Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
18,855
Reaction score
29,350

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Tafsiri sahihi ya uhaini ni nini?
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Kuzuia uchaguzi sio uhaini
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Kama ni huu ushahidi wa video ulishakataliwa na mtuhumiwa kuingia mahakamani, kwa sababu ulikosa vigezo vinavyotakiwa! Kama ni kuhusu hilo neno kukinukisha, halina uhusiano na uhaini! Mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuthibitisha pasi na shaka! Yaliyotokea Oktoba 29 nayo hayahusiani na Lissu kwa sababu hakuwa kiongozi au mratibu wake!

Mimi ni Bush lawyer tu, lakini ninaona kabisa Majaji wako upande wa serikali kwa kuendelea kuikumbatia hii kesi ya kupikwa.
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Unaungaunga video ilikupata usahihi wa ilo unalotaka
Acha uzwazwa!?
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Unaungaunga video ilikupata usahihi wa ilo unalotaka
Acha uzwazwa!?
 
Kama ni huu ushahidi wa video ulishakataliwa na mtuhumiwa kuingia mahakamani, kwa sababu ulikosa vigezo vinavyotakiwa! Kama ni kuhusu hilo neno kukinukisha, halina uhusiano na uhaini! Mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuthibitisha pasi na shaka! Yaliyotokea Oktoba 29 nayo hayahusiani na Lissu kwa sababu hakuwa kiongozi au mratibu wake!

Mimi ni Bush lawyer tu, lakini ninaona kabisa Majaji wako upande wa serikali kwa kuendelea kuikumbatia hii kesi ya kupikwa.

Hata mkilia na kusaga meno haisaidii
Yule kichaa lazima ale kitanzi
Kauli zake ziko clear kuwa alikua anahamasisha uasi na uhaini kwahiyo madhara yameshatokea na kesi ya kujibu anayo kichaa yule
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Usichoelewa ni kuwa kuzuia uchaguzi siyo uhaini, pia disobedience siyo uhaini na kwa taarifa zaidi vyama vyote vya upinzani mara zote ni disobidient kwa serikali iliyopo madarakani yaani vinaipinga 24x7 hivyo kutotii masharti / sheria na kanuni za uchaguzi siyo uhaini.
Nenei uhaini kuiondoa serikali madarakani kwa nguvu na siyo kutokubaliana nayo au kutoitii.
 
Back
Top Bottom