Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa


Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Let say aseme alikuwa anatania na ku jokes,lakini kumbuka imeshaleta maafa!,
Tatizo la lissu ni kushindwa --kuielewa nafasi na cheo alichonacho kama mwenyekiti wa chama endapo kama kauli tu inaweza kuleta maafa au baraka---/
#Unapokuwa katika mamlaka hasa hayo ya kisiasa,ukatamka jambo,basi huchukuliwa kama Agizo!..na vyombo vya chini huanza utekelezaji mara moja.
 
..uhaini hauwezi kuwepo bila kupanga njama, kuwa na silaha, na ku-target viongozi wa serikali. Hakuna uhaini wa mtu mmoja.
Siyo kweli. Nionyeshe silaha za akina Lugangira waliotaka kumpindua Nyerere mwaka 1983.

Soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons .....
 
Mbona hilo linajulikana kwa yeyote mwenye akili timamu?

Nia hapo ilikuwa ni kupinga uchaguzi wa kihuni, wizi wa kura, na utapeli wa uchaguzi unaopelekea watu wasiochaguliwa na wapiga kura kutangazwa kama "washindi" wa uchaguzi.

Hivi kati ya mwizi wa uchaguzi kinyume na matakwa ya Katiba ya nchi, na anayepinga huo wizi ili uchaguzi uwe wa kweli na halali, sanduku la kura liheshimiwe, ni yupi mhaini halisi??
Alipaswa apinge kupitia Mahakama lakini siyo kwa kuanzisha vurugu
 
Let say aseme alikuwa anatania na ku jokes,lakini kumbuka imeshaleta maafa!,
Tatizo la lissu ni kushindwa --kuielewa nafasi na cheo alichonacho kama mwenyekiti wa chama endapo kama kauli tu inaweza kuleta maafa au baraka---/
#Unapokuwa katika mamlaka hasa hayo ya kisiasa,ukatamka jambo,basi huchukuliwa kama Agizo!..na vyombo vya chini huanza utekelezaji mara moja.
Lissu alionywa hata na Jaji Warioba alipomtembelea baada ya kushinda uchaguzi Jan 2025. Warioba alimuambia endeleeni kupigania reforms ndogondogo zinzowezekana kwa short term lakini HAMUWEZI KUAHIRISHA AU KUZUIA UCHAGUZI kwa kuwa upo Kikatiba.

Hata alipomtembelea Raila Odinga pia alishauriwa kutozuia uchaguzi.

Lakini mwana kulifaindi kutoka Ikungi kajifanya ana big balls. Mwache aendelee kulinywa
 
Siyo kweli. Nionyeshe silaha za akina Lugangira waliotaka kumpindua Nyerere mwaka 1983.

Soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons .....

..lungangira na wenzake walipanga njama.

..vilevile walifanya vikao vilivyosuka mipango ya kupata silaha.

..wali-recruit wanajeshi ambao wangewapatia silaha, na wangetumia silaha kupokonya madaraka toka utawala uliokuwepo.

..Lungangira na wenzake walikuwa mpaka na hit-list. Walipanga kuuwa baadhi ya viongozi na waliwataja kwa majina viongozi hao.

..huo ndio mfano wa uhaini. Sasa linganisha na tuhuma dhidi ya Tundu Lissu.

..Uhaini ni kosa ambalo hukumu yake ni kunyongwa, kifungo kirefu, au maisha. Sasa kauli au matendo ya Tundu Lissu yanastahili hukumu iliyoelekezwa kwa makosa ya uhaini?
 
Lissu alionywa hata na Jaji Warioba alipomtembelea baada ya kushinda uchaguzi Jan 2025. Warioba alimuambia endeleeni kupigania reforms ndogondogo zinzowezekana kwa short term lakini HAMUWEZI KUAHIRISHA AU KUZUIA UCHAGUZI kwa kuwa upo Kikatiba.

Hata alipomtembelea Raila Odinga pia alishauriwa kutozuia uchaguzi.

Lakini mwana kulifaindi kutoka Ikungi kajifanya ana big balls. Mwache aendelee kulinywa

..hata Mama alishauriwa afanye mabadiliko yatakayowezesha uchaguzi ufanyike kwa amani akapuuza.

..ilifika wakati watu na asasi zilizokuwa zinasisitiza mabadiliko na maridhiano kabla ya uchaguzi walinyimwa nafasi ya kuonana na Mama au Tume.

..Viongozi wa Dini walipopanga kwenda kuzungumza na Mama kuhusu uchaguzi mratibu wao Fr.Kitima alishambuliwa.

..Sasa Mama aliendelea kuchanja mbuga kuelekea uchaguzi bila maridhiano matokeo yake kumetokea mauaji ya kutisha ya kihistoria OCT 29.

..Kinachofanyika sasa hivi ni jitihada za kuwapakazia lawama wasiohusika. Lakini jambo hilo haliwezekani. Watanzania wanajua ukweli wa kilichotokea.
 
Siyo kweli. Nionyeshe silaha za akina Lugangira waliotaka kumpindua Nyerere mwaka 1983.

Soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons .....

..hata ukikubali Lissu ni mhaini, ukipima alichokifanya / alichokisema akili inagoma kumpa adhabu wanazopewa wahaini.

..sheria yetu ya uhaini kama itamkuta Lissu na hatia basi itakuwa na mapungufu makubwa. Tutasema kwamba ni sheria mbovu / bad law.
 
Angefanikiwa kuvuruga huo uchaguzi nchi isingetawalika Hadi Sasa tungekuwa bado tunachinjana tu wenyewe Kwa wenyewe anyongwe tu na Heche nae asiachwe wote wanyongwe
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Tundu lisu anyongwe
 
Let say aseme alikuwa anatania na ku jokes,lakini kumbuka imeshaleta maafa!,
Tatizo la lissu ni kushindwa --kuielewa nafasi na cheo alichonacho kama mwenyekiti wa chama endapo kama kauli tu inaweza kuleta maafa au baraka---/
#Unapokuwa katika mamlaka hasa hayo ya kisiasa,ukatamka jambo,basi huchukuliwa kama Agizo!..na vyombo vya chini huanza utekelezaji mara moja.
Niliandika hapa kuwa Lisu hafai kuongoza jambo lolote isipokuwa uwanaharakati tu.

Hana busara za uongozi kabisa.

Alishaharibu kabisa TLS ila watu walikuwa wanamsifia.
 
Niliandika hapa kuwa Lisu hafai kuongoza jambo lolote isipokuwa uwanaharakati tu.

Hana busara za uongozi kabisa.

Alishaharibu kabisa TLS ila watu walikuwa wanamsifia.
Hakika mkuu!,
1000012175.png
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
kwani huyo Rais ana nini kiasi cha kushindwa kutoa ushahidi mahakamani
au ukiwa Rais unapoteza uwezo wa kujieleza na kujitetea ?
halafu huyo rais alitoa matamko yanayoashiria kuwa alituma askari wake kuua raia.
 
Niliandika hapa kuwa Lisu hafai kuongoza jambo lolote isipokuwa uwanaharakati tu.

Hana busara za uongozi kabisa.

Alishaharibu kabisa TLS ila watu walikuwa wanamsifia.
Hakika,hekima ya uongozi hana,ispokuwa ana crame capability kubwa sana,ni jamii ya watu wanaopaswa kuwa wachungaji
1000012175.png
 
..lungangira na wenzake walipanga njama.

..vilevile walifanya vikao vilivyosuka mipango ya kupata silaha.

..wali-recruit wanajeshi ambao wangewapatia silaha, na wangetumia silaha kupokonya madaraka toka utawala uliokuwepo.

..Lungangira na wenzake walikuwa mpaka na hit-list. Walipanga kuuwa baadhi ya viongozi na waliwataja kwa majina viongozi hao.

..huo ndio mfano wa uhaini. Sasa linganisha na tuhuma dhidi ya Tundu Lissu.

..Uhaini ni kosa ambalo hukumu yake ni kunyongwa, kifungo kirefu, au maisha. Sasa kauli au matendo ya Tundu Lissu yanastahili hukumu iliyoelekezwa kwa makosa ya uhaini?
Yanastahili, yeye ndiye alisababisha vurugu za 29/10
 
Yanastahili, yeye ndiye alisababisha vurugu za 29/10

..lissu, heche, na viongozi wengi wa cdm walikuwa kifunguni Oct 29 wakati mauaji yakiendelea.

..mama ndiye aliyesababisha vurugu na mauaji Oct 29.

..waliofanya vurugu walikuwa wanamlalamikia na kumshutumu mama.

..waliouwa watu kinyama waliwezeshwa kwa silaha, na kutumwa na mama.
 
Back
Top Bottom