Ushauri ndoa ya kislamu?

Ushauri ndoa ya kislamu?

Hela nyingi.sana!andaa shehe ubwabwa na ubani!plus gain la harusi we kula kanzu ya 20000/= uvute jiko!!usifanye mambo kuwa rasmi hivyo!
 
usafiri 500000 unaenda kuoa wapi kutoka wapi? na huo usafiri wa kawaida 200000 ndio upoje hadi umegawanyisha? kama kuna dufu mziki wa nini? toa kimoja... dua na sheikh ni kitu kimoja hiko, bajeti ina vitu vingi visivyo na ulazima
 
Bajeti yake hakuna hata bia hii ni harusi au msiba ? Hata msibani siku hizi tunapaki kwanza gari la maiti pale njia panda tunashuka kuchamba makoromeo kwenye kale ka bar😋
Pale D.I.D bhn ndo sehemu ya kupumzka kupambazuke, Ila supu yao na chapati hamna kitu mzee 😂 😂

Pale kula tuu bia .... ukifka rombo ndo utakunywa supu
 
Back
Top Bottom