Waathiriwa wa alichokizungumza ndio wanaocomplicate mambo kiuhalisia kabisa hakukua na hata chembe ya uhaini hapo..Shida ninayoiona hapa wengi hawajui maana ya uhaini kwenye hiyo video inaonesha ni kesi ya uchochezi sio uhaini huo
Bila yeye kuchochea wale wahuni wangeingia road kuchoma mali za watu na miundombinu??Lisu ndio alishika bunduki kuua watu??
Alikataliwa kwa sababu shahidi wa video alikuwa wongly procured. Yaani yeye ni mtaalamu wa picha za kawaida na siyo mtaalamu wa video.😂😂😂 kwani charge sheet imeandikwaje? Umesahau kuwa Katuga alitaka alete hayo mambo kwa ushahidi wa ziada akakataliwa na mahakama zote (mahakama kuu na mahakama ya rugaa)
Unapendeza sana mtu akiandika kika akiwa guided na facts na siyo emotions
Walikataa isiletwe kwa kuwa shahidi hakuwa expert wa video bali picha mnato. Hiyo haimfutii uhainiHao hao maji walikata hii video isiwe ushaidi mahakamani. Kwahiyo umeonyesha ukilaza wako. Punguzeni ushabiki kwenye mambo yaliyojuu ya uwezo wenu.
Jaji anakuambia haangalii uzito wa ushahidi, ila anaangalia nia ya washitaki. Wakili wa serekali anasema haijalishi kama serekali ilitishika ama la. Hapo kuna mahakama serious?🤣Kwanini aukatae huo ushahidi kama hauna tija? Aliukataa lwa sababu anajuwa alichongea ni uhaini kwa hiyo ukipolelewa atakutwa na hatia. Kama aliyosema siyo makosa angeacha iingie halafu a defend mantiki za maneno yake
🤣 Uhaini wa kuzuia uchaguzi wa wizi, kisha ukafanyika uchaguzi wa wizi, na nyie vilaza mnajilipua kuja kuitetea huo upuuzi! Wazungu wanaachaje kutuita manyani?Ilivyo ndiyo ilivyo, its what it is
Nani alimwaga damu?Hochomoi hiyo huyo mwendawazimu
Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili
Ale kitanzi tuh fala huyo
Kichaa hawezi kupewa hukumu na mahakama, wanaohukumiwa na mahakama ni watu wenye akili timamu tu.Hata mkilia na kusaga meno haisaidii
Yule kichaa lazima ale kitanzi
Kauli zake ziko clear kuwa alikua anahamasisha uasi na uhaini kwahiyo madhara yameshatokea na kesi ya kujibu anayo kichaa yule
Ni kweli, kwenye hizo mahakama za simu moja hachomoi. Yaani Samia anaamini akizitumia mahakama zitafanya tusione kuwa mauaji kafanya yeye ili asalie madarakani kwa wizi wa kura. Huyo shetani jike wa kizimkazi hata acheze na mahakama vipi, aunde tume vipi, hawezi kubadilisha ukweli.Hochomoi hiyo huyo mwendawazimu
Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili
Ale kitanzi tuh fala huyo
Na huo ni uchochezi sio Uhaini watu hawajui kutofautisha kati ya Uhaini na Uchochezi na ni kwasababu hawajui maana ya uhainiHiyo Video ilikataliwa hadi na mahakama ya rufaa na haiwezoi kurejelewa tena...