Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

😂😂😂 kwani charge sheet imeandikwaje? Umesahau kuwa Katuga alitaka alete hayo mambo kwa ushahidi wa ziada akakataliwa na mahakama zote (mahakama kuu na mahakama ya rugaa)
Unapendeza sana mtu akiandika kika akiwa guided na facts na siyo emotions
Alikataliwa kwa sababu shahidi wa video alikuwa wongly procured. Yaani yeye ni mtaalamu wa picha za kawaida na siyo mtaalamu wa video.
 
Hao hao maji walikata hii video isiwe ushaidi mahakamani. Kwahiyo umeonyesha ukilaza wako. Punguzeni ushabiki kwenye mambo yaliyojuu ya uwezo wenu.
Walikataa isiletwe kwa kuwa shahidi hakuwa expert wa video bali picha mnato. Hiyo haimfutii uhaini
 
Kwanini aukatae huo ushahidi kama hauna tija? Aliukataa lwa sababu anajuwa alichongea ni uhaini kwa hiyo ukipolelewa atakutwa na hatia. Kama aliyosema siyo makosa angeacha iingie halafu a defend mantiki za maneno yake
Jaji anakuambia haangalii uzito wa ushahidi, ila anaangalia nia ya washitaki. Wakili wa serekali anasema haijalishi kama serekali ilitishika ama la. Hapo kuna mahakama serious?🤣
 
Hata mkilia na kusaga meno haisaidii
Yule kichaa lazima ale kitanzi
Kauli zake ziko clear kuwa alikua anahamasisha uasi na uhaini kwahiyo madhara yameshatokea na kesi ya kujibu anayo kichaa yule
Kichaa hawezi kupewa hukumu na mahakama, wanaohukumiwa na mahakama ni watu wenye akili timamu tu.
 
Hochomoi hiyo huyo mwendawazimu

Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili

Ale kitanzi tuh fala huyo
Ni kweli, kwenye hizo mahakama za simu moja hachomoi. Yaani Samia anaamini akizitumia mahakama zitafanya tusione kuwa mauaji kafanya yeye ili asalie madarakani kwa wizi wa kura. Huyo shetani jike wa kizimkazi hata acheze na mahakama vipi, aunde tume vipi, hawezi kubadilisha ukweli.
 
uhaini na uasi tofauti ni nini? jeshi letu liliwahi kufanya uasi 1964 je ulikuwa uhaini? au vyote viwili. na je kuchochea uasi unakuwaje? naomba kuelemishwa
 
Back
Top Bottom