UTABIRI: Bernard Membe kumrithi Rais Samia S. Hassan

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.

Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.

Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.

Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.

Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai

DustBin
Acha ujinga wewe. Huyu bernard membe ambaye hata kujieleza hajui licha ya kueleza chochote kingine?
Kwanza hata huwezi kujua anataka nini ila siasa zake ni za uswahili tu. Kwa mfano yeye kuiba hela iliyotolewa na ghadafy kujenga kiwanda cha mbolea lindi atasema kuna ubaya gani kama mwenyewe kapinduliwa na kuuliwa? Kufa kufaana bhana😆😆. Au mihadarati ina shida gani wakati watu wanapata hela nyingi na kuleta nyumbani. 😂😂😂 Hao ndio waswahili wa pwani bhana🏃🏃🤸🤸🚶‍♂️
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.

Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.

Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.

Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.

Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai

DustBin
Umri umeenda huyo...2030 atakuwa over 80yrs
 
Membe ni hopeless kabisa, ataiangamiza nchi. Hana strategy za kitaifa bali ana ego ya kuamini kuwa yeye ni bora kuliko wote bila hata kufanya lolote. Alipewa nafasi ya kugombea chini ya ACT Wazalendo, hakuna aliolifanya tunaloweza kukumbuka, bali mkutano aliofanya kijijini kwake tu ambao haukuwa na mshiko wowote bali kuonyesha ego yake tu.

Rais mzuri ajaye kutokea CCM siyo mwana CCM yeyote tunayemjua katika siasa za leo! Anatakiwa awe na independent mind, siyo aliyelelewa na viongozi waliopita
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.

Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.

Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.

Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.

Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai

DustBin
Huyo joka la Mdimuni alirudi lini CCM?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.

Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.

Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.

Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.

Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai

DustBin
WTFffff
 
CCM wanawaza kugawana urais tu wakati taifa linaporomoka kiuchumi, kidemokrasia - wananchi hawana furaha kimaisha..umeme; maji; tozo; matibabu matatizo.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.

Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.

Pamoja na uzoefu wake ktk siasa, wenyeji ktk chama, na weledi wa mambo ya kimataifa BCM ana ziada ya mvuto wa nafasi ya urais.

Ni wazi kabisa, baada ya Mhe. Rais SSH kumaliza muda wake BCM anaenda kukalia kiti.

Mtakuja kunikumbuka..! Tuombe uhai

DustBin
Utabiri mbovu SANA
 
hii nchi ili ibadilike, basi kuna ulazima wa kizaz cha wanasiasa wa leo hii kipotee chote na kije kizaz cha wananchi choka mbaya, ndicho kishike dola na kuongoza nchi kwa misingi ya haki na utawal bora.

tutachonga sana, tutalalamika sana, lkn bila kupotea kwa baazi ya watu huko serkalin hatuwez kuwa huru, wala nchi haiwez kupiga hatua.

kuna watu humo ktk vyama vyote vya siasa na chama tawala, wameshafanya kuwa vyama ni miliki zao na sehem zao za kurithishana na kuchaguana kwa mujibu wa matakwa yao uku undugu/ujamaa ukiwa umetawala,

wananchi wanatengwa mbali na chance ya kupata uongozi na nafasi serkalin sabbu ya uchu wa hawa wapuuzi.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom