Chadema wanachokataa business as usual kwamba masiishi kwa hisani ya CCM ndio maana wamekubali kutoshindwa kama wakiweza kwenye hili kutakuwa na mabadiliko makubwa
Kushinda kwa Lissu hakuna faida yoyote kwa Upinzani au Chadema kama Chadema
Lissu ikiwa atashinda kesi manake niyeye binafsi hatadai Fidia
Ya kupotezewa muda wake nk.
Ndiomana nikasema ingekuwa Wapinzani wana MAONO
makubwa
Huu sio muda kusumbuana Mahakamani👈
kisa kuishinda Jamhuri au kusumbuka na faida ya Fidia
Wapinzani wa kweli lazima wawe kwa maslahi mapana ya Kitaifa
Kujenga japo kibanda cha kufanya wakumbukwe kwaajili ya Vizazi vijavyo kwazaidi ya miaka 50 ijayo
Lissu anaweza kupata aibu kidogo ya kufanya Maridhiano wapo watasema kashindwa mana kwenye wengi kuna mengi
lkn yeye Moyoni akawa na Sababu za msingi kutoa muda huu kukimbizana na Mchakato wa KATIBA Mpya👈
Heshima ikiambatana
na sifa
huja kwa kuchelewa mpaka watu watasmini kile umefanya jana 👈
kwa wkt ule wanaweza Kuchelewa kukiona lkn wakaja kukuelewa baadae sn👈
tofauti na Sifa
Sifa leo leo tu utapata na kuondoka muda mfupi ujao❗️
Lissu Elimu yake inaweza isije kukumbukukwa na ikiwa maamuzi yake yatakosa tafakari kuu kufanya kitu kwaajili ya Vizazi vijavyo👈
KATIBA Mpya ni dai la wengi sio tu waliokufa Mo29 kuna wengine walikufa 2001
Katiba mpya ni sawa na maji ya kunywa kwa Upinzani 👈
Kunapotokea fursa niwazi kwanza Wapinzani wangejielekeza uko badala ya kushindana na Jamhuri kupitia kesi hisiokwisha leo
wala kesho ✍️
Wazungu wanatuona watu weusi tuna uwoni .mdogo wa mambo
Lkn kuna wakati tujikichunguza kwa makini kuna ka Ukweli
Watu weusi tuna umimi sana kuliko maslahi ya wengi hatuna kusoma maitaji ya nyakati
Tukikazania jambo letu Akili yote ipo uko kama sasa Akili ipo kwenye kesi ya Lissu
Kumbe nyakati izi tulipaswa kuwa kwenye kilio ya miaka mingi kuusu KATIBA mpyaa✍️
Tuseme iwe bahati tujielekeza uko kwenye KATIBA kwa wakati❗️
lkn napo kuna kizingiti kengine
Katiba Mpya yenyewe sio lazima Mpate kilakitu Mnataka kwa wakati huu‼️
Kidogo kisigomewe japo vikwazo vinapungua tofauti na jana✅️
Lkn napo tutaanza Ushindani mpya wa Panya na Paka‼️
sisi tunataka aya 👈‼️
Nawale wanataka yale ❗️👈
Mwisho tunakwama kubishana jambo lile na lile muda wa uyo kiongozi unakwisha‼️👈
Mwisho wa siku inakuwa imekula kwa Upinzani wenyewe🤠🤠
kiongozi mpya hakija yeye hataki kusikia mchakato wowote
kuendelea🤠🤠