Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

Video: Uhaini wa Lissu uko hapa


Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Bila shaka mnausaka "uhaini" kwenye haya maneno:

1. "Tutahamasisha uasi"

2. "Tutauvuruga vuruga kweli huu uchaguzi"

3. "Tutakinukisha kwelikweli"

Ufafanuzi wa kukujengea ufahamu

#TUTAHAMASISHA UASI:

Maana yake ni rahisi tu ni kujenga awareness kwa watu ili kuzikataa na kuzipinga taratibu na sheria mbaya za jambo fulani linalofanyika au linalotarajiwa kufanyika, bila shaka HUO NI UASI MTAKATIFU, UNAOFAA

#TUTAVURUGA VURUGA KWELI UCHAGUZI HUU:

Maana yake ni moja na rahisi tu, watu hawataenda kupiga kura kwa kuwa wanakuwa wameelewa kuwa wanachokwenda kukifanya hakuna maana yoyote kwao kwa kuwa matokeo ya kupikwa yameshaandaliwa tayari. Kwa kitendo hiki taratibu zote za kupiga kura zilizoandaliwa na wezi wa uchaguzi zinakuwa zimevurugika vurugika kwelikweli!

#TUTAKINUKISHA KWELIKWELI:

Maana yake ni rahisi tu, kuwa hii ni lugha ya picha ikiwa na maana ya kuvuma na kuenea kwa jambo au tukio fulani kwa mfano wa harufu inayotokana na kitu fulani kunuka. Watu kutojitokeza kupiga kura kulishitua waanadaa uchaguzi na wezi wa chaguzi (CCM na serikali yake).

Kwa ujinga wao wakajiingiza wenyewe kwenye mtego wa maneno haya ya Tundu Lissu.

Wakafungua maghala ya silaha, wakawapa Polisi na wanajeshi na kuagiza kuua kila wanayekutana naye mitaani na wengine kufuatwa majumbni, vijiweni na maeneo ya starehe bar, mabanda umiza ya mpira, vijiwe vya kahawa nk..

BTW, subiri. Hili somo ni zuri sana. Utaendelea kulipata tokea mahakamani. Lilianza jana Ijumaa, litaendelea J3 na siku zinazofuata mpaka muelewe na yaingie kwenye akili zenu..
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Jaji kasema japo ushahidi ni dhaifu sana lkn yeye haawaangalii ushahidi wanaangalia maneno. Hawajui kwamga kesi hii ni ya KIFO?
 
Bila shaka mnausaka "uhaini" kwenye haya maneno:

1. "Tutahamasisha uasi"

2. "Tutauvuruga vuruga kweli huu uchaguzi"

3. "Tutakinukisha kwelikweli"

Ufafanuzi wa kukujengea ufahamu

#TUTAHAMASISHA UASI:

Maana yake ni rahisi tu ni kujenga awareness kwa watu ili kuzikataa na kuzipinga taratibu na sheria mbaya za jambo fulani linalofanyika au linalotarajiwa kufanyika, bila shaka HUO NI UASI MTAKATIFU, UNAOFAA

#TUTAVURUGA VURUGA KWELI UCHAGUZI HUU:

Maana yake ni moja na rahisi tu, watu hawataenda kupiga kura kwa kuwa wanakuwa wameelewa kuwa wanachokwenda kukifanya hakuna maana yoyote kwao kwa kuwa matokeo ya kupikwa yameshaandaliwa tayari. Kwa kitendo hiki taratibu zote za kupiga kura zilizoandaliwa na wezi wa uchaguzi zinakuwa zimevurugika vurugika kwelikweli!

#TUTAKINUKISHA KWELIKWELI:

Maana yake ni rahisi tu, kuwa hii ni lugha ya picha ikiwa na maana ya kuvuma na kuenea kwa jambo au tukio fulani kwa mfano wa harufu inayotokana na kitu fulani kunuka. Watu kutojitokeza kupiga kura kulishitua waanadaa uchaguzi na wezi wa chaguzi (CCM na serikali yake).

Kwa ujinga wao wakajiingiza wenyewe kwenye mtego wa maneno haya ya Tundu Lissu.

Wakafungua maghala ya silaha, wakawapa Polisi na wanajeshi na kuagiza kuua kila wanayekutana naye mitaani na wengine kufuatwa majumbni, vijiweni na maeneo ya starehe bar, mabanda umiza ya mpira, vijiwe vya kahawa nk..

BTW, subiri. Hili somo ni zuri sana. Utaendelea kulipata tokea mahakamani. Lilianza jana Ijumaa, litaendelea J3 na siku zinazofuata mpaka muelewe na yaingie kwenye akili zenu..
Hiyo maana uneotoa kwenye kamusi gani?
 
Hochomoi hiyo huyo mwendawazimu

Amesababisha umwagaji damu na uharibifu mkubwa sana ndani ya Taifa hili

Ale kitanzi tuh fala huyo
Ni kweli alitoka jela nakwrenda kuwapiga watu risasi, magereza wanapaswa kihojoea ilikuwaje aruhusiwe kutoka kwenye mikono yao
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Hakuna uhaini hapo. Uhaini ni conspiracy na matendo, sio public statements. Na duniani hakunaga conspiracy ya mtu mmoja, kwasababu, by definition, a conspiracy requires an agreement between two or more people!

Kama angekuwa anakabiliwa na mashitaka ya uchochezi angalau kungekuwa na hoja ya kujadili.
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Ungeipeleka mahakamani ingesaidia sana,Jaji asingesema kuwa mahakama haiangalii uzito wa ushahidi wala kuaminika kwake'.
 
Swali kuu ni hili.

Kama mnakiri uchaguzi ulizuiliwa kwa kukinukisha je Samuya alipataje uhalali wa kuitwa rais ilhali uchaguzi haukufanyika?
 
Kusema nitakuibia haitoshi kumshtaki mtu kwa kosa la wizi,anyway CCM na mapunga yenu mnajua mnachofanya,msitupotezee muda katafuteni wauaji na watekaji kwanza
 

Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?

Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.

..uhaini hauwezi kuwepo bila kupanga njama, kuwa na silaha, na ku-target viongozi wa serikali. Hakuna uhaini wa mtu mmoja.
 
Ni kweli alitoka jela nakwrenda kuwapiga watu risasi, magereza wanapaswa kihojoea ilikuwaje aruhusiwe kutoka kwenye mikono yao
Kupanga tu nao ni uhaini siyo lazima kushika bunduki. Kwani Lugangira "Uncle Tom" alishika bunduki mwaka 1983 kwenye ile kesi ya uhaini?
 
Hakuna uhaini hapo. Uhaini ni conspiracy na matendo, sio public statements. Na duniani hakunaga conspiracy ya mtu mmoja, kwasababu, by definition, a conspiracy requires an agreement between two or more people!

Kama angekuwa anakabiliwa na mashitaka ya uchochezi angalau kungekuwa na hoja ya kujadili.
Soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 inaana kusema "Any person....." and not a group of persons ..... na kama mtu mmoja hawezi kushitakiwa kwa uhaini basi kwa siku ya juzi asingekutwa na kesi ya kujibu maana ingeishia tu kwa kuonyesha such weakness kwamba ni mtu mmoja
 
Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Mbona hilo linajulikana kwa yeyote mwenye akili timamu?

Nia hapo ilikuwa ni kupinga uchaguzi wa kihuni, wizi wa kura, na utapeli wa uchaguzi unaopelekea watu wasiochaguliwa na wapiga kura kutangazwa kama "washindi" wa uchaguzi.

Hivi kati ya mwizi wa uchaguzi kinyume na matakwa ya Katiba ya nchi, na anayepinga huo wizi ili uchaguzi uwe wa kweli na halali, sanduku la kura liheshimiwe, ni yupi mhaini halisi??
 
Back
Top Bottom