mwenyewe ndio mimi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 347
- 212
Kuamka kwa kuchelewa huwa ni kukurupukaKukurupuka humtokea kila akichelewa kuamka![]()
Kuamka kwa kuchelewa huwa ni kukurupukaKukurupuka humtokea kila akichelewa kuamka![]()
Kukurupuka ukichelewa kuamka ni kawaida sana kwa wenye ajira serikalini kipindi hiki cha uongozi wa Magufuli. Kama unabisha jaribu kesho kuchelewa kuamka lazima uta kurupukaKuamka kwa kuchelewa huwa ni kukurupuka
Haujakimbia kwakuwa haujakurupushwaUnapokurupushwa angalia anayekukurupusha kabla haujakimbia.
Ziara za kushtukiza zina sababisha watu wanafanya maamuzi kwa kukurupukaUtakutupushwa na mkeo baada ya kutambua umechelewa ofisini na magufuri kafanya ziara ya kushtukiza
Kujikurupusha ni kujiongopea mwenyewe .labda ukurupukeKukurupuka sio lazima ukurupushwe waweza pia jikurupusha ukimpata chance ya kujikurupusha na ukatafuta sababu ya kujikurupusha
Ukurupuke ukianguka je..??!Kujikurupusha ni kujiongopea mwenyewe .labda ukurupuke
Utakapokurupushwa kuna mawili huweza kutokea uanguke au ukimbie .ila usiogope hayo we mkurupusheJe?? Ucpoanguka utakapokurupushwa
Hakurupuki??bado huyo hajakutana na wakurupukaji /wakurupushwajiMkurupushe hata kama hakurupuki