Mwajiriwa nataka nifungue biashara ya ps, mchanganuo wangu huu hapa, naombani mnirekebishe na kunipa ushauri

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Habari zenu, Nimechoka kusubiri mshahara wa kila mwezi nimeona nijiongeze, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya Ps nipo Mbeya.

naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

MCHANGANUO WANGU

MTAJI WA KUANZIA


PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

cctv ipo tayari

Tin namba ya eneo la biashara - 0

Tax clearance ya Tra kodi ya kulipia kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamaduni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Mtaji 6.180,000/=

.................................................................................................


MAPATO

Mechi moja dakika 10 shilingi 800

Naweza nikakadiria kila PS itachezeshwa masaa mawili kwa siku japo najua siku za weekend inazidi, hii inaleta elf 38 kwa siku, sawa na milioni 1 na laki 1 kwa mwezi

Mapato kwa mwezi 1,152,000

.............................................................

MATUMIZI

Kodi ya jengo - 200,000
Mshahara wa muhudumu 100,000
matumizi ya mhudumu(chakula, choo,usafiri) - 100,000
Luku - 30,000
TRA (80,000 gawanya miezi 4 - elf 20
Leseni (80,000 / miezi 12) - elf 7
Gharama zingine elf 23

Matumizi kwa mwezi 480,000

................................................................


FAIDA

1,152,000 - 480,000 = 672.000

Faida ya mwezi laki 6

...............................................................


Huu ni mchanganuo tu, naombeni mawazo ya ziada yaliyplenga uhalisia na uzoefu
 
Fungua mkuu usivunjike moyo ukiona ganzi mpe kijana akuletee hesabu nina bro ana ofisi mbili za hayo mambo yeye anapokea hesabu tuu.
 
Juzi hapa bwana CONTROLA alifungua uzi kuhusu hii biashara. Ni vyema uupitie pia upate michango zaidi.
Kila la kheri mkuu. I hope utapata na zaidi.
Pia hapo pembeni ukifungua ka studio ka kukodisha muvi na kuweka muziki itafaa zaidi maana utapoga 2 in 1.
All in all nakuombea nguvu.
 
Fungua mkuu usivunjike moyo ukiona ganzi mpe kijana akuletee hesabu nina bro ana ofisi mbili za hayo mambo yeye anapokea hesabu tuu.
Cha muhimu ni kuongeza kipato tu, hizi ajira kusema usubirie tu mshahara na viposho ni ngumu
 
F0lu2FcXgAAsJcd.png
F0lu2FcXgAAsJcd.png
 
Kwanini mtu akileta Mada mnamshauri akawekeze shambani sijui nafaka??

Mkuu hii ni biashara kabambe sana..Kama ni eneo la mjini unaweza kununua emulator zile Virtual emulator..Kama na game la ngumi mtu anavaa zile miwani unampa na vijiti anajiona kama yupo ndani ya game..watu wanazipenda sana wakubwa kwa watoto sijajuaga bei yake ila kuvaa tu kwa dakika kadhaa sio chini ya buku 3-5

Pia,Kuna zile game za racing ukipata ile pad gear(Imekaa kama Stering ya gari) game kama Need for speed,Asphalt anakaa mtu pale anapiga gia anajiona kama yupo ndani ya game na atatoa buku 3+ kwa dakika tu


Muhimu eneo liwe kubwa na iwe mjini kabisa hapo utapata watoto wa kishua na kihindi bila PS za mpira nazo unaweka mbili au 3 tu nakuhakikishia hutojuta.


Kila la heri
 
Kwanini mtu akileta Mada mnamshauri akawekeze shambani sijui nafaka??

Mkuu hii ni biashara kabambe sana..Kama ni eneo la mjini unaweza kununua emulator zile Virtual emulator..Kama na game la ngumi mtu anavaa zile miwani unampa na vijiti anajiona kama yupo ndani ya game..watu wanazipenda sana wakubwa kwa watoto sijajuaga bei yake ila kuvaa tu kwa dakika kadhaa sio chini ya buku 3-5

Pia,Kuna zile game za racing ukipata ile pad gear(Imekaa kama Stering ya gari) game kama Need for speed,Asphalt anakaa mtu pale anapiga gia anajiona kama yupo ndani ya game na atatoa buku 3+ kwa dakika tu


Muhimu eneo liwe kubwa na iwe mjini kabisa hapo utapata watoto wa kishua na kihindi bila PS za mpira nazo unaweka mbili au 3 tu nakuhakikishia hutojuta.


Kila la heri
Asante sana kwa nyongeza muhimu zaidi

Ni kweli kabisa nilisahau huo virtual ya kuvaa machoni na kit ya kuchezea magem ya magari.

Hili ntalizingatia pia maana frem zina nafasi kubwa tu patatosha
 
Asante sana kwa nyongeza muhimu zaidi

Ni kweli kabisa nilisahau huo virtual ya kuvaa machoni na kit ya kuchezea magem ya magari.

Hili ntalizingatia pia maana frem zina nafasi kubwa tu patatosha
Kama kuna michongo mingine tushtuane
 
Habari zenu, Nimechoka kusubiri mshahara wa kila mwezi nimeona nijiongeze, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya Ps nipo Mbeya.

naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

MCHANGANUO WANGU

MTAJI WA KUANZIA


PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - 0

Tax clearance ya Tra kodi ya kulipia kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamaduni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Mtaji 6.180,000/=

.................................................................................................


MAPATO

Mechi moja dakika 10 shilingi 800

Naweza nikakadiria kila PS itachezeshwa masaa mawili kwa siku japo najua siku za weekend inazidi, hii inaleta elf 38 kwa siku, sawa na milioni 1 na laki 1 kwa mwezi

Mapato kwa mwezi 1,152,000

.............................................................

MATUMIZI

Kodi ya jengo - 200,000
Mshahara wa muhudumu 100,000
matumizi ya mhudumu(chakula, choo,usafiri) - 100,000
Luku - 30,000
TRA (80,000 gawanya miezi 4 - elf 20
Leseni (80,000 / miezi 12) - elf 7
Gharama zingine elf 23

Matumizi kwa mwezi 480,000

................................................................


FAIDA

1,152,000 - 480,000 = 672.000

Faida ya mwezi laki 6

...............................................................


Huu ni mchanganuo tu, naombeni mawazo ya ziada yaliyplenga uhalisia na uzoefu
Hii biashara nzur lkn kinacho matter ni location,, hio sehemu unayo fungua umeifanyia utafiti vzr
 
Habari zenu, Nimechoka kusubiri mshahara wa kila mwezi nimeona nijiongeze, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya Ps nipo Mbeya.

naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

MCHANGANUO WANGU

MTAJI WA KUANZIA


PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - 0

Tax clearance ya Tra kodi ya kulipia kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamaduni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Mtaji 6.180,000/=

.................................................................................................


MAPATO

Mechi moja dakika 10 shilingi 800

Naweza nikakadiria kila PS itachezeshwa masaa mawili kwa siku japo najua siku za weekend inazidi, hii inaleta elf 38 kwa siku, sawa na milioni 1 na laki 1 kwa mwezi

Mapato kwa mwezi 1,152,000

.............................................................

MATUMIZI

Kodi ya jengo - 200,000
Mshahara wa muhudumu 100,000
matumizi ya mhudumu(chakula, choo,usafiri) - 100,000
Luku - 30,000
TRA (80,000 gawanya miezi 4 - elf 20
Leseni (80,000 / miezi 12) - elf 7
Gharama zingine elf 23

Matumizi kwa mwezi 480,000

................................................................


FAIDA

1,152,000 - 480,000 = 672.000

Faida ya mwezi laki 6

...............................................................


Huu ni mchanganuo tu, naombeni mawazo ya ziada yaliyplenga uhalisia na uzoefu
Wazo n zuri lakn cha muhimu location ya biashara na target ya wateja wako ni wap
Kwenye mchanganuo wako
Gharama kuna vitu havina uhalisia

Game dk 10 n 500k
Luku per day 3000x30=90000
Kingine kama ww sio msimamizi wa biashara hii n ngumu sana kuona faida yake
 
Habari zenu, Nimechoka kusubiri mshahara wa kila mwezi nimeona nijiongeze, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya Ps nipo Mbeya.

naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine

MCHANGANUO WANGU

MTAJI WA KUANZIA


PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za kurekebishia padi - 200,000
viti 200,000
Chumba miez minne 800,000
ukarabati, kuchora, stabilizer, taa, n.k 500,000

Tin namba ya eneo la biashara - 0

Tax clearance ya Tra kodi ya kulipia kila baada ya miezi minne - 80,000
.
leseni ya biashara - elf 80 kwa mwaka
.
kibali cha afisa utamaduni na sanaa / gaming board - elf 20 kwa mwaka

Mtaji 6.180,000/=

.................................................................................................


MAPATO

Mechi moja dakika 10 shilingi 800

Naweza nikakadiria kila PS itachezeshwa masaa mawili kwa siku japo najua siku za weekend inazidi, hii inaleta elf 38 kwa siku, sawa na milioni 1 na laki 1 kwa mwezi

Mapato kwa mwezi 1,152,000

.............................................................

MATUMIZI

Kodi ya jengo - 200,000
Mshahara wa muhudumu 100,000
matumizi ya mhudumu(chakula, choo,usafiri) - 100,000
Luku - 30,000
TRA (80,000 gawanya miezi 4 - elf 20
Leseni (80,000 / miezi 12) - elf 7
Gharama zingine elf 23

Matumizi kwa mwezi 480,000

................................................................


FAIDA

1,152,000 - 480,000 = 672.000

Faida ya mwezi laki 6

...............................................................


Huu ni mchanganuo tu, naombeni mawazo ya ziada yaliyplenga uhalisia na uzoefu
Kwa sababu utakua ofsini ni vyema ukatafuta namna ya kumonitor msimamizi, Either Kupitia CCTV cameras ambazo siku hizi ziko nyingi tu kwa bei reasonable au mtu wa karibu unaemwamini awe kama cashier.

Otherwise unaweza kuishia kuchukia biashara.
 
Back
Top Bottom