Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Silaha sio bunduki tu, petrol na Silaha za jadi zinaweza kufanikisha uasi ndomana mo29 petrol ilitoa impact za kutosha.
Walitengeneza molotov bombs kwenye chupa za nusu lita na walikuwa wanabeba mgongoni kwenye back bag. Walikuwa wana move kwa boda boda wakifika kwenye petrol station wanalipua kutumia molotov Yoda
 
Hochomoi hiyo huyo mwendawazimu

Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili

Ale kitanzi tuh fala huyo
Screenshot_20260714-183814~2.png
 
Akishinda kesi, akakatiwa rufaa na wakam procure video expert anayestahili, video itapokelewa
Rufaa gani hiyo itakayo kubaliwa na mahakama ya rufaa wakati tayari mahakama hiyo hiyo ilisha toa uamuzi katika jambo hilo hilo? kumbuka , mahakama ya rufaa huwa haisikilizi ushahidi mpya... pigia mstari hapo...
 
Unaungaunga video ilikupata usahihi wa ilo unalotaka ku
Acha uzwazwa!?

Sina haja ya kujadili hayo, ningetaka ningefungua nyuzi
Nimejaribu kukwambia tuuh..
Kwamba hamna AIBU kabisaaaa!?
Hii dialogue haihitaji hasira, ukiwa na hoja toa kama huna pita shwaaa!
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Boss, hadi hapa nakushauri ufanye ustaarabu na kukubali kuwa hoja hii imefeli. Bora uzingatie ushauri uliotolewa na wadau hapa uwaambie wakuu wako huko government wabadili mashtaka kuwa uchochezi. Halafu waipunguze ile patoon ya maninja wanaomsonga Lissu all the time na hali yake ile huko mahakamani. Wanatia aibu.

Usiwe kama Trump aliyebaki kuropoka ropoka vitisho kila siku na kulidhalilisha jeshi la Marekani huko mashariki ya kati badala ya kufanya ustaarabu wa kumalizana na kina ayatollah kwa makubaliano muafaka. Yaani anashindwa kuona kuwa hakuna cha Venezuela pale.

Nilikuelewa hoja zako kali kuhusu JPM enzi zile lakini sasa naona umeamua kushuka na kuungana na watu duni (big show, mwashambwa na tlaatlaa) kwa kulazimisha hoja duni bila sababu zinazoeleweka. Ni kama vile una kero binafsi na watu fulani hivi. Umeshindwa kabisa kuona moral context anayopambania Lissu nchini kwa muda mrefu sasa? Yaani umeamua kushusha brand ghafla sana. Why?
 
Pia sio Uhaini. Je ni uasi juu ya nini?

Nyerere alivyosema vijana wawe waaminifu wa mifumo kandamizi alikuwa anatenda uhaini?
Kama Nyerere alimaanisha unachotaka, mbona hakuwavumilia akina Kambona, Bibi Titi, Kasangatumbo, Mapalala, Seif Shariff Hamad, Horace Kolimba?
 
Kuzuia uchaguzi ndio uhaini?

Halafu Lissu alizuia vipi mnaoita uchaguzi uliofanyika October na yeye alishikiliwa tangu April ?
 
Hiyo ulitakiwa iwe kesi ya uchochezi unajua maana ya uhaini?
Na kesi za uchochezi ni takataka zinazotumika kuwakandimiza wapinzani.

Angalia nchi zenye sheria za kesi za uchochezi ni nchi zile zile takataka.

UK na Australia walishafuta hii sheria ya kikandamizaji 2009/2010, sisi huku gizani tunaendelea kuzikumbatia sababu zinatumika kama tool dhidi ya wapinzani.
 
Kama Nyerere alimaanisha unachotaka, mbona hakuwavumilia akina Kambona, Bibi Titi, Kasangatumbo, Mapalala, Seif Shariff Hamad, Horace Kolimba?
Kusema mtu hawezi kuwa mhaini kwa sababu ameshtakiwa peke yake ni kuchanganya uhaini na conspiracy. Section 39(2) haidai lazima kuwe na washirika; inahusu hata mtu mmoja anayefanya nia yake ionekane kwa maandishi au kitendo cha wazi. Mfano, mtu mmoja akipanga kumpindua Rais au kuzuia Serikali kwa nguvu na akadhihirisha nia hiyo, anaweza kuwajibika chini ya 39(2).

Mfano wa wazi ni William O. Meighan, aliyeshtakiwa Uingereza katika kesi ya treason-felony mwaka 1868. Mashtaka yalihusu nia ya kumpindua Malkia na vitendo vya wazi (overt acts); baadhi ya mashtaka yalikuwa yakimlenga yeye binafsi, si lazima kuwe na mshtakiwa mwenza
 
Boss, hadi hapa nakushauri ufanye ustaarabu na kukubali kuwa hoja hii imefeli. Bora uzingatie ushauri uliotolewa na wadau hapa uwaambie wakuu wako huko government wabadili mashtaka kuwa uchochezi. Halafu waipunguze ile patoon ya maninja wanaomsonga Lissu all the time na hali yake ile huko mahakamani. Wanatia aibu.

Usiwe kama Trump aliyebaki kuropoka ropoka vitisho kila siku na kulidhalilisha jeshi la Marekani huko mashariki ya kati badala ya kufanya ustaarabu wa kumalizana na kina ayatollah kwa makubaliano muafaka. Yaani anashindwa kuona kuwa hakuna cha Venezuela pale.

Nilikuelewa hoja zako kali kuhusu JPM enzi zile lakini sasa naona umeamua kushuka na kuungana na watu duni (big show, mwashambwa na tlaatlaa) kwa kulazimisha hoja duni bila sababu zinazoeleweka. Ni kama vile una kero binafsi na watu fulani hivi. Umeshindwa kabisa kuona moral context anayopambania Lissu nchini kwa muda mrefu sasa? Yaani umeamua kushusha brand ghafla sana. Why?
Tusipangiane cha kuandika. Hawa akina Tundu walimkimbia Magufuli, na alipokufa Mama kawarudisha na kuwafutia kesi zao. Walimdharau ngoja wacheze ngondoigwa
 
Hochomoi hiyo huyo mwendawazimu

Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili

Ale kitanzi tuh fala huyo
Mama yenu alitwambia waandamanaji walilipwa fedha ili waandamane, ni nani aliwalipa?? na ni nani alitoa order to kill?? na je uchaguzi ulifanyikaau haukufanyika?? kama ulifanyika maanake uchaguzi haukuzuiwa. na kama haukufanyika kwa sababu ya kauli ya Lissu je kura 32M alizopata mama yenu zilipatikanaje?
 
Back
Top Bottom