Bei rahisi Electronicks
Member
- Nov 24, 2025
- 65
- 189
- Thread starter
- #41
Hahaha Aya bwanaKharusi ni yetu ndoa ni ya kwake , aweke hata bia mbili mbili tu sisi tutakuja tumeshazimua
Hahaha Aya bwanaKharusi ni yetu ndoa ni ya kwake , aweke hata bia mbili mbili tu sisi tutakuja tumeshazimua
Ni kweli Bwashe na sisi tufurahi , na hizo dhambi ziwe juu yetu na sio kwakoHahaha Aya bwana
Kudadadeki, akimpata na sharifu Vishu Mtata, hata kwa 60 atafanya.Sasa hiyo ni NDOA ama HARUSI? ndoa ya kiislam hapo ukiwapata masheikh ty jambo limeisha. Labda na sadaka ya msosi, iwe maji, mpunga, halua, tende, juice, ama biscuit fresh..
Kwa haraka haraka haizidi laki 5, ukiamua kupiga ila kubum kubaa nyepesi, basi ni laki inatosha sana.
Kama kuna dufu na dua huo mziki wa nini???Budget ya kharusi yangu ya kislamu nipo sahihi ya siku Moja
Kama una experience na ndoa ya kislamu naomba Ushauri
Chakula 500,000/
Mavazi 500,000/
Usafiri wa kuoa 500,000/
Tent 100,000/
Madufu Madrasa 100,000/
Mapambo 100,000/
Generator&Mziki 100,000/
Dua ya la Kharusi 100,000/
Mpiga Picha 100,000/
Usafiri wa kawaida 200,000/
Shekh wa kuozesha & Bakwata100,000/
Akiba 100,000/
Jumla 2,500,000/
Ndoa ina madufu na miziki hadi duaa inalipiwa aloo hii ndoa kiboko,Sasa hiyo ni NDOA ama HARUSI? ndoa ya kiislam hapo ukiwapata masheikh ty jambo limeisha. Labda na sadaka ya msosi, iwe maji, mpunga, halua, tende, juice, ama biscuit fresh..
Kwa haraka haraka haizidi laki 5, ukiamua kupiga ila kubum kubaa nyepesi, basi ni laki inatosha sana.
itakuwa mwali anataka na kijamvi 😅Ndoa ina madufu na miziki hadi duaa inalipiwa aloo hii ndoa kiboko,
Aoe zake kipindi cha Ramadhan usiku ni mwendo wa bites na kahawa hata laki 2 hamalizi anabeba mkewe
Aione shemeji yako dosho12, anyway ume bakiza dada wangapi 😅Kama kuna dufu na dua huo mziki wa nini???
Kama kuna sheikh na analipwa hiyo laki moja ya dua ni ya nini???
Usafiri jumla Laki 3 unaenda kuoa wapi na wewe upo wapi???
Wanafanya mambo kuwa magumu, Kama vipi anitumie mimi elfu 30 tu ya mafuta, naenda kuwafungisha ndoa bureeee, na sitaki hata maji ya kunywa..Ndoa ina madufu na miziki hadi duaa inalipiwa aloo hii ndoa kiboko,
Aoe zake kipindi cha Ramadhan usiku ni mwendo wa bites na kahawa hata laki 2 hamalizi anabeba mkewe
Mie hata 30 nawafanyiaKudadadeki, akimpata na sharifu Vishu Mtata, hata kwa 60 atafanya.
Kaka tamaa Ume anza lini?, Kikubwa sinia 2 za ubwabwa sherehe iende.Mie hata 30 nawafanyia
Si ndio 30 hiyo, tunaenda KISINIA RESTAURANT.Kaka tamaa Ume anza lini?, Kikubwa sinia 2 za ubwabwa sherehe iende.
Shem jipange tukikupendelea sana angalau hiyo iwe mara 5.binti kiziwi kwenu mnapenda za namna hii?, au mpaka twende pale Taj mahal 😅😂
Budget ya kharusi yangu ya kislamu nipo sahihi ya siku Moja
Kama una experience na ndoa ya kislamu naomba Ushauri
Chakula 500,000/
Mavazi 500,000/
Usafiri wa kuoa 500,000/
Tent 100,000/
Madufu Madrasa 100,000/
Mapambo 100,000/
Generator&Mziki 100,000/
Dua ya la Kharusi 100,000/
Mpiga Picha 100,000/
Usafiri wa kawaida 200,000/
Shekh wa kuozesha & Bakwata100,000/
Akiba 100,000/
Jumla 2,500,000/
Heshima kama hizi tunaziona za viselebriti vya kigalatia kina mc pilipili vinao kwa shobo nyingi kanisani kumbe ana mabwana zake wa kumpelekea moto , akishutiwa anajinyoga ndio kaivunjaWaislam hawana ndoa. hiyo inaitwa " "gentlemen contract" Ndoa ni taasisi yenye heshima yake katika kuifunga na kuivunja