William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
1.
- Mkuu kumbe unaropoka ropoka hapa JF bila ya kuwa na ushahidi? Sisi tunao dhidi ya Mkapa, na tulimkabidhi rais wa sasa ambaye aliamua kumsamehe apumzike, kwa hiyo next time hakikisha una ushahidi kama tuliompa rais dhidi ya Mkapa, badala ya kuropoka ropoka kama nyinyi wengine hapa!
2.
- Hiyo nguvu yao ya waumini wanaowasimamia, waliwahi kuitumia kumchagua rais gani kati ya waliowahi kutawala Tanzania?
Mkuu katiba inasema kuwa kila mtu atahesabika hana hatia mpaka mahakama itakapothibitisha vinginevyo.Kwahiyo wao na heshima yao unataka waanze kuropokaropoka Mkapa mwizi kama sisi wengine hapa kabla ya huo wizi kuthibitishwa mahakamani?
- Mkuu kumbe unaropoka ropoka hapa JF bila ya kuwa na ushahidi? Sisi tunao dhidi ya Mkapa, na tulimkabidhi rais wa sasa ambaye aliamua kumsamehe apumzike, kwa hiyo next time hakikisha una ushahidi kama tuliompa rais dhidi ya Mkapa, badala ya kuropoka ropoka kama nyinyi wengine hapa!
2.
Hawana uwezo wa kumchagua mtu kuwa Rais wa Tanzania.Lakini kumbuka kwamba linapokuja swala la uchaguzi basi kila mtu atakuwa na mtu wake ambaye angependa kuona anakuwa kiongozi wa ngazi fulani hata kama mwisho wa siku lile chaguo lake litashindwa.Kwahiyo wao nao wako katika mkondo huo na ndiyo mana hata wanasiasa nao wanajaribu sana kuwa karibu yao wakitafuta kuungwa mkono kwa nguvu yao waliyonayo kwa wale waumini wanaowasimamia.
- Hiyo nguvu yao ya waumini wanaowasimamia, waliwahi kuitumia kumchagua rais gani kati ya waliowahi kutawala Tanzania?