Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,738
- 27,459
Let say aseme alikuwa anatania na ku jokes,lakini kumbuka imeshaleta maafa!,
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Tatizo la lissu ni kushindwa --kuielewa nafasi na cheo alichonacho kama mwenyekiti wa chama endapo kama kauli tu inaweza kuleta maafa au baraka---/
#Unapokuwa katika mamlaka hasa hayo ya kisiasa,ukatamka jambo,basi huchukuliwa kama Agizo!..na vyombo vya chini huanza utekelezaji mara moja.