Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Tukiacha ushabiki wa kisiasa kauli yake ilikua hatari sana maneno kama tutakinukisha, tutazuia uchaguzi, tutahamasisha uasi.
-Kuzuia uchaguzi inaweza kuwa kwa kuhamasisha watu wasiende kupiga kura au kwa sheria za mahakamani
-Uasi inaweza kuwa maandamano, kutotii Sheria katili n.k (non-armed rebellion)
-Kukinukisha kila siku watu wanasema haya maneno, utaamua wewe mwenyewe tafsiri yako
 
Hata mkilia na kusaga meno haisaidii
Yule kichaa lazima ale kitanzi
Kauli zake ziko clear kuwa alikua anahamasisha uasi na uhaini kwahiyo madhara yameshatokea na kesi ya kujibu anayo kichaa yule
Hilo halitatokea abadan. Lissu saa hii ingeishatoka zamani sana ila tatizo ni maneno maneno ya wafuasi wake na yeye. Kwa sasa Serikali na Mahakama wanahaha kuona angle watakayomtoa isilete aibu kwao
 
Kama ni huu ushahidi wa video ulishakataliwa na mtuhumiwa kuingia mahakamani, kwa sababu ulikosa vigezo vinavyotakiwa! Kama ni kuhusu hilo neno kukinukisha, halina uhusiano na uhaini! Mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuthibitisha pasi na shaka! Yaliyotokea Oktoba 29 nayo hayahusiani na Lissu kwa sababu hakuwa kiongozi au mratibu wake!

Mimi ni Bush lawyer tu, lakini ninaona kabisa Majaji wako upande wa serikali kwa kuendelea kuikumbatia hii kesi ya kupikwa.
Sometimes huwa una akili kiduchu.
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
HUNA AKILI
 
Wewe Kilaza kweli...! Jamuhuri ndiyo waeleze wao kwamba alimaanisha nini...?Lissu awahoji wamejuaje..maana uwezo wa kuwa kwenye fikra zake nao hawana..??
Mahakama iamue....

Note:Jamuhuri wameshafunga ushahidi wao.
Be humble acha kejeli. Wao tayari wameshasema ana kesi ya kujibu, ni juu yake kuprove kuwa haikuwa uhaini
 
Waandamanaji walilipwa na watu kutoka nje, ndio maana Lissu anamtaka mama yenu na wakuu wa vyombo vyake mahakamani 😁
Screenshot_20260821_131246_Google.jpg
Screenshot_20260821_131438_Google.jpg
Screenshot_20260821_131550_Google.jpg
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Nimecheka kwa nguvu, Lisu kashitakiwa kwa hiyo kauli ya kuzuia uchaguzi wa wizi, kisha rais katangazwa kwa kura 31m za wizi!
 
Kama ni huu ushahidi wa video ulishakataliwa na mtuhumiwa kuingia mahakamani, kwa sababu ulikosa vigezo vinavyotakiwa! Kama ni kuhusu hilo neno kukinukisha, halina uhusiano na uhaini! Mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuthibitisha pasi na shaka! Yaliyotokea Oktoba 29 nayo hayahusiani na Lissu kwa sababu hakuwa kiongozi au mratibu wake!

Mimi ni Bush lawyer tu, lakini ninaona kabisa Majaji wako upande wa serikali kwa kuendelea kuikumbatia hii kesi ya kupikwa.
Kwanini aukatae huo ushahidi kama hauna tija? Aliukataa lwa sababu anajuwa alichongea ni uhaini kwa hiyo ukipolelewa atakutwa na hatia. Kama aliyosema siyo makosa angeacha iingie halafu a defend mantiki za maneno yake
 
Na yaliyotokea 29/10 /26 huoni kama walipita kwenye script yake??
😂😂😂 kwani charge sheet imeandikwaje? Umesahau kuwa Katuga alitaka alete hayo mambo kwa ushahidi wa ziada akakataliwa na mahakama zote (mahakama kuu na mahakama ya rugaa)
Unapendeza sana mtu akiandika kika akiwa guided na facts na siyo emotions
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Abdul amekutuma uje utoenyeshe? Mijinga sana nyinyi mnaburuzwa na form four fail kama mazuzu
 
Usichoelewa ni kuwa kuzuia uchaguzi siyo uhaini, pia disobedience siyo uhaini na kwa taarifa zaidi vyama vyote vya upinzani mara zote ni disobidient kwa serikali iliyopo madarakani yaani vinaipinga 24x7 hivyo kutotii masharti / sheria na kanuni za uchaguzi siyo uhaini.
Nenei uhaini kuiondoa serikali madarakani kwa nguvu na siyo kutokubaliana nayo au kutoitii.
Kwanini sasa kama siyo uhaini alikataa ushahidi wa video usipokelewe kama ushahidi?
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Hao hao maji walikata hii video isiwe ushaidi mahakamani. Kwahiyo umeonyesha ukilaza wako. Punguzeni ushabiki kwenye mambo yaliyojuu ya uwezo wenu.
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Kenge kweli wewe, Hiyo video sindo ilokataliwa Mahakamani kupokelewa .

Hata hivo, hapo Uhaini uko wapi??
 
Pumbavu we matako. Lissu anahusika na ghasia za 29/10? Yeye alikuwa gerezani anahusika vipi?
WanaCCM wasiomtaka ndio waliingia barabarani. Hadi leo hii hawamtaki.
Alipanga akaacha ramani ndipo akatiwa nguvuni. Huku nyuma watu wakatekeleza kadri ya maelekezo
 
Back
Top Bottom