Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wewe. Huyu bernard membe ambaye hata kujieleza hajui licha ya kueleza chochote kingine?Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
Umri umeenda huyo...2030 atakuwa over 80yrsNawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
Na Hangaya atakuwa na umri gani 2025Umri umeenda huyo...2030 atakuwa over 80yrs
Ata mimi naona Ndugai atafaaNa Hangaya atakuwa na umri gani 2025
Kama vipi twende na Ndugai
Mimi nikiwa huyo Membe wewe utakua nani mkuu??
Huyo joka la Mdimuni alirudi lini CCM?Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
WTFffffNawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
Huyu Niguse Ninuke
Goal La Dakika Ya 89
Tanzania Kweli Ni Tajiri
😂😂😂 Niguse ninuke!!!! Aisee tumetoka mbali hakika.Huyu Niguse Ninuke
Goal La Dakika Ya 89
Tanzania Kweli Ni Tajiri
Nchi Imejaa Sarakasi Mno😂😂😂 Niguse ninuke!!!! Aisee tumetoka mbali hakika.
Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani, Akirudi Zuzini Wenzake Watajua Hana Mkia.Membe yupi? Huyu aliyekatwa mkia?
Kwamba umependa jina la DustBin?Nimependa Jina lako tu. Kila kitu kimeishia humo.
Utabiri mbovu SANANawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.
Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.
Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai
DustBin
hatuweki matakata. tubatupa kule yanakwenda dampoNaomba muhifadhi hii thread..., baada ya miaka kadhaa mtakuja kunisadiki