WameuaHii ni bonge la kesi hawa wadada watakula, wanaweza;
1) "ATTEMPT MURDER/KUTAKA KUUA.
2) BATTERY/KUPIGA
3) ASSAULT & CAUSING GREVIOUS BODILY HARM/KUSHAMBULIA NA KUJERUHI
Duuuuh, hatari sana washajiharibia maisha hao, vitu kama hivo sio vya kurekodi kabisa!
Hiyo haihusiani na mke wala mume.
Ameambalama
Noted, hao wanawake wana vitu wameficha ndani yao, sasa kidogo kidogo kupitia matendo yao ya siku hizi ndio wanaanza kuvitoa, hapo unaiona wazi chuki na hasira zilizopo ndani yao.Hao wanawake wana frustrations za kunyimwa uhuru wao muda mrefu kwa kisingizio cha kufuata dini, sasa watu wa aina hiyo inaonekana wazi nje wana vilemba na nguo za heshima, lakini ndani yao wamejaa chuki na vinyongo.
Cc: denooJ
Wapi ameandika mke na mume?Hiyo haihusiani na mke wala mume.
. Umeanza trna uingonwa zamani, tulikukomesha uongo ukapunguza.
Naona umeanza kurudia kidogo kidogo.
Wacha uongo.
Huyu nae ana stress kama za hao wanawake kwenye video, watu wa aina hii ni wakukaa nao mbali sana.Hiyo haihusiani na mke wala mume.
. Umeanza trna uingonwa zamani, tulikukomesha uongo ukapunguza.
Naona umeanza kurudia kidogo kidogo.
Wacha uongo, hakuna mke wala mume hapo.