mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Me siamini![]()
![]()
![]()
![]()
nasikitika kukambia mimi ni me
Me siamini![]()
![]()
![]()
![]()
nasikitika kukambia mimi ni me
Nyekundu wapi tenaa, kwa heriKunichenga hivyo me sipendi nitakupiga mabuti mwisho refa anionyeshe kadi nyekundu
Jipu langu bado changa please msimwite uncle anitumbueMkuu wewe jipuu
Leo ndio kaonekana humu? Hahahahahahahaha shemeji katisha jamani me nilitingwa nimerudi wapenziKituo nae ni wale wale tu nae tumemuona leo
Siamini kama unaniambia Mimi hivyo dah mamaa jamani, bhasi nenda pm ukakague gender yanguMe siamini
Kwa heri tutaonana mungu akipendaNyekundu wapi tenaa, kwa heri
I miss you more more more haina mfano jamani dia, ulienda wapi mpaka kituko anakuita kweli, na kwanini ni kituko tu ndiyo ana namba zako? Nami nazitaka ili niwe nakuita watu wakikumissI miss you
Upo wap mkuuUpo wewe Aisha2016, bando la chuo halipo mitaa yenu
Mnisamehe ehh haya Nimekusamehe, nyimbo ya baraka the prince Nisamehe inakufaaNdugu yangu nilitingwa nimerudi Sasa mnisamehe
Mno hata mimiMiss you mnoooo
Yangu tabia haiko hivoSiamini kama unaniambia Mimi hivyo dah mamaa jamani, bhasi nenda pm ukakague gender yangu
Wakikumiss na wewe ntafanyaje?I miss you more more more haina mfano jamani dia, ulienda wapi mpaka kituko anakuita kweli, na kwanini ni kituko tu ndiyo ana namba zako? Nami nazitaka ili niwe nakuita watu wakikumiss












Mkuu nawapenda sana so kwa mahaba haaya hahahahahahahaha ntakupatiaInakufaa nguo nilihokununuliaMnisamehe ehh haya Nimekusamehe, nyimbo ya baraka the prince Nisamehe inakufaa
Hivo kubali basi mimi ni me mkuu acha utaniYangu tabia haiko hivo
Nimekusahau wewe toxic9, kwa nini lakiniiNimewamiss etiiiiii mbona unatutesa hivyo mpaka Cc kituko ndiyo akuitee jamani, mimi ndiyo sikuwezi kipenzi, nimekumiss sana pia, umeadimika mpaka ninakusahau
Lakini sio vizuri kufanya kama Gadna jamaniNimekusahau wewe toxic9, kwa nini lakinii
Utani nilishaachaHivo kubali basi mimi ni me mkuu acha utani
Niliacha baada ya kugundua kuwa wewe haupendiUtani nilishaacha