Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Supu !! ndg.yangu huwa inanishinda sijui kwanini, Napendaga uji.......Kutafuna chapati iwe na maharage au supu
Supu !! ndg.yangu huwa inanishinda sijui kwanini, Napendaga uji.......Kutafuna chapati iwe na maharage au supu
Uji nami pia naupenda,ila asali nikila naumwa tumbo sijui kwaniniSupu !! ndg.yangu huwa inanishinda sijui kwanini, Napendaga uji.......
Mjengoni kuna nini tena mie nahitaji kumuona ukhuty mubasharaChai na nini... Nshaamka karibu mjengoni
Uji nami pia naupenda,ila asali nikila naumwa tumbo sijui kwanini
Kwann sijui nimeharibu huu uzi
Kwanini unaumwa tumbo, sababu ni hii hapa:- Asali ni tiba na Cleaner, sasa unapokula asali huenda kuondoa bakteria na uchafu uloganda mda mrefu tumboni.., hapo hukusababishia msokoto wa tumbo !!Uji nami pia naupenda,ila asali nikila naumwa tumbo sijui kwanini
Ulijuwaje kama huyu ndugu kakurupuka.....uzi kama umeuharibu ulijuwaje?
Kakurupuka kama kaamshwa usingiziniUlijuwaje kama huyu ndugu kakurupuka.....
Ukikose kama msaada wa waathirika Kagera...ndo utaisoma nambaHavidumu sababu ni vichache na thamani yake ni kubwa japo ukiwa nacho huwezi kukijua na kukithamini ni kizuri mpaka ukikose
Usingizini nimeota ndoto njemaKakurupuka kama kaamshwa usingizini
Mdoto njema hiyo nisimulieUsingizini nimeota ndoto njema
Nisimulie sijui nianzie wapi, nimeota nimekuja kwenu nimekuona wewe halafu umepika mahanjumati juisiMdogo njema hiyo nisimulie
Juisi natural naipenda sanaNisimulie sijui nianzie wapi, nimeota nimekuja kwenu nimekuona wewe halafu umepika mahanjumati juisi
Naipenda sana ya ukwaju, penshen, na juisi ya miwaJuisi natural naipenda sana
Ya miwa sijawahi inywaNaipenda sana ya ukwaju, penshen, na juisi ya miwa
Inywa ni neno linalo changanya watuYa miwa sijawahi inywa
Watu na viatuInywa ni neno linalo changanya watu
Kusoma Qur'an unapenda hongera unajiweka karibu na MunguSana yaani napenda kusoma Qur'an