Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kazi iwe ya uaminifu na ukamilifu na siyo ripuaripua ilimradi.....
Ilimradi pesa inapatikana vijana wapo tayari kupora na kukaba mfano jana vibaka wawili wamechomwa moto manzese asubuhi walimkaba na kumpiga mapanga mchungaji wawatu alfajiri alikuwa anakwenda kanisani, baadae wakanogewa kuja kumuibia muuza duka kumdhulumu sigara, mmoja wapo ni mwizi maarufu anaitwa rama chogo amekufa
 
Ilimradi pesa inapatikana vijana wapo tayari kupora na kukaba mfano jana vibaka wawili wamechomwa moto manzese asubuhi walimkaba na kumpiga mapanga mchungaji wawatu alfajiri alikuwa anakwenda kanisani, baadae wakanogewa kuja kumuibia muuza duka kumdhulumu sigara, mmoja wapo ni mwizi maarufu anaitwa rama chogo amekufa
Amekufa akiwa mwizi basi huyo hatoiona pepo
 
First lady anapoolewa na mume wake Mh president huwa hawajui kwamba siku moja katika nchi atakuja kuwa mke wa rais bali uvumilivu wa ndoa na kumpa utulivu mheshimiwa ndo siri kwa wanawake wengine wapate kuiga
Kuiga mwenendo mzuri ndiyo uungwana unaopendeza katika halaiki ya Umma....
 
Back
Top Bottom