Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 44,554
- 131,128
Huu uhaini wa kulazimisha unafanya kazi kwenye mahakama za kangaroo tu.Kwanini aukatae huo ushahidi kama hauna tija? Aliukataa lwa sababu anajuwa alichongea ni uhaini kwa hiyo ukipolelewa atakutwa na hatia. Kama aliyosema siyo makosa angeacha iingie halafu a defend mantiki za maneno yake