Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,470
- 104,667
-Kuzuia uchaguzi inaweza kuwa kwa kuhamasisha watu wasiende kupiga kura au kwa sheria za mahakamaniTukiacha ushabiki wa kisiasa kauli yake ilikua hatari sana maneno kama tutakinukisha, tutazuia uchaguzi, tutahamasisha uasi.
-Uasi inaweza kuwa maandamano, kutotii Sheria katili n.k (non-armed rebellion)
-Kukinukisha kila siku watu wanasema haya maneno, utaamua wewe mwenyewe tafsiri yako