Ushauri ndoa ya kislamu?

Ushauri ndoa ya kislamu?

Budget ya kharusi yangu ya kislamu nipo sahihi ya siku Moja
Kama una experience na ndoa ya kislamu naomba Ushauri

Chakula 500,000/
Mavazi 500,000/
Usafiri wa kuoa 500,000/
Tent 100,000/
Madufu Madrasa 100,000/
Mapambo 100,000/
Generator&Mziki 100,000/
Dua ya la Kharusi 100,000/
Mpiga Picha 100,000/
Usafiri wa kawaida 200,000/
Shekh wa kuozesha & Bakwata100,000/
Akiba 100,000/

Jumla 2,500,000/
Hela nyingi sana hiyo. Sh. 500,000 inatosha kila kitu
 
Back
Top Bottom