Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa


Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Nimeisevu hii halafu nataka niitumbukize kwenye AI initafsirie neno kwa neno, nitarudi na mrejesho
Nina uhakika hachomoki na alichokisema na hasa ukizingatia matukio yaliyofuata
 
Chadema wanachokataa business as usual kwamba masiishi kwa hisani ya CCM ndio maana wamekubali kutoshindwa kama wakiweza kwenye hili kutakuwa na mabadiliko makubwa

Kushinda kwa Lissu hakuna faida yoyote kwa Upinzani au Chadema kama Chadema

Lissu ikiwa atashinda kesi manake niyeye binafsi hatadai Fidia
Ya kupotezewa muda wake nk.

Ndiomana nikasema ingekuwa Wapinzani wana MAONO
makubwa
Huu sio muda kusumbuana Mahakamani👈

kisa kuishinda Jamhuri au kusumbuka na faida ya Fidia

Wapinzani wa kweli lazima wawe kwa maslahi mapana ya Kitaifa
Kujenga japo kibanda cha kufanya wakumbukwe kwaajili ya Vizazi vijavyo kwazaidi ya miaka 50 ijayo

Lissu anaweza kupata aibu kidogo ya kufanya Maridhiano wapo watasema kashindwa mana kwenye wengi kuna mengi

lkn yeye Moyoni akawa na Sababu za msingi kutoa muda huu kukimbizana na Mchakato wa KATIBA Mpya👈

Heshima ikiambatana
na sifa
huja kwa kuchelewa mpaka watu watasmini kile umefanya jana 👈

kwa wkt ule wanaweza Kuchelewa kukiona lkn wakaja kukuelewa baadae sn👈

tofauti na Sifa
Sifa leo leo tu utapata na kuondoka muda mfupi ujao❗️

Lissu Elimu yake inaweza isije kukumbukukwa na ikiwa maamuzi yake yatakosa tafakari kuu kufanya kitu kwaajili ya Vizazi vijavyo👈

KATIBA Mpya ni dai la wengi sio tu waliokufa Mo29 kuna wengine walikufa 2001
Katiba mpya ni sawa na maji ya kunywa kwa Upinzani 👈

Kunapotokea fursa niwazi kwanza Wapinzani wangejielekeza uko badala ya kushindana na Jamhuri kupitia kesi hisiokwisha leo
wala kesho ✍️

Wazungu wanatuona watu weusi tuna uwoni .mdogo wa mambo
Lkn kuna wakati tujikichunguza kwa makini kuna ka Ukweli

Watu weusi tuna umimi sana kuliko maslahi ya wengi hatuna kusoma maitaji ya nyakati

Tukikazania jambo letu Akili yote ipo uko kama sasa Akili ipo kwenye kesi ya Lissu

Kumbe nyakati izi tulipaswa kuwa kwenye kilio ya miaka mingi kuusu KATIBA mpyaa✍️

Tuseme iwe bahati tujielekeza uko kwenye KATIBA kwa wakati❗️

lkn napo kuna kizingiti kengine
Katiba Mpya yenyewe sio lazima Mpate kilakitu Mnataka kwa wakati huu‼️
Kidogo kisigomewe japo vikwazo vinapungua tofauti na jana✅️

Lkn napo tutaanza Ushindani mpya wa Panya na Paka‼️

sisi tunataka aya 👈‼️
Nawale wanataka yale ❗️👈

Mwisho tunakwama kubishana jambo lile na lile muda wa uyo kiongozi unakwisha‼️👈

Mwisho wa siku inakuwa imekula kwa Upinzani wenyewe🤠🤠

kiongozi mpya hakija yeye hataki kusikia mchakato wowote
kuendelea🤠🤠
 
Binafsi siamini kwenye Upinzani lkn kuwepo kwa Sheria nzuri za namna ya kuchaguana Viongozi mbali mbali yumkin ikapunguza ukakasi kwenye Chaguzi zetu siku zijazo na kupunguza malalamiko kadiri iwezekanavyo✍️
 
Ni kweli, kwenye hizo mahakama za simu moja hachomoi. Yaani Samia anaamini akizitumia mahakama zitafanya tusione kuwa mauaji kafanya yeye ili asalie madarakani kwa wizi wa kura. Huyo shetani jike wa kizimkazi hata acheze na mahakama vipi, aunde tume vipi, hawezi kubadilisha ukweli.

Nendeni mkamchomoe sasa hapo mahakamani

Ameshapigwa miti tayari na majaji
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Unaungaunga video ilikupata usahihi wa ilo unalotaka ku
Acha uzwazwa!?
Zitengannishe basi halafu tujadili unayoitaka
Sina haja ya kujadili hayo, ningetaka ningefungua nyuzi
Nimejaribu kukwambia tuuh..
Kwamba hamna AIBU kabisaaaa!?
 
Nendeni mkamchomoe sasa hapo mahakamani

Ameshapigwa miti tayari na majaji
Nasema hivi, huyo jini jike wa kiisilamu hata afanye nini haweza kufunika ukweli. Uzuri kwa sasa kila mtu anajua mahakama zinatumika dhidi ya wenye haki. Hata atumie mahakama vipi, aunde tume vipi, ukweli uko na wazi. Kikubwa kila mtu anajua anatumia madaraka ya wizi kumfanyizia Lisu, kwani Lisu aliwataka wananchi wasiwe mazoba tena.
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Hakuna cha uhaini bambika ya CCM na uoga wa ccm na roho mbaya ya chawa
 
Nasema hivi, huyo jini jike wa kiisilamu hata afanye nini haweza kufunika ukweli. Uzuri kwa sasa kila mtu anajua mahakama zinatumika dhidi ya wenye haki. Hata atumie mahakama vipi, aunde tume vipi, ukweli uko na wazi. Kikubwa kila mtu anajua anatumia madaraka ya wizi kumfanyizia Lisu, kwani Lisu aliwataka wananchi wasiwe mazoba tena.

Tunamfunga yule kichaa
Yeye si alijifanya nunda?
 
Alipanga hiyo ramani peke yake? Kama kuna watu alipanga nao ramani ilikuwaje hawakukamatwa naye! badala yake wakaachwa hadi wakatekeleza hayo maelekezo? Hivi inakuwaje watu wengi mlioko serikalini mna low thinking capacity?
Anza kusoma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons ..... na kama mtu mmoja hawezi kushitakiwa kwa uhaini basi kwa siku ya leo asingekutwa na kesi ya kujibu maana ingeishia tu kwa kuonyesha such weakness kwamba ni mtu mmoja
 
Ukiwa na kesi hakikisha sheria zinafuatwa
TL hakukataa ushahidi wa video bali aliionyesha mahakama kuwa ushahidi huo umeletwa kimakosa maana muwasilishaji hakutumiza matakwa ya kisheria na mahakama ukaikataa hiyo video na siyo TL aliyeikataa bali alionyesha mapungufu yake.
Ndiyo maana nakuhakikishia kuwa ile video ndiyo ina uhaini wake
 
Kama hiyo video sio hata sehemu ya ushahidi uliopo mahakamani unapaswa kufuta huu uzi wako kwa sababu hauna maana yoyote
Uzi ungekuwa hauna maana, usingechangia mara 4 mpaka sasa Bro
 
Wakuu hivi tukitumia maneno hayo hayo ya kukinukisha kwa maana ile ile aliyoimaanisha yeye tukangeza na kuzuia uchaguzi kosa linakua wapi.. Huenda alimaanisha hivyo hivyo mnavyowaza nyie watawala, lakini ilikua kwa nia ya kuweka mambo sawa. Inawapa shida kwakua waathiriwa mlikua nyie.
Nchi inaongozwa kwa Katba, na Rais ataindoka kikatiba siyo kwa vurugu za 29/10.

Tanzania lazima ilindwe kwa wivu mkubwa
 
Anza kusoma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons ..... na kama mtu mmoja hawezi kushitakiwa kwa uhaini basi kwa siku ya leo asingekutwa na kesi ya kujibu maana ingeishia tu kwa kuonyesha such weakness kwamba ni mtu mmoja
Basi kwa mara ya kwanza kabisa dunia itashuhudia mtu mmoja akishtakiwa kwa kupanga peke yake kufanya uhaini, na mwisho wa siku akahukumiwa kunyongwa mpaka kifo. Kichekesho zaidi ni kushuhudia ushahidi wa mchongo nao ukipewa kipaumbele.
 
Back
Top Bottom