supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Kutambulika kupo tu, siku hizi hata heshima kwenye ofisi za uma inapatikana mtu akitaka kukuomba rushwa lazma akuangalie mara mbili mbili asije kupoteza kaziMajipu uchungu hutembea mwilini na kujitokeza sehemu zingine bila kutambulika.....