FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Uhuru upi wananonyimwa? usiingize dini hapo tafadhali.Hao wanawake wana frustrations za kunyimwa uhuru wao muda mrefu kwa kisingizio cha kufuata dini, sasa watu wa aina hiyo inaonekana wazi nje wana vilemba na nguo za heshima, lakini ndani yao wamejaa chuki na vinyongo.
Cc: denooJ
Hao ni malaya kama malaya wengine, tazama clip nyingine Mkenya mwenzao kaweka wazi kila kitu.
Wala haliwahusu wenyewe wenye nchi, wote wageni hao, mwanamme na wanawake.
Mkisikia uchafu wa uasherati na uzinzi ndiyo huo. Uislam unasema msiusogelee.
Wameyataka wenyewe.
Hicho ndiyo ukisikia "kiranga komo".