Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,607
- 9,910
We mkundu ulishawahi kuwa na hoja?Hii dialogue haihitaji hasira, ukiwa na hoja toa kama huna pita shwaaa!
We mkundu ulishawahi kuwa na hoja?Hii dialogue haihitaji hasira, ukiwa na hoja toa kama huna pita shwaaa!
Bila shaka mnausaka "uhaini" kwenye haya maneno:
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Jaji kasema japo ushahidi ni dhaifu sana lkn yeye haawaangalii ushahidi wanaangalia maneno. Hawajui kwamga kesi hii ni ya KIFO?
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Lissu na chadema hawapewi pesa na taasisi za njeWaandamanaji walilipwa na watu kutoka nje, ndio maana Lissu anamtaka mama yenu na wakuu wa vyombo vyake mahakamani 😁
Hiyo maana uneotoa kwenye kamusi gani?Bila shaka mnausaka "uhaini" kwenye haya maneno:
1. "Tutahamasisha uasi"
2. "Tutauvuruga vuruga kweli huu uchaguzi"
3. "Tutakinukisha kwelikweli"
Ufafanuzi wa kukujengea ufahamu
#TUTAHAMASISHA UASI:
Maana yake ni rahisi tu ni kujenga awareness kwa watu ili kuzikataa na kuzipinga taratibu na sheria mbaya za jambo fulani linalofanyika au linalotarajiwa kufanyika, bila shaka HUO NI UASI MTAKATIFU, UNAOFAA
#TUTAVURUGA VURUGA KWELI UCHAGUZI HUU:
Maana yake ni moja na rahisi tu, watu hawataenda kupiga kura kwa kuwa wanakuwa wameelewa kuwa wanachokwenda kukifanya hakuna maana yoyote kwao kwa kuwa matokeo ya kupikwa yameshaandaliwa tayari. Kwa kitendo hiki taratibu zote za kupiga kura zilizoandaliwa na wezi wa uchaguzi zinakuwa zimevurugika vurugika kwelikweli!
#TUTAKINUKISHA KWELIKWELI:
Maana yake ni rahisi tu, kuwa hii ni lugha ya picha ikiwa na maana ya kuvuma na kuenea kwa jambo au tukio fulani kwa mfano wa harufu inayotokana na kitu fulani kunuka. Watu kutojitokeza kupiga kura kulishitua waanadaa uchaguzi na wezi wa chaguzi (CCM na serikali yake).
Kwa ujinga wao wakajiingiza wenyewe kwenye mtego wa maneno haya ya Tundu Lissu.
Wakafungua maghala ya silaha, wakawapa Polisi na wanajeshi na kuagiza kuua kila wanayekutana naye mitaani na wengine kufuatwa majumbni, vijiweni na maeneo ya starehe bar, mabanda umiza ya mpira, vijiwe vya kahawa nk..
BTW, subiri. Hili somo ni zuri sana. Utaendelea kulipata tokea mahakamani. Lilianza jana Ijumaa, litaendelea J3 na siku zinazofuata mpaka muelewe na yaingie kwenye akili zenu..
We shoga msenge kaa kimya na huo mkundu wako.Baada ya Magufuli kufa umeamua kuuza mkundu?
Ni kweli alitoka jela nakwrenda kuwapiga watu risasi, magereza wanapaswa kihojoea ilikuwaje aruhusiwe kutoka kwenye mikono yaoHochomoi hiyo huyo mwendawazimu
Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili
Ale kitanzi tuh fala huyo
Hakuna uhaini hapo. Uhaini ni conspiracy na matendo, sio public statements. Na duniani hakunaga conspiracy ya mtu mmoja, kwasababu, by definition, a conspiracy requires an agreement between two or more people!
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Ungeipeleka mahakamani ingesaidia sana,Jaji asingesema kuwa mahakama haiangalii uzito wa ushahidi wala kuaminika kwake'.
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
hachomoki wakati unaona kabisa kibano anachotoaHochomoi hiyo huyo mwendawazimu
Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili
Ale kitanzi tuh fala huyo
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Kupanga tu nao ni uhaini siyo lazima kushika bunduki. Kwani Lugangira "Uncle Tom" alishika bunduki mwaka 1983 kwenye ile kesi ya uhaini?Ni kweli alitoka jela nakwrenda kuwapiga watu risasi, magereza wanapaswa kihojoea ilikuwaje aruhusiwe kutoka kwenye mikono yao
Soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons ..... na kama mtu mmoja hawezi kushitakiwa kwa uhaini basi kwa siku ya juzi asingekutwa na kesi ya kujibu maana ingeishia tu kwa kuonyesha such weakness kwamba ni mtu mmojaHakuna uhaini hapo. Uhaini ni conspiracy na matendo, sio public statements. Na duniani hakunaga conspiracy ya mtu mmoja, kwasababu, by definition, a conspiracy requires an agreement between two or more people!
Kama angekuwa anakabiliwa na mashitaka ya uchochezi angalau kungekuwa na hoja ya kujadili.
Mbona hilo linajulikana kwa yeyote mwenye akili timamu?Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?