yaaani bonge la msanii,Tu tu tu tu tu tutu tutum tutumie vyema rasilimali tulizopewa na Mungu. Msishangae jamani, mimi nna kigugumizi mpaka kwenye kuandika
Hapa ulipaswa uanze na tuWazuri tu ndio chanzo cha magonjwa.
Kulibinya ni njia nzuri ila ni mbaya sana kwa jipu uchunguNamna nyingine yakukamua jipu ni kulibinya
Yake imekua ngumu kidogo kuanzishia sentensi bora ungemalizia na kukurupukaKukurupuka nako wakati mwingine kuna faida yake
unasinzia ni neno la ovyo kabisa kumtamkia mwanza wako mkiwa kitandaniKukurupuka tena itakuwa ulikuwa unasinzia
Kitandani ukilala afu mtu akikustua una kurupukaunasinzia ni neno la ovyo kabisa kumtamkia mwanza wako mkiwa kitandani
kitandani ni kutamu ukilala na demuunasinzia ni neno la ovyo kabisa kumtamkia mwanza wako mkiwa kitandani
Kurupuka inapendeza kuanzishia sentensi.jipu hebu irudishe tena kurupukaDemu kwako kwa mwingine ni mke akikufuma lazima uta kurupuka
Kurupuka ni neno la mwisho la mchangiaji wa mwisho wa uzi huu kadri ya utaratibu uliowekwa natakiwa kuanzisha sentensi nyingine kuanzia na neno kurupukaKurupuka inapendeza kuanzishia sentensi.jipu hebu irudishe tena kurupuka
Kukurupuka humtokea kila akichelewa kuamkaDemu kwako kwa mwingine ni mke akikufuma lazima uta kurupuka
