Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Mengi yanazungumzwa. Mengi yanasemwa kuhusu kifo cha Bernard Membe. Ukweli mchungu ni kwamba kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kumfanya Membe kuwa mshauri wake mkuu masuala ya usalama na mambo ya nje, na pia kumuandaa kuwa mgombea mwenza 2025 imewaudhi Sukuma Gang. Bernard Kalimani, Mungu anakuona. Membe amekufa ila kampuni yake haijafa. 2025 siyo mbali.
Dorcas, Mrs Membe, kuwa na amani. Nchi iko nyuma yako.
Dorcas, Mrs Membe, kuwa na amani. Nchi iko nyuma yako.