goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Siondoki nyumbani bila kuweka mambo yangu sawa ya muhimu.Tanzania naipenda sanaaaaa tu nchi yetu Hata iweje siondoki.
Siondoki nyumbani bila kuweka mambo yangu sawa ya muhimu.Tanzania naipenda sanaaaaa tu nchi yetu Hata iweje siondoki.
Siondoki nyumbani bila kuweka mambo yangu sawa ya muhimu.
Udhaifu wetu wa kutokuwa makini 2015 ndo inetufikisha hapaSiku zinasonga na serikali ya jk inazid kuonyesha udhaifu.
Muhimu ni kutafuta pesa kula kwangu sio tatizo.Muhimu urudi kazini goldie Inc.Au unakunywa chai?Kazi muhimu
Mkuu tupo pamoja, tulisongeshe gurudumu la maishaBabukubwa NI wewe toxic9 maana unawakilishi
Mkuu
Jioni ehh naona unatoa amri kama kama mheshimiwa magufuliMkuu...
Habari za asubuhi na wana jf kwa ujumla naamini mmeamka salama na huu muda wa kupambana kutafuta riziki hivyo tunaomba radhi kwa memba wote wa jf tukutane hapa mida ya jioni.
Tanzania imejaliwa rasilimali nyingi sana zimekosa mikakati na ufanisi namna za kuitumiaJioni nimemaanisha kwa nchi za afrika ya mashariki hususani nchi ya Tanzania.
Muhimu sana kushika amri za Mungu sawa kijana, kuliko kumtukuza illuminati kama unavyofanyaSiondoki nyumbani bila kuweka mambo yangu sawa ya muhimu.
Hapa tulipo ndiyo mahali pake, mlitaka tuwe na serikali inayobeba mtaka rushwa, na inayotumia fedha za walipa kodi hovyo?? Mlitaka tushinde usiku na mchana kuandamana kila kukicha?? tuache siasi zisizo leta tija tujenge taifa letu, changia pato la taifa GDP kwa kulipa kodi kwa kadri inavyo stahiliUdhaifu wetu wa kutokuwa makini 2015 ndo inetufikisha hapa
Tatizo unaitafutaje pesa huku una njaa hii kibokoMuhimu ni kutafuta pesa kula kwangu sio tatizo.
Stahili zako ndo zipi? Maana unalipa kodi afu dawa hakuna, mishahara hakuna, elimu ina dolola, majanga yanatokea unaambiwa mwafwaa. Kodi unayolipa inaenda wapi?Hapa tulipo ndiyo mahali pake, mlitaka tuwe na serikali inayobeba mtaka rushwa, na inayotumia fedha za walipa kodi hovyo?? Mlitaka tushinde usiku na mchana kuandamana kila kukicha?? tuache siasi zisizo leta tija tujenge taifa letu, changia pato la taifa GDP kwa kulipa kodi kwa kadri inavyo stahili
Wapi unapo fanyia kazi haulipwi mshahara mbona tuna vyombe vinavyo simamia wafanyakazi nenda TUKTA, lete takwimu kuonyesha elimu ina dolola tusionge kufurahisha genge kwa ufupi takwimu zinaonyesha wanafunzi wasio juwa kuandika na kusoma imepungua tena kwa asilimia kubwa ukilinganisha na awali, majanga yametokea bukoba serikali ilisaidia inapoweza ilitoa mabati, cements kwa wananchi nk, haiwezi kumjengea nyumba kila mtu, pia imejenga hospitali zilizo pata mushkeli na kuongeza nyingine mkoani bukoba, pia miundombinu iliyopata majanga wameweka sawa, shule pia zimejengwa zaidi mkoani Bukoba kwa wahanga, vyakula walipewa wahanga nk serikali kwa kweli inafanya yale inayoweza kufanya, tuacheni kulalamikaStahili zako ndo zipi? Maana unalipa kodi afu dawa hakuna, mishahara hakuna, elimu ina dolola, majanga yanatokea unaambiwa mwafwaa. Kodi unayolipa inaenda wapi?
Kulalamika sio vizuri, tumshukuru Mungu kwa tupofikia. Habarini ndugu zanguWapi unapo fanyia kazi haulipwi mshahara mbona tuna vyombe vinavyo simamia wafanyakazi nenda TUKTA, lete takwimu kuonyesha elimu ina dolola tusionge kufurahisha genge kwa ufupi takwimu zinaonyesha wanafunzi wasio juwa kuandika na kusoma imepungua tena kwa asilimia kubwa ukilinganisha na awali, majanga yametokea bukoba serikali ilisaidia inapoweza ilitoa mabati, cements kwa wananchi nk, haiwezi kumjengea nyumba kila mtu, pia imejenga hospitali zilizo pata mushkeli na kuongeza nyingine mkoani bukoba, pia miundombinu iliyopata majanga wameka sawa, shule pia zimejengwa zaidi mkoani Bukoba kwa wahanga, vyakula walipewa wahanga nk serikali kwa kweli inafanya yale inayoweza kufanya, tuacheni kulalamika
Kulalamika lalamika imekua kama jadi yetu,,hatutafuti njia mdabala ya kutatua matatizo tunaishia kulaumu kama tumelogwaWapi unapo fanyia kazi haulipwi mshahara mbona tuna vyombe vinavyo simamia wafanyakazi nenda TUKTA, lete takwimu kuonyesha elimu ina dolola tusionge kufurahisha genge kwa ufupi takwimu zinaonyesha wanafunzi wasio juwa kuandika na kusoma imepungua tena kwa asilimia kubwa ukilinganisha na awali, majanga yametokea bukoba serikali ilisaidia inapoweza ilitoa mabati, cements kwa wananchi nk, haiwezi kumjengea nyumba kila mtu, pia imejenga hospitali zilizo pata mushkeli na kuongeza nyingine mkoani bukoba, pia miundombinu iliyopata majanga wameka sawa, shule pia zimejengwa zaidi mkoani Bukoba kwa wahanga, vyakula walipewa wahanga nk serikali kwa kweli inafanya yale inayoweza kufanya, tuacheni kulalamika
Tumelogwa na aliyetuloga alishakufaKulalamika lalamika imekua kama jadi yetu,,hatutafuti njia mdabala ya kutatua matatizo tunaishia kulaumu kama tumelogwa
Tumelogwa baba, na aliyeloga ameshafariki, katuacha tunaangamiaKulalamika lalamika imekua kama jadi yetu,,hatutafuti njia mdabala ya kutatua matatizo tunaishia kulaumu kama tumelogwa
Tunaangamia kwa kukosa maarifaTumelogwa baba, na aliyeloga ameshafariki, katuacha tunaangamia
Maarifa ndo chanzo cha mafanikioTunaangamia kwa kukosa maarifa
Mafanikio tuliyonayo ni kwa neema za MunguMaarifa ndo chanzo cha mafanikio