Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mkuu niko muheza hukuUpo wap mkuu
Mkuu niko muheza hukuUpo wap mkuu
Utani mwingine kaka haufai, hebu niambie taratibu tu we ni jinsia ipiHivo kubali basi mimi ni me mkuu acha utani
Jamani gbefa umekuwaje tenaaLakini sio vizuri kufanya kama Gadna jamani
Kwema sana heri ya mwaka mpya zimekwisha na mifuko imebaki tupuSiku kuu kwisha mkuu, umepotea sana mamy ake, kwemaaa
Haupendi nini sasa mdogo wangu gbefa, penda wewe sanaNiliacha baada ya kugundua kuwa wewe haupendi
Kanisani leo kwaya wameimba nyimbo nzuri sana za kuabuduPia wewe apo hujaenda kanisani
Kawaida kuugua ni moja ya kukuimarisha kibinadamuSakayo hata simu naiona kwa mbaaali, ila usijali mkuu napeleka msosi si kawaida
Mungu husikia maombi tuyaombayo kwa imaniMke mwema mtu hupewa na Mungu
Tumekumiss sana mie na familia yangu nimerudi sasaSikukuu tu huwa unapotea baby halafu unaibuka from nowhere after tumekumiss
Ntakupatia mhmhh jamani hii kauli mbona inamaanisha nitarajie mwakani kupewa nambaWakikumiss na wewe ntafanyaje?Mkuu nawapenda sana so kwa mahaba haaya hahahahahahahaha ntakupatia
Niliyokununulia ile skin jeans imekufaaInakufaa nguo nilihokununulia
Ipi dada tujadili jamani eeeh hadi wewe wangu, mimi ni me jamani seriously na natafuta mpenzi wa kike sasa na unalijua hili sakayoUtani mwingine kaka haufai, hebu niambie taratibu tu we ni jinsia ipi
Namba inasomeka kipindi hiki hatakama hujui kusomaNtakupatia mhmhh jamani hii kauli mbona inamaanisha nitarajie mwakani kupewa namba
Niliyokununulia ile skin jeans imekufaa
Lakinii unamakusudi sakayo wangu jamani mbona leo hunijibu maswali kuntu, au maswali ni magumu na majibu ni mepesiNimekusahau wewe toxic9, kwa nini lakinii
Lakini hizi tabia tunazo watanzania...kwa hivyo si ajabuShemeji shemeji huku anazima taa
Tenaa Gadna ana roho ngumu nakumbuka ile kauli yake ilyofanya watu watokwe na mapovu kama wanakata roho "mwanamke nimekojolesha miaka kumi na tano ajabeba ujauzito sasa najiuliza nilikuwa namkojolesha mbege sijui" mwisho wa nukuu, hivi huyu jamaa ni komando enhee maana ana ujasiri ambao sio wa dunia hii..Jamani gbefa umekuwaje tenaa
Tupu kabisa yani, mwaka mpya ni tulivu kabisa siku zinasongaKwema sana heri ya mwaka mpya zimekwisha na mifuko imebaki tupu
Sana sana uongo ndio ufanya mapenzi kuwa imara ukiwa mkweli tu imekula kwako ndoa inavunjika hapoHaupendi nini sasa mdogo wangu gbefa, penda wewe sana