Mafanikio ni sehemu ya struggle and hard working,Maarifa ndo chanzo cha mafanikio
Mungu akubariki kwa kila jambo ulifanyaloMafanikio tuliyonayo ni kwa neema za Mungu
Maarifa ndiyo nguzo katika kila kituMungu hapendi tutaabike Ila amemruhusu shetani atujaribu kutupima imani yetu,sasa na asiimia kubwa tumemgeukia shetan na kuamin ule usemi watu wanaangamia kwa kuksa maarifa
Kitu kidogo kikisimama Kikubwa hakifanyi kaziMaarifa ndiyo nguzo katika kila kitu
Aje wapi me nimeshajifungia ghetto kimya,Pichu?? Ahhh mambo sio hadharani hivyo mdogo wangu, ngoja dada yako aje.
Kijana vipi tena hiyo ni typing errorToxic9 kukosea jina langu ni kosa la jinai Jamhuri itakufungulia mashtaka kijana
Umebadika tangu nilivyokuambia namuomba Mdogo wako sio vizuri dadaTena wewe ndo umebadlilka
Jamani Jana ilikuaje sijui yani maana, wakati nasikiliza mpira redioni Mara usingizi huo nashtuka saa 8 sijafunga mlango taa inawaka bado kidogo nikimbie nikaisi nishaibiwa kumbe uchovu tu,Pichu ndo nini tenaa gbefa, sina hamu mie Yanga yangu jamani
Yangu macho mwaka huu kama hujaiva ukawa mweupeee maana unajifungia Ghetto sanaAje wapi me nimeshajifungia ghetto kimya,
Wazima humu wapendwa wa nchi yangu!?
Dada yako sakayo umuache, ana mengi ya kimajukumu yanamsumbuaUmebadika tangu nilivyokuambia namuomba Mdogo wako sio vizuri dada
Vile unajifanya umepoteza kumbukumbu ehh ngoja wanachama wa yangu waje watakuambia matokeoJamani Jana ilikuaje sijui yani maana, wakati nasikiliza mpira redioni Mara usingizi huo nashtuka saa 8 sijafunga mlango taa inawaka bado kidogo nikimbie nikaisi nishaibiwa kumbe uchovu tu,
Matokeo ngapi ngapi vile!?
gbefa kapole, katiifu,kana juhudi, kachangamfu hadi nakapenda kweliAje wapi mie mmenishinda tabia, hivi kwa nini lakinii mdogo wangu gbefa
Hajatulia kwa sababu umemzoesha vibaya, wapendanao wakigombana chukua jembe ukalime, mie simo jamaniHali yake au hali yenu, mdogo wangu gbefa njoo unichukue huyo nae hajatulia
Jamani haka kanchi tukauze tugawane hela tukanyongee bangeHajatulia kwa sababu umemzoesha vibaya, wapendanao wakigombana chukua jembe ukalime, mie simo jamani
Jamani usiseme hivyo mdogo wangu, mie penda wewe tuuHajatulia kwa sababu umemzoesha vibaya, wapendanao wakigombana chukua jembe ukalime, mie simo jamani
Tuu tuu mtu na mdogo wake, okey nyie mimi siwawezi tena, nimejaribu kunyayua mikono kuashiria am a loosing sideJamani usiseme hivyo mdogo wangu, mie penda wewe tuu
Sana itabidi iwe hivyo tu maana am black sanaaYangu macho mwaka huu kama hujaiva ukawa mweupeee maana unajifungia Ghetto sana
Matokeo ya mpira sio kama ya mtihani unasubiri weeee halafu unaweza ukafeli Ila ya mpira aah kitu hapo hapo inauma lakini me ni Yanga jamaniVile unajifanya umepoteza kumbukumbu ehh ngoja wanachama wa yangu waje watakuambia matokeo