Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Hapa tunaongelea Sayansi ya anga na Cosmology.
Sasa bila sayansi ya anga kungekuwa Na GPS ambayo MTU anarusha bomb kutoka marekani Na kutua chooni kwako kwa pin point accuracy.

Unadhani sio real ??
 
Huwa mnauliziwa elimu zenu sababu mnapost ujinga. Hua hamtambui hilo.

Na sio MTU anashundwa kuwaelezea lakini anashindwa aanzie wapi maana anaona hakuna hope pia halipwi.
Poa. Hili jambo zito sana kwenu.
 
Kama space imeanza baada ya big bang naomba kujua hivi..

Big bang ni mripuko na kuna ambavyo viliripuka vikaripukia sehemu tofauti tofauti kama tunavyojua mripuko.

Na kabla ya mripuko manake ilikuwa tu hiyo matter manake haijaripuka.

Na matter maana yake tunaambiwa :kitu chochote chenye uzito na kinachochukua space.

Sasa ukisema space na time vimeanza baada ya huu mripuko nataka kujua hii matter yenyewe ambayo baadae iliripuka je haikuchukua nafasi kama ilivyo sifa ya matter ?

Kama haikuchukua nafasi je matter definition ya matter haiko sawa ?

Kama ilichukua nafasi huoni kuwa space ilikuwepo kabla ya huo mripuko na ndio maana vile ambavyo viliripuka vilipata nafasi ya kukaa vikisubiria big bang ?
Big bang is the science God.


Just like wewe sheikh huwezi kuelezea Mungu aliumbwa Na nani au alitokea wapi basi sayansi ikifika kwenye big bang nayo inakosa majibu zaidi zitakuja theory nyingi sana hapo but ukishaambiwa big bang created time maana yake u cannot argue what was before it because the question itself has no logic.
 
big bang nayo inakosa majibu zaidi
Hapo sawa mkuu.

Hili ndo ambalo nilitaka kulisikia kwamba hata wanasaysnsi huwa wanakosaga majibu pia.

Hapo sawa siwezi kufosi majibu kwa mtu ambaye kakiri hana majibu.
 
Mkuu unahitaji msaada sana.

Unachukua quote za Einstein za mwaka 1900 ya mwanzoni huko seriously kabisa.

Hio sio theory just opinion Na kwa wakati huo maybe it made sense not anymore
Kwahiyo sasa hivi ina au hai make sense siyo ? Nyinyi wa kupigwa makofi kabisa mmekuwa wajinga mpaka kufikiria na kuhoji hamuwezi tena.

Kwahiyo alichokosema cha kweli au uongo.

Kwani theory siyo opinion ?
 
Sasa bila sayansi ya anga kungekuwa Na GPS ambayo MTU anarusha bomb kutoka marekani Na kutua chooni kwako kwa pin point accuracy.

Unadhani sio real ??
Soma nilichokiandika ukielewe.
 
Mimi hainiingii akilini ndo mana siwezi kuelezea namna ninavyoelewa.

Elezea wewe kisha tukuulize maswali.

Mimi akili yangu hainipi kuwa aati nothing can create something,hiyo hainipi kabisa yani,lasima kuwe na something hata kama kiduuchuuuu ndo kiwe chanzo chenyewe.

Sasa wewe elezea kisha tuwe tunakuuliza mkuu.
Unaamini katika Mungu?
 
Hapo sawa mkuu.

Hili ndo ambalo nilitaka kulisikia kwamba hata wanasaysnsi huwa wanakosaga majibu pia.

Hapo sawa siwezi kufosi majibu kwa mtu ambaye kakiri hana majibu.
May be one day tutaelewa or may be our brains capacity hazina uwezo wa kuelewa baadhi mambo ni too complicated.
 
Wanasayansi gani hao wanaosema kuna mkusanyiko wa Universe? Wakati wanasma universe ina expand kwa speed of light zinge collide. Vyote vingine viko ndani ya this single universe.
Huwa zinacollide pia
 
nothing can create something
Mimi nimesema hivi kwamba kisichokuwa kitu hakiwezi kutengeneza kitu.
nothing can't create something
Mimi sijasema hivyo rejea nilichosema.

Mimi nasema kuwa kisichokuwa kitu hakiwezi kuunda kitu ndo maana ya msemo wangu.

Baada ya kukufahamisha hivi sasa uliza suala lako

Kuhusu Mungu katokea wapi sijui kwa sababu hajasema mwenyewe kwenye kitabu chake ninachokiamini bali kasema yeye ndio wa mwanso na ndio wa mwisho.
 
Kwa hiyo bing bang ni mripuko uliotokea bila kitu chochote kile kama ukisema hivyo vitu vilifuata baada ya big bang ?

Hapo hapo unasema ulimwengu ulikuwa kama chembr ya atom.hii bila shaka unakusudia kabla ya big bang ulimwengu ulikuwa zaidi ya chembe ya atom.

Sasa kwa maelezo haya manake tunakubaliana kuwa ulimwengu kabla ya big bang ulikuepo ila ulikuwa mdogo zaidi ya atom,ama sivyo ?
Mlipuko kuwepo kabla ya vilipuzi,yaani moto kutokea kabla ya petroli na kiberiti!!🤪🤪🤪😂
 
Back
Top Bottom