Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Kwanini aukatae huo ushahidi kama hauna tija? Aliukataa lwa sababu anajuwa alichongea ni uhaini kwa hiyo ukipolelewa atakutwa na hatia. Kama aliyosema siyo makosa angeacha iingie halafu a defend mantiki za maneno yake
Huu uhaini wa kulazimisha unafanya kazi kwenye mahakama za kangaroo tu.
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Ogopa mahakama ya wananchi. Usidhani upuuzi wako unaweza kufunika ugqidi na uhaini wa CCM
 
Alipanga akaacha ramani ndipo akatiwa nguvuni. Huku nyuma watu wakatekeleza kadri ya maelekezo
Alipanga hiyo ramani peke yake? Kama kuna watu alipanga nao ramani ilikuwaje hawakukamatwa naye! badala yake wakaachwa hadi wakatekeleza hayo maelekezo? Hivi inakuwaje watu wengi mlioko serikalini mna low thinking capacity?
 
Mzee Wasira kiumri ni mkubwa kufananisha na Viongozi wa Chadema wenye nafasi za kiutendaji

Busara za kumuheshimu Mzee Wasira zingemchomoa Lissu mapema zaidi

Kwakufqnyika Maridhiano ✅️

Lkn watoto wabishi wanataka kushinda kesi
Dhidi ya Jamhuri ili wadai Fidia❌️

Ktk ili Visafari vya Mahakamani vitadumu muda mrefu🤔🤔

Madhara yake kwa Afya ya Upinzani Tanzania
Moja wapo❗️ muda huu kama Lissu angekuwa huru
Angetoa mchango mkubwa kwenye Mabadiriko ya KATIBA mpya

Kwasasa vyama vya upinzani walipaswa viwe kwenye vikao juu ya Mustakabali wa KATIBA mpya

Niwakati pekee nadra unapotea kwaajili ya Ushindani wa maslahi Binafsi ya Lissu ukweli
utabaki ivyo👈

Chadema kingepaswa kuwa Sehemu ya Mchakato huu
kwasasa👈

Sababu CCM chini makamu wake Mzee Wasira kashasema zamani wapo tayali kwa Maridhiano👈

Niwakumbushe historia inashabiaana na kwamba Mabadiriko ya KATIBA ufanywa na Rais yule tu kwa muda uho hayupo tena kwenye Uchaguzi👈

kwaamaana muda wake kikatiba kugombea hawezi 👈

Rais uyo ndio mnaweza kukaa nae kufanya Mabadiriko yoyote kwenye Sheria au KATIBA kabisa kujenga msingi wake kuendana na vyama vingi✅️

Mkumbuke Mzee Jakaya Mrisho Kikwete kipindi chake cha mwisho ndipo kidogo tupate KATIBA mpya
Narudia kipindi chake cha mwisho lkn mchakato ukashindwa kumalizika😥

Mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete akasema kiongozi mpya ajaye atamalidhia mchakato mana muda wake ulikuwa sio rafiki tena❗️

Alipokuja Rais mpya naye ni rip JPM yeye hakutaka uwo mchakato mana ungemwathiri yeye kwanza 🤔🤔

Kumbe lazima tutambue Sasa Mabadiriko ya KATIBA yananyakati zake zikipita ndio zimepita‼️

Wapinzani kipindi kile wangekuwa wepesi kabla ya Rip JPM kuja kungekuwa tayali kushapatikana KATIBA mpya

Fursa ile ikapotea.
Kwa zaidi ya miaka 15 😥

Leo chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan tumepata tena ile Fursa sasa tusisaau tukichelewa ni wazi Rais mpya ajaye atakama ningekuwa mimi au ww usingekata tawi naww upo Juu ya
Mti uho uho❌️

Ungekataa kwamuda uho Mchakato wa KATIBA mpya❗️

Ivyo ingekuwa Wapinzani wapo kwa Maslahi ya kitaifa kutete Mabadiriko ya kweli Upinzani wa kweli wangejiongeza kupishana na Muda

Naamini kesi ya Lissu wangeimaliza wao ndani ya Chadema kwa njia ya Maridhiano ili wakimbizane na muda kuusu KATIBA mpyaa👈

Ikumbukwe kwasasa Chama cha Chadema hakina ruzuku yoyote kupitia Maridhiano ayo Chama kingepata hauweni ya kiuchumi kujiendesha kipindi ichi cha mchakato wa KATIBA Mpya ✅️

Kwamaana muda ndio huu Chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan kuupoteza muda huu manake tutangoja miaka 10 mengine kama sio zaidi ili tupate wakati mzuri kama wasasa😥😥.

Rais mwenye kumaliza muda wake lkn mwenye pia Utashi wa kusimamia Mabadiriko
ya KATIBA ✍️
 
Kwanini sasa kama siyo uhaini alikataa ushahidi wa video usipokelewe kama ushahidi?
Ukiwa na kesi hakikisha sheria zinafuatwa
TL hakukataa ushahidi wa video bali aliionyesha mahakama kuwa ushahidi huo umeletwa kimakosa maana muwasilishaji hakutumiza matakwa ya kisheria na mahakama ukaikataa hiyo video na siyo TL aliyeikataa bali alionyesha mapungufu yake.
 
-Kuzuia uchaguzi inaweza kuwa kwa kuhamasisha watu wasiende kupiga kura au kwa sheria za mahakamani
-Uasi inaweza kuwa maandamano, kutotii Sheria katili n.k (non-armed rebellion)
-Kukinukisha kila siku watu wanasema haya maneno, utaamua wewe mwenyewe tafsiri yako
Angeruhusu video iingie ndiyo apambane na hizo tafsiri dhidi ya akina Katuga. Kitendo cha kuizuia amejichelewesha sana
 
Mzee Wasira kiumri ni mkubwa kufananisha na Viongozi wa Chadema wenye nafasi za kiutendaji

Busara za kumuheshimu Mzee Wasira zingemchomoa Lissu mapema zaidi

Kwakufqnyika Maridhiano ✅️

Lkn watoto wabishi wanataka kushinda kesi
Dhidi ya Jamhuri ili wadai Fidia❌️

Ktk ili Visafari vya Mahakamani vitadumu muda mrefu🤔🤔

Madhara yake kwa Afya ya Upinzani Tanzania
Moja wapo❗️ muda huu kama Lissu angekuwa huru
Angetoa mchango mkubwa kwenye Mabadiriko ya KATIBA mpya

Kwasasa vyama vya upinzani walipaswa viwe kwenye vikao juu ya Mustakabali wa KATIBA mpya

Niwakati pekee nadra unapotea kwaajili ya Ushindani wa maslahi Binafsi ya Lissu ukweli
utabaki ivyo👈

Chadema kingepaswa kuwa Sehemu ya Mchakato huu
kwasasa👈

Sababu CCM chini makamu wake Mzee Wasira kashasema zamani wapo tayali kwa Maridhiano👈

Niwakumbushe historia inashabiaana na kwamba Mabadiriko ya KATIBA ufanywa na Rais yule tu kwa muda uho hayupo tena kwenye Uchaguzi👈

kwaamaana muda wake kikatiba kugombea hawezi 👈

Rais uyo ndio mnaweza kukaa nae kufanya Mabadiriko yoyote kwenye Sheria au KATIBA kabisa kujenga msingi wake kuendana na vyama vingi✅️

Mkumbuke Mzee Jakaya Mrisho Kikwete kipindi chake cha mwisho ndipo kidogo tupate KATIBA mpya
Narudia kipindi chake cha mwisho lkn mchakato ukashindwa kumalizika😥

Mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete akasema kiongozi mpya ajaye atamalidhia mchakato mana muda wake ulikuwa sio rafiki tena❗️

Alipokuja Rais mpya naye ni rip JPM yeye hakutaka uwo mchakato mana ungemwathiri yeye kwanza 🤔🤔

Kumbe lazima tutambue Sasa Mabadiriko ya KATIBA yananyakati zake zikipita ndio zimepita‼️

Wapinzani kipindi kile wangekuwa wepesi kabla ya Rip JPM kuja kungekuwa tayali kushapatikana KATIBA mpya

Fursa ile ikapotea.
Kwa zaidi ya miaka 15 😥

Leo chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan tumepata tena ile Fursa sasa tusisaau tukichelewa ni wazi Rais mpya ajaye atakama ningekuwa mimi au ww usingekata tawi naww upo Juu ya
Mti uho uho❌️

Ungekataa kwamuda uho Mchakato wa KATIBA mpya❗️

Ivyo ingekuwa Wapinzani wapo kwa Maslahi ya kitaifa kutete Mabadiriko ya kweli Upinzani wa kweli wangejiongeza kupishana na Muda

Naamini kesi ya Lissu wangeimaliza wao ndani ya Chadema kwa njia ya Maridhiano ili wakimbizane na muda kuusu KATIBA mpyaa👈

Ikumbukwe kwasasa Chama cha Chadema hakina ruzuku yoyote kupitia Maridhiano ayo Chama kingepata hauweni ya kiuchumi kujiendesha kipindi ichi cha mchakato wa KATIBA Mpya ✅️

Kwamaana muda ndio huu Chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan kuupoteza muda huu manake tutangoja miaka 10 mengine kama sio zaidi ili tupate wakati mzuri kama wasasa😥😥.

Rais mwenye kumaliza muda wake lkn mwenye pia Utashi wa kusimamia Mabadiriko
ya KATIBA ✍️
Chadema wanachokataa business as usual kwamba masiishi kwa hisani ya CCM ndio maana wamekubali kutoshindwa kama wakiweza kwenye hili kutakuwa na mabadiliko makubwa
 
Wakuu hivi tukitumia maneno hayo hayo ya kukinukisha kwa maana ile ile aliyoimaanisha yeye tukangeza na kuzuia uchaguzi kosa linakua wapi.. Huenda alimaanisha hivyo hivyo mnavyowaza nyie watawala, lakini ilikua kwa nia ya kuweka mambo sawa. Inawapa shida kwakua waathiriwa mlikua nyie.
 
View attachment 3654709

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Hiyo ulitakiwa iwe kesi ya uchochezi unajua maana ya uhaini?
 
Hilo halitatokea abadan. Lissu saa hii ingeishatoka zamani sana ila tatizo ni maneno maneno ya wafuasi wake na yeye. Kwa sasa Serikali na Mahakama wanahaha kuona angle watakayomtoa isilete aibu kwao
Hakuna aibu kwenye Mahakama, hakuna aibu kwenye kulinda amani na utulivu wa nchi
 
Wakuu hivi tukitumia maneno hayo hayo ya kukinukisha kwa maana ile ile aliyoimaanisha yeye tukangeza na kuzuia uchaguzi kosa linakua wapi.. Huenda alimaanisha hivyo hivyo mnavyowaza nyie watawala, lakini ilikua kwa nia ya kuweka mambo sawa. Inawapa shida kwakua waathiriwa mlikua nyie.
Shida ninayoiona hapa wengi hawajui maana ya uhaini kwenye hiyo video inaonesha ni kesi ya uchochezi sio uhaini huo
 
Back
Top Bottom