Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,931
Wakurupushwaji lazima wamwogope mkurupushaji akiwakurupuaHakurupuki??bado huyo hajakutana na wakurupukaji /wakurupushwaji
Wakurupushwaji lazima wamwogope mkurupushaji akiwakurupuaHakurupuki??bado huyo hajakutana na wakurupukaji /wakurupushwaji
Akiwakurupua wanachukia na wanaweza hata kupigana na mkurupushajiWakurupushwaji lazima wamwogope mkurupushaji akiwakurupua
Wakurupushwaji lazima wamwogope mkurupushaji akiwakurupua
Migomba mingi inapatikana moshi,mbeya,k.njaro na bukobaAkiwakurupua hasa kwenye migomba.
migomba? eboo!! huko hapana kabisaaAkiwakurupua hasa kwenye migomba.
mingi sana iko.bukoba wala kwa kweli
Wapi dar!? Ipo bana tena yakutosha sasa hizi ndizi zinatoka wapi
1 ya timu zilizombovu kwa sasa ni man unitedWapi aliko siku hizi Lara 1
United chama langu ila linataka kunisababishia pressure1 ya timu zilizombovu kwa sasa ni man united
pressure sio ndogo ni kubwa sana ata soton wanatufunga?United chama langu ila linataka kunisababishia pressure
Wanatufunga? hawajatufunga ila walibahatisha wale.pressure sio ndogo ni kubwa sana ata soton wanatufunga?
Wale wote hamna kitu sisi ndio kiboko yaoWanatufunga? hawajatufunga ila walibahatisha wale.

Watayaweza wapi ?waache wakaange mmbuyu watuachie wenye meno tuleYao yanawashinda yetu watayaweza.?

Watayaweza wapi ?waache wakaange mmbuyu watuachie wenye meno tule![]()

namtafuta mwanzilishi wa uzi huu au niuite mpambano.mkuu huyu anaitwa wambuzi
wambuzitafadhali njoo nikupe
la ubunifu