baadae sana
Member
- Mar 31, 2013
- 47
- 40
Time table mbona hatuioni?
Time table mbona hatuioni?
Hali yake au hali yenu, mdogo wangu gbefa njoo unichukue huyo nae hajatuliaKaachwa wapi jamani, mtu amepotea tu humu anapambana na hali yake
Nyumbani ni nyumbani hatakama panaongoza kwa vitendo vya kikatiliKijana wenu atulie nyumbani

Kikatili, hapana hilo halivumilikiNyumbani ni nyumbani hatakama panaongoza kwa vitendo vya kikatili![]()
Halivumiliki ndio maana linapingwaKikatili, hapana hilo halivumiliki

Linapingwa kwasababu sio sahihi
Sahihi NI kuishi bila ya maigizo
Mshindi wa kuwania uraisi mwaka 2015 alikuwa mhe dkt: john Joseph pombe magufuli, kupitia chama tawala kinachojulikana kama c.c.mMaigizo ndio wengi tunaishi.Duh ZZ Na supermarket siwaone lakini Toxic9 Na Sakayo Na bila ya kumsahau mamafacebook.Wamwisho sio mshindi
Halivumiliki hata kidogo ukichepuka, goodmorning all, may God bless youKikatili, hapana hilo halivumiliki
Sahihi kwa mwanamke kumnyima mumeo kiburudisho?Linapingwa kwasababu sio sahihi
Wote tuoneshe kupambana na ukeketajiCcm watakua wanamjutia alive mpendekeza mh. Maana hali sio shwari kwa wote
Mshindi ni mgogoone, hahahhha mkuu id yako ni babukubwaMaigizo ndio wengi tunaishi.Duh ZZ Na supermarket siwaone lakini Toxic9 Na Sakayo Na bila ya kumsahau mamafacebook.Wamwisho sio mshindi
Mshindi ni mgogoone, hahahhha mkuu id yako ni babukubwa
Mkuu...Babukubwa NI wewe toxic9 maana unawakilishi
Mkuu
Mkuu...
Habari za asubuhi na wana jf kwa ujumla naamini mmeamka salama na huu muda wa kupambana kutafuta riziki hivyo tunaomba radhi kwa memba wote wa jf tukutane hapa mida ya jioni.
Jioni nimemaanisha kwa nchi za afrika ya mashariki hususani nchi ya Tanzania.Jioni Mbona imepita goldie inc. Hapa bongo saa 4asubuhi,NY saa 8usiku L.A (Los Angles)saa5 usiku Na Brisbane Australia 11 jioni
Jioni nimemaanisha kwa nchi za afrika ya mashariki hususani nchi ya Tanzania.