Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 799
Viongozi wa dini za Kiislam pamoja na Kikristo TANZANIA wanatia aibu kwa kukaa kimya bila kukemea jinsi serikali ilivyo wasahau wananchi NA maskendo yanayohusiana na RUSHWA yalivyokithiri
Na lawama hizi naziwakilisha moja kwa oja kwa viongozi wa KANISA ambao kwa kiasi kikubwa wanauwezo mkubwa wa kuinfluence mambo serikalini lakini so far kimya
Nasema hiv kwa sababu tunajua jinsi gani walivyokuwa na sauti na wanavyozikosoa serikali zilizopo serikalini na mfano mzuri angalia Bush na Republicans wanavyo wasikiliza hao ma evalengical christians,hapa UK kila kukicha huyo SENTAMU wa Anglikana na MURPHY wa wakatoliki hawaiaichii safasi serikali ya BLAIR
Issue za Rushwa na Utawala bora nadhani zilitakiwa ziwe zinapewa ajenda kubwa na hawa jamaa wa kidini lakini sasa najiuliza vipi na wao wamenunuliwa?
Kwa upande wa waislam nadhani kazi ni kubwa kidogo kwa sababu hawana Kiongozi mmoja kama KADHI wa kuikemea serikali na majority ya waislam hawaitambui BAKWATA na hata hiyo Shekhe mkuuu hana nafasi sana kwani wanaona kama kawekwa na serikali na hata gari analotembelea kaewa na serikali sasa lilobaki ni kwa ma SHEKHE na MAIMAMU kuwa active katika kukosoa Serikali na kero zinazowaumiza wanainchi lakini so far naona KIMYAAA hauna na Basaleh wala Gorogosi aliyezungumzia issue ya RICHMOND
Tazama kule Kenya akina Cardinal OTUNGA walivokuwa active
Hivi Krisimasi hotuba zilkuwa nini huko makanisani?Maana najua wengi walienda makanisani lakini wanajua fika Hawana pesa za kulisha familia zao wala hawajui watakula nini wakati watawala wanaendelea kuinshi maisha kamavile wako peponi sasa hata kama serikali ikidai hakuna RUSHWA nani ataamini? the GAP between the haves and Have nots inazidi kupanuka, Kazi hakuna,Zinaa ndio kama dini,Ulevi imekuwa kawaida...sasa jamiii ya namna gani hiyo? No wonder kila kona kuna matangazo ya kuwashawishi watu wanywe ...after all pombe zetu slogan ni URITHI WETU!
Hivi kwa nini viongozi wetu wa kidini hawawi kama wenzao walioko huko LATIN AMERICA au SOUTH EAST ASIA?
UPDATES:
Na lawama hizi naziwakilisha moja kwa oja kwa viongozi wa KANISA ambao kwa kiasi kikubwa wanauwezo mkubwa wa kuinfluence mambo serikalini lakini so far kimya
Nasema hiv kwa sababu tunajua jinsi gani walivyokuwa na sauti na wanavyozikosoa serikali zilizopo serikalini na mfano mzuri angalia Bush na Republicans wanavyo wasikiliza hao ma evalengical christians,hapa UK kila kukicha huyo SENTAMU wa Anglikana na MURPHY wa wakatoliki hawaiaichii safasi serikali ya BLAIR
Issue za Rushwa na Utawala bora nadhani zilitakiwa ziwe zinapewa ajenda kubwa na hawa jamaa wa kidini lakini sasa najiuliza vipi na wao wamenunuliwa?
Kwa upande wa waislam nadhani kazi ni kubwa kidogo kwa sababu hawana Kiongozi mmoja kama KADHI wa kuikemea serikali na majority ya waislam hawaitambui BAKWATA na hata hiyo Shekhe mkuuu hana nafasi sana kwani wanaona kama kawekwa na serikali na hata gari analotembelea kaewa na serikali sasa lilobaki ni kwa ma SHEKHE na MAIMAMU kuwa active katika kukosoa Serikali na kero zinazowaumiza wanainchi lakini so far naona KIMYAAA hauna na Basaleh wala Gorogosi aliyezungumzia issue ya RICHMOND
Tazama kule Kenya akina Cardinal OTUNGA walivokuwa active
Hivi Krisimasi hotuba zilkuwa nini huko makanisani?Maana najua wengi walienda makanisani lakini wanajua fika Hawana pesa za kulisha familia zao wala hawajui watakula nini wakati watawala wanaendelea kuinshi maisha kamavile wako peponi sasa hata kama serikali ikidai hakuna RUSHWA nani ataamini? the GAP between the haves and Have nots inazidi kupanuka, Kazi hakuna,Zinaa ndio kama dini,Ulevi imekuwa kawaida...sasa jamiii ya namna gani hiyo? No wonder kila kona kuna matangazo ya kuwashawishi watu wanywe ...after all pombe zetu slogan ni URITHI WETU!
Hivi kwa nini viongozi wetu wa kidini hawawi kama wenzao walioko huko LATIN AMERICA au SOUTH EAST ASIA?


UPDATES:
1. Malecela hataki viongozi wa dini wakemee!
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
2. Askofu Agustino Shao wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar aichachamalia Serikali
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
3. Maaskofu, masheikh wakemea mikataba mibovu
*Wataka serikali ijibu hoja za Dk Slaa.
*Wasema kinachofanyika sasa ni kuwahadaa Watanzania
*Wataka ufisadi ukemewe kwenye nyumba za ibada
*Mtaalam akiri mikataba haiwanufaishi wazawa
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
4. Sheikh Ponda awaponda mawaziri wa Kikwete
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
5. Viongozi wa dini ‘wamtwanga' rais waraka mkali!
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
6. Askofu Kilaini: Kikwete ameelemewa na mafisadi
Soma zaidi hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
7. Askofu Kilaini: Vita dhidi ya ufisadi iwe ya kitaifa
*Aitaka serikali ifanyie kazi ripoti wa Redet
*Awataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii
* Azungumzia mahusiano ya kanisa na wanamaombi
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Soma zaidi hapa
8. Maaskofu: Ufisadi ni janga la kitaifa
* Wasema unaipeleka nchi pabaya
* Washauri mikataba ya madini ifutwe
* Wasema haiwanufaishi Watanzania
* Wawahimiza wananchi kufanya kazi
Soma zaidi hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
9. Askofu atamani kufuta mkataba wa Buzwagi
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
10. Maaskofu waitaka serikali kunusuru uchumi wa nchi
Soma zaidi hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
11. Kanisa Katoliki lakerwa na hali ya mambo nchini, laishukia serikali!
Soma zaidi hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
12. Maaskofu na mashekhe, waulalamikia mgodi wa North Mara
Soma zaidi hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
13. Waliosema "Kikwete ni Nabii" si maaskofu wala viongozi wa dini wote!
Soma zaidi hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
14. Maaskofu kwa pamoja watoa waraka mzito kwa rais Kikwete
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
15. Maaskofu waionya serikali, Bunge
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
16. Kanisa Katoliki waliombea taifa liondokane na ufisadi, mmomonyoko wa maadili na ubinafsi unaowatawala baadhi ya viongozi nchini
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
17. Kilaini: Siko tayari kusaidia chama chochote kujisafisha
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
18. Maaskofu waonya: Mafisadi wataiangusha CCM
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
19. Viongozi wa dini za Kiislamu na Kikristo wasema migodini kuna hali mbaya
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
20. Viongozi wa dini wataka mikataba ya madini kupitiwa upya
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
21. Viongozi wa dini waonya nchi inaelekaa pabaya
*Washauri Rais apunguze safari za nje
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
22. Kanisa Katoliki sasa latishika
* Askofu Kilaini asema nchi inahitaji maombi isiangamie
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
23. Kilaini: Nchi hatarini!
* Aonya kuna uwezekano wa machafuko kutokea
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
24. Vita dhidi ya Ufisadi: Maaskofu waonya
* Kardinali Pengo: Taifa halina amani
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
25. Maaskofu Katoliki watoa tamko zito
* Wasema ni jambo la hatari ukweli kupindwa
Zaidi soma hapa
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
26.Maaskofu wakosoa utendaji wa JK
* Waonya kuhusu hatua butu dhidi ya mafisadi
* Wakerwa ushirikina unaofanywa na viongozi
* Waziri Mkuu Pinda akiri, asema tatizo lipo
Zaidi soma hapa
Last edited by a moderator: