USHAURI WA BURE KWA BI FAIZA FOXY.
FaizaFoxy
Habari yako MAMA/Dada/bi Faiza.
Natumaini upo salama
Niende Moja kwa Moja kwenye MADA bila kupoteza Muda.
.WATU WENGI sana hapa jukwaani wamekuwa walitofautiana SANA na wewe,SIJAJUA HALI HII UNAICHUKULIAJE AU UNA ONAJE????
NINGEPENDA KUKUSHAURI uachane na vitu kama Hivi havitaweza KUKUSAIDIA Maisha yako......
: MIGOGORO.
: CHUKI.
: MABISHANO YASIYOKUWA NA MSINGI.
: UJUAJI USIO NA FAIDA .
: KIBURI.
: DHARAU.
: KUJIONA
Iweke akili yako Positive kuwa TAYARI kupokea MAARIFA mapya , UFAHAMU na UJUZI kutoka kwa watu wengine
USIWE NA ITIKADI KALI MNO.
JARIBU kujirekebisha, Mimi Imani yangu INASISTIZA sana UPENDO kama AMRI KUU namba Moja
Mpende na JIRANI YAKO kama NAFSI yako.
TAFUTENI kwa bidii kuwa na Amani na watu wote na huo utakatifu, maana hakuna atakayemuona Bwana asipokua nao.
EPUKA MIGOGORO NA WATU.
JISAHIHISHE.
CAPO DELGADO