Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Naomba niwasaidie kitu juu ya hii mizozo na hii ni matokeo ya akili/uwelewa na maarifa yangu binafsi.
Ni kama hivi;-
Binadamu ni miongoni mwa viumbe hai kama viumbe hai wengine.
Mwenye/wenye uwezo/utashi wa kujitafutia na kufanya siku yake iende akisubiria kufa.
Na hana uwezo wa kabadilisha chochote juu ya mfumo wake wa kuishi japo kwa uwezo wetu tunazani sisi ni viumbe vyenye uwezo hata wa kufahamu nini chanzo chetu na wapi tunakokwenda hili halitowezekana.
Tunavaa nguo na kuziona nzuri kwa upande wetu
Tunatumia simu na kiziona nzuri kwa upande wetu pia
Tunatega vifaa juu tena ni juu kidogo tu tunajion sisi ni bora kuliko mnyama au na kiumbe chochote
Nk ila vyote ni miongoni mwa sheria zetu za kuishi za kila siku na hakuna wa kuweza kubadilisha hili.

Tunachojalibu kukifikilia na kukitafuta ni sawa na kuku au mbuzi au bata kuanza kufikilia kutengeneza sufuria na kuanza kupika.
Haya mawazo hata kuwa nayo na hata kama atakuwa nayo hatoweza kujua kama yatakuwa na umuhimu wowote ule kwake kwani ni nje ya sheria yake ya kuishi.
Katika maisha ya kila kiumbe hai kuna sheria au mipaka sio kila kitu unachokifikilia unaweza ukakifanya au hata ukakifahamu na kikakusaidia katika maisha yako,.

Mfano Mbuzi kuona moto.
Kwake anaweza akasimama hapo mda mrefu ni kama kuushangaa moto huo na asijue umetokea wapi na kwanini upo hapo na una kazi gani aizidi haipungui atakaa tena kidogo kusikilizia tu kijoto anachokipata hapo.
Na akitoka hapo ataenda kuwasimulia mbuzi wenzake kuwa kaona (Duli) na asijue kuwa unaitwa moto na atasema (duli) ni kiashiria upendo kutoka kwa mungu. Na mbuzi wenzie watamwamini kutokana na wenda ni kwasababu ya ushawishi wake au uongozi wake katika jamii.

Vitu kama hivi hata kwetu vipo mfano jua, upepo, mwezi, nyota nk
Unaweza ona "JUA" (soon) kumbe mwenyewe anajina lake analojiita lakini sio hata "jua" na hakuna wa kukwambia kwanza hauna mawasiliano nao na pili kwakuwa sheria na tamaduni zenu za kuishi haziendani na zake unaeza ona hata "jua na mwezi" wana mwasiliano tena mazuri tuu ila huta kaa utambue una eza ona kuchomoza kwa mwezi kwako ni kama ka mchezo furani kasiko na maana maarumu/au hata ukazani kwa ajili yako wewe ili uanze kufunga ramadhani, kumbe mwezi mwenye anamajukumu yake anayoyafanya hapo bila ya wewe kujua.
Na unaeza ona kazi ya "jua" kwako kumbe ina kazi kubwa hata majukumu mengi zaidi ya hapo tujuavyo na hautakaa utambue.

Baadhi ya wasomi wa dini Maandiko yakifananiana na hiki kitu
Wanakwambia binadamu hata aungane na majini hawateza badilisha kitu (flani) wenyewe wanakijua.
Hutaweza jua nini kipo njuma ya pazia.
Hutaweza jua kwanini kuku naweka asubuhi ila wenyewe wanajua kwanini,
Hataeza jua kipaji cha mbwa kunusa na wanamambo amizing katika dunia na wainjoy pia na wewe ndo wanakuona kama mbwa sasa.
Ila hamjijui.

Alamsiki
 
Naomba niwasaidie kitu juu ya hii mizozo na hii ni matokeo ya akili/uwelewa na maarifa yangu binafsi.
Ni kama hivi;-
Binadamu ni miongoni mwa viumbe hai kama viumbe hai wengine.
Mwenye/wenye uwezo/utashi wa kujitafutia na kufanya siku yake iende akisubiria kufa.
Na hana uwezo wa kabadilisha chochote juu ya mfumo wake wa kuishi japo kwa uwezo wetu tunazani sisi ni viumbe vyenye uwezo hata wa kufahamu nini chanzo chetu na wapi tunakokwenda hili halitowezekana.
Tunavaa nguo na kuziona nzuri kwa upande wetu
Tunatumia simu na kiziona nzuri kwa upande wetu pia
Tunatega vifaa juu tena ni juu kidogo tu tunajion sisi ni bora kuliko mnyama au na kiumbe chochote
Nk ila vyote ni miongoni mwa sheria zetu za kuishi za kila siku na hakuna wa kuweza kubadilisha hili.

Tunachojalibu kukifikilia na kukitafuta ni sawa na kuku au mbuzi au bata kuanza kufikilia kutengeneza sufuria na kuanza kupika.
Haya mawazo hata kuwa nayo na hata kama atakuwa nayo hatoweza kujua kama yatakuwa na umuhimu wowote ule kwake kwani ni nje ya sheria yake ya kuishi.
Katika maisha ya kila kiumbe hai kuna sheria au mipaka sio kila kitu unachokifikilia unaweza ukakifanya au hata ukakifahamu na kikakusaidia katika maisha yako,.

Mfano Mbuzi kuona moto.
Kwake anaweza akasimama hapo mda mrefu ni kama kuushangaa moto huo na asijue umetokea wapi na kwanini upo hapo na una kazi gani aizidi haipungui atakaa tena kidogo kusikilizia tu kijoto anachokipata hapo.
Na akitoka hapo ataenda kuwasimulia mbuzi wenzake kuwa kaona (Duli) na asijue kuwa unaitwa moto na atasema (duli) ni kiashiria upendo kutoka kwa mungu. Na mbuzi wenzie watamwamini kutokana na wenda ni kwasababu ya ushawishi wake au uongozi wake katika jamii.

Vitu kama hivi hata kwetu vipo mfano jua, upepo, mwezi, nyota nk
Unaweza ona "JUA" (soon) kumbe mwenyewe anajina lake analojiita lakini sio hata "jua" na hakuna wa kukwambia kwanza hauna mawasiliano nao na pili kwakuwa sheria na tamaduni zenu za kuishi haziendani na zake unaeza ona hata "jua na mwezi" wana mwasiliano tena mazuri tuu ila huta kaa utambue una eza ona kuchomoza kwa mwezi kwako ni kama ka mchezo furani kasiko na maana maarumu/au hata ukazani kwa ajili yako wewe ili uanze kufunga ramadhani, kumbe mwezi mwenye anamajukumu yake anayoyafanya hapo bila ya wewe kujua.
Na unaeza ona kazi ya "jua" kwako kumbe ina kazi kubwa hata majukumu mengi zaidi ya hapo tujuavyo na hautakaa utambue.

Baadhi ya wasomi wa dini Maandiko yakifananiana na hiki kitu
Wanakwambia binadamu hata aungane na majini hawateza badilisha kitu (flani) wenyewe wanakijua.
Hutaweza jua nini kipo njuma ya pazia.
Hutaweza jua kwanini kuku naweka asubuhi ila wenyewe wanajua kwanini,
Hataeza jua kipaji cha mbwa kunusa na wanamambo amizing katika dunia na wainjoy pia na wewe ndo wanakuona kama mbwa sasa.
Ila hamjijui.

Alamsiki
.....haki y nani Albert Einstein or nikola tesla angekuwa na mawazo kama haya basi mpka leo tungekuwa kwenye zama mawe........ africans bana....yani umeme simu redio tv unayoangalia gari unayopanda kila kitu mwanzo havkuwepo ila mtu na mawazo yake chanya ndo amesababisha hivyo vyote viwepo n mwanzo Kuna watu wafikiria km wewe sasa hivi unavyodhani haviwezekani.........kama ww unaishi ili usibirie kufa hiyo juu yako na utakufa maskini kama masikini wengine wanaoishi ili usubirie kufa na ndo mana Africans wengi masikini kumbe mawazo yao ndo kama haya wanaishi ili wasubirie kufa huu ni upumbav high end........Elon musk billgate mark Z wangekuwa na mawazo hayo yako bas leo kusingekuwepo hao mabilionea.........soma soma soma vitabu mbalimbali upate maana ya maisha sio uishi ili usubirie kufa mwishowe unakufa masikini tumia uhai wako vizur kufanya makubwa sio usubirie kufa......amka ww kijana wa kiafrika wakeup before time is up......umeonesha ujinga wa kiwango ch flyover....... in our universe everything is possible stop lying and fooling yourself....
 
Last bt not list chunga sana unacho lisha ubongo wango
 
Wanasema huko nje kuna Multverse yaani universe zipo nyingi halafu zimejipanga parallel. Albert Einstein aliwahi kuja na Theory moja inadai kwamba kuna Features tunaweza kuziona huku duniani lakini source yake sio huku duniani au kwenye universe yetu. Nitatoa mifano miwili.

1. Satellite za NASA zilipopita juu ya bara la Antactica ziliface high electrons zinazotokea duniani eneo lile. Lakini walipochunguza wakaona hakuna source ya electrons pale. Wakahisi huenda electrons zile zinatokea kwenye universe nyingine ambayo iko parallel na yetu.

2. Ukienda sehemu ambayo hujawahi kwenda kabisa. Lakini nafsi inakuambia kabisa hapo uliwahi kufika na unapafahamu. Theory hiyo inadai huenda wewe huyo huyo unaishi universe nyingine na umefika hilo eneo. Pia Theory inadai mtu mmoja unaweza kuishi kwenye parallel universe huku ukawa Polisi. Kule kwenye universe nyingine wewe ni Daktari, kwenye nyingine tena wewe ni Raisi wa nchi. Ila katika different parallel universes.
Doppler gangerz au sio mkuu
 
Kumbe hata hujaelewa, zimeona hayo maeneo jinsi yalivyokuwa billions of years ago. Yani kile zilichokiona sasa ni cha hizo billion light years ago maana huo mwanga ulizofikia umetoka huko billions of light years ago.

According to physics universe had to be expanding or contracting at a speed of light. Einstein aligundua hili lakini akawa mwenyewe anapingana nalo, na kufanya formula yake ikubariane na upingaji wake, alaweka kitu kinaitwa cosomological constant which was a mistake ambapo baadae ilikundulika kuwa ni kweli ulimwengu unapanuka kwa kasi ya spidi ya mwanga, so mawazo ya Einstein yalikuwa sawa tu ila akajishtukia tu.
Expanding into what?
 
Kwanza hakuna mtu alyetoka nje ya dunia yetu...pia mwezi na jua ndo vinazunguka jua sooo hakuna mtu aliyefka kwenye mwez Wala jua zaidi ya kudanganywa tuuu....cuz hzo sayar aliyesema zpo sijui Tisa Ni akina isaack Newton Sasa walitumia kifaa gan kuziangalia hzo sayar?...akat hayo ma space shooter sijui space x na hao Nasa n wajuz juz tuuu...Sasa iweje huyo isack Newton tangu mikarne hiyooo yooote alitoka kwa kutumia chombo gani Hadi kuona hayo masayar juuu.hukoo
...huo Ni uongo ambao ulidanganya dunia tangu kipnd hicho na wanashindwa kukanusha cuz walisha upokea....
Ndo maana now Kuna msuguano wa nadharia mbili...ambazo Ni EARTH IS FLAT AND EARTH IS ROUND OR OBLATE...
na sis tunaoamin kwamba dunia Ni tambarare hatupew nafasi saaana kutokana na uongo uliopokelewa zaman lakn ukichukua vitabu Kama Quran na Bible zinaprove kwamba dunia Ni tambarare......
 
Kule there is nothing. Mkuu sasa hapa umeuliza kitu ambacho kinaleta logic namini kitu ambacho uwa kinanichanganya iwe kwa muktadha wa sayansi au dini. Wakisema kutokuwepo kitu ina maana hakuna mwanga, hakuna space (nafasi), hakuna maji, hakuna hewa, hakuna giza, hakuna anything so kuna nini yani kutokuwepo kwa kitu akili zangu za kibinadamu haziwezi kuelewa. Lakini ni kwasababu akili zetu haziwezi kufikiria nje ya vitu tunavyojua.
Na hii ndiyo maana muda mwingine uwa napingana na wanasayansi kudai kuwaa sayari nyingine hazina uhai kwa kujaribu kutafuta sayari zenye mazingira sawa na dunia, eti ziwe na oxygen na maji?
Kwani ni lazima viumbe vingine vihitaji hayo kuishi? What if viumbe hao wengine wana mechanism tofauti na ya hapa duniani, hawahitaji maji kuishi, hawahitaji oxygen kuishi, miili yao haijatengenezwa kwa mfumo wa viumbe wa kidunia.
U have a nice argument there bro.

Hatujui how life evolved in other galaxies

Inawezekana wao kule ni non -carbon life form hatujui.

Our little understanding of life imekuwa based kwenye earth life forms. Ambapo tunaelewa kwamba ili kuwe na life hydrogen Na oxygen ni lazima viwepo, bila maji hakuna life kwa uelewa wetu but what if out there they evolved differently..!!!
 
Haha sawa mkuu there is nothing na ndio maana ulimwengu unatanukia huko.mfano puto haliwezi kutanuka ukiwa umwliweka chini ya ardhi kwa sababu nje ya puto kuna udongo.

Sasa kwa dhana ya ulimwengu kutanuka manake ili utanuke inatakiwa huko kunakotanukia kuwe hakuna kitu ili ulimwengu uwe na nafasi ya kutanuka.

Sasa hapaa je ulimwengu,mpaka wa ulimwengu na kule kunakotanukiwa kuna tofauti gani ?

Yani je ncha ya ulimwengu ambayo huko ndo hutanuka(kama ncha ya puto)je kuna tofauti gani na huko ambako ulimwengu hutanukia ambako there is nothing ?

Ama ulimwengu unaotanuka na huko unakotanukia kote there is nothing ?

Kwa hiyo itakuwa nothing ina expand to the nothing ....[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Mkuu nikuulize tunaposema before the big bang there was nothing ( no space no time) unakuwa unaeleweje ? How can you describe nothing ?

Provided you believe in the theory of course .
 
Kama mambo yako hivyo suala la kutanuka unalipimaje wakati kinachotanuka ni nothing na kinatanukia kwenye nothing mkuu ?

Kwa sababu kusema kuwa ulimwengu unatanuka manake unataka kuuwekea mipaka ulimwengu ,

Ili ujue kitu kinatanuka basi lazima uwe na kinachotanuka,na kinachotanukiwa.

Sasa kinachotanuka ni empty kabisa,na hicho kinachotanukiwaa ni empty,sasa hapo unapimaje huo utanukaji,na umejulikana vipi wakatti hakuna mipaka baina ya ulimwengu na kule ambako ulimwengu unatanukia...
Kutanuka kunapimwa kwa variation of distance between galaxies.

Distance between galaxies inaongezeka that means universe inatatunuka.sijui kama nimekuridhisha Na hilo jibu
 
Sidhani kama tutaifikia hiyo level ya kwenda future au past kiuhalisia.
Tushaifikia.

Astronauts kwenye space stations

Sema tu bado the time travel tulioifikia bado haipo significant.
 
Kutanuka kunapimwa kwa variation of distance between galaxies.

Distance between galaxies inaongezeka that means universe inatatunuka.sijui kama nimekuridhisha Na hilo jibu
Nimeuliza kama ulimwengu unatanuka manake kutakuwa na vitu viwili hapo.

Kinachotanuka na kile ambacho kinatanukiwa(eneo)

Kama puto leo ukilipuliza litatanuka manake puto linatanuka na kuna eneo ambalo hilo puto hutanukia.

Sasa tukija kwenye ulimwengu unapotanuka je inatanukia kwenye eneo,je hilo eneo sio sehemu ya ulimwengu?

Kama sio sehemu ya ulimwengu ni kwa nini ?
 
Mkuu nikuulize tunaposema before the big bang there was nothing ( no space no time) unakuwa unaeleweje ? How can you describe nothing ?

Provided you believe in the theory of course .
Mimi hainiingii akilini ndo mana siwezi kuelezea namna ninavyoelewa.

Elezea wewe kisha tukuulize maswali.

Mimi akili yangu hainipi kuwa aati nothing can create something,hiyo hainipi kabisa yani,lasima kuwe na something hata kama kiduuchuuuu ndo kiwe chanzo chenyewe.

Sasa wewe elezea kisha tuwe tunakuuliza mkuu.
 
1.magnetic field forces
2.sun revolving around the flat earth
3.speed and time variation in a circadian o'clock.
We jamaa zero brain sana hafu unajikuta unahoji vitu above your comprehension.

Kweli kabisa unatuambia unatoa majibu ya kijinga hivo hafu unajiona una hoji?? [emoji23][emoji23][emoji23]

Una revolve vipi above a flat surface bro!! Hebu tupe mechanism daa

Unajua unahaki ya kuhoji everything in science but atleast uje Na alternative explanation sio uje Na ujinga.
 
Hawa huwa hoja hawana, jata wanayo yaandika huwa hawayaelewi, ukiwabana wanaanza kuulizia elimu yako au mara ooh, wewe huwezi kuelewa tukianza kuelewa, inakuwa imetoka hiyo harudi tena.
Huwa mnauliziwa elimu zenu sababu mnapost ujinga. Hua hamtambui hilo.

Na sio MTU anashundwa kuwaelezea lakini anashindwa aanzie wapi maana anaona hakuna hope pia halipwi.
 
Satellite my foot...they are only underground cables acha sound mzee
Kwasasa the most reliable internet technology ni hio ya ma cables ardhini Na chini ya bahari.

But yes alichosema kina ukweli pia
 
Huo muda umeupita wewe ila wachunguzi wa mambo na wanasayansi wakubwa hawakulikalia kimya jambo hili, lazima marekebisho yawekwe na ukweli utawale.,nakuu :

Lincoln Barnett (1909-1979CE) wrote in his book: “The Universe and Dr.
Einstein” (with a forward by Einstein himself), “... for we cannot feel our
motion through space; nor has any physical experiment ever proved that the
earth actually is in motion.”

Stephen Hawking wrote: “Although it is not
uncommon for people to say that Copernicus proved Ptolemy wrong, that is
not true... one can use either picture as a model of the universe, for our
observations of the heavens can be explained by assuming either the earth
or the sun to be at rest.”

Sasa wewe unae sema yamepitwa na wakati wakati bado yanaenezwa na kufanyiwa kazi, inabidi utueleze wapi yamepitwa na wakati ?

Umehakikisha vipi kama hizi habari ni za kweli, au unapenda kusikia tu bila kuhoji na unapenda kuona tu kuzingatia ?

Sayansi ina ngano zake na visasili vyake na haya mambo ya Space X ni miongoni mwayo bali ni muendelezo wa uongo a yale maigizo yaliyo fanyika A51 katika kituo cha NASA, leo hoi naona anakuzwa Elon Musk na kampuni yake ya Space X, wanapeana vijiti tu,kuwasimuloa story nzuri zenye kuvutia.
Mkuu unahitaji msaada sana.

Unachukua quote za Einstein za mwaka 1900 ya mwanzoni huko seriously kabisa.

Hio sio theory just opinion Na kwa wakati huo maybe it made sense not anymore
 
Back
Top Bottom