Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

At a point in life hizo sayar zilikua na viumbe hai.sayar za mwanzo zile
Unaweza kutupa ushahidi wa kauli hii, au wewe binafsi tu,ushahwahi kufanya juhudi gani kujia kama hayo uliyo yaandika ni ya kweli ?
Ustake knowledge zaid..mambo ni meng..kumbuka jua lina tanuka.joto la sasa na mwanga wa sasa sio ulivyokua miaka bil kadhaa nyuma..
Habari za miaka bilioni nyuma mnazijuaje au kuna aliyekuwepo miaka hiyo akawa ametunza "records" mpaka kutufikia sisi leo hii ?
kadir balance ya joto na mwanga inavyokua ndo support ya uhai inavyokua..
Naomba ututhibitishie hili.
.higher joto na higher mwanga no life..
Ungekuwa unatuwekea ushahidi wa hili na hasa haya unayo yaandika ingekuwa jambo la busara, maana tujuavyo siaini kuwa Jua halikwahi kutokuwepo,swali linakuja wamejuaje kama bila jua hakuna maisha ?
 
Unasema umesoma Physics na unauliza speed of light imepatikanaje?
Sahihi kabisa, siyo hilo tu bali nauliza ya kuwa ni jaribio gani la kisayansi liliwahi kufanyika kuonyesha dunia inazunguka ?
 
.
Sawa tumekubaliana kuwa sayansi ya anga ni uzushi kwa hiyo hata jua halipo,ni uzushi [emoji28][emoji28][emoji28] Mwezi,Nyota havipo ni uzushi! Hata Gravitational Force haipo ni uzushi [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20200506-WA0001.jpeg
 
Are you serious? Mpaka conclusions zifikiwe inamaanisha experiments za kutosha zimefanyika
Nakupa mfano maana naona kama unapenda sana story za wana sayani kuliko kuhoji. Unaweza kuniambia ni jaribio gani la kisayansi limewahi kufanyika kuonyesha Dunia inazunguka ? Maana hilo nalo ni hitimisho.
 
Sahihi kabisa, siyo hilo tu bali nauliza ya kuwa ni jaribio gani la kisayansi liliwahi kufanyika kuonyesha dunia inazunguka ?
Kabla ya kuendelea naomba nihoji kwanza umri na elimu yako,maana isije ikawa namuelewesha mtoto wa form 2 darasa la arts mambo yaliyo nje ya uwezo wake! Nasema hivyo kwa sababu naona unauliza historia ya nyuma watu wamejuaje,Kama ni msomi najua unajua kifaa kinachotumia C-14 kuonyesha umri wa kitu.Kama unajua physics huwezi kuhoji dunia kuzunguka jua! Unaifahamu Voyage 2? Hiki chombo ni cha kwanza kutoka nje ya solar system na kupiga selfie ya solar system! Kuna mambo mengi ambayo huyafahamu na kwa kutokufahamu kwako hakubadilishi uhalisia wa mambo.
Ushauri : Soma sana na omba msaada uelekezwe mambo yalivyo kabla ya kufanya hitimisho kwa mambo yanayoonekana kuwa nje ya uwezo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa mambo yako hivi manake universe ni kama lea flani ambayo inatanuka.

Nahapo tukifikiria vizuri tutaona kuwa kama ni hivyo manake hapo kuna vitu vitatu.

Kuna universe yenyewe ambayo ndo inatanuka.

Kuna space ambayo universe ndo hutanukia.

Na kuna mpaka baina ya universe na kitanukiwa.

Sasa jee kule ambako universe hutanukia,yaani kule kunakotanukiwa na universe,yani kabla ya universe haujatanuka,vipi kule ambako tunatarajia universe utanukie sio universe nako ?

Kama sio universe ni wapi huko ?

Kama ni universe dhana ya kutanuka inakufa hapo.
Hakuna Space bila Time huwezi ukauliza kilichopo mbele ya time ambapo time bado haijafika kwa hiyo hicho kitanukiwa hakipo kwa kuwa muda bado haujafika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha sawa mkuu there is nothing na ndio maana ulimwengu unatanukia huko.mfano puto haliwezi kutanuka ukiwa umwliweka chini ya ardhi kwa sababu nje ya puto kuna udongo.

Sasa kwa dhana ya ulimwengu kutanuka manake ili utanuke inatakiwa huko kunakotanukia kuwe hakuna kitu ili ulimwengu uwe na nafasi ya kutanuka.

Sasa hapaa je ulimwengu,mpaka wa ulimwengu na kule kunakotanukiwa kuna tofauti gani ?

Yani je ncha ya ulimwengu ambayo huko ndo hutanuka(kama ncha ya puto)je kuna tofauti gani na huko ambako ulimwengu hutanukia ambako there is nothing ?

Ama ulimwengu unaotanuka na huko unakotanukia kote there is nothing ?

Kwa hiyo itakuwa nothing ina expand to the nothing ....[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Space and time begun kwenye Bing bang.Huwezi kuuliza nini kilikuwepo before,kwa sababu swali lenyewe halina mantiki maana "before" maana yake unauzungumzia muda ambao umeanza baada ya bing bang.Tukirudi kwenye swala lako kuuliza ulimwengu unapotanukia ni meaningless maana hakuna space kabla ya muda (space continuum).Hiyo space inayotanukiwa inaumbwa katika muda huo huo wa utanukaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kujua kila kitu kwa hiyo hakuna sababu ya kubisha vitu ambavyo huna ufahamu navyo ila waulize wanaojua wakufundishe

Yani Leo hi unapinga kuwa dunia haizunguki katika muhimili wake?
 
Huwezi kujua kila kitu kwa hiyo hakuna sababu ya kubisha vitu ambavyo huna ufahamu navyo ila waulize wanaojua wakufundishe

Yani Leo hi unapinga kuwa dunia haizunguki katika muhimili wake?
Dunia kuzunguka kwenye orbit ni ukichaa wa copernicus,NASA na walimu wa science hii ndo the greatest indoctrination ever,yani kwa milango yako ya ufahamu unaona dunia inazunguka ?
 
Kabla ya kuendelea naomba nihoji kwanza umri na elimu yako,maana isije ikawa namuelewesha mtoto wa form 2 darasa la arts mambo yaliyo nje ya uwezo wake!
Hizi ni ishara za kushindwa hoja, umri wangu hauta kusaidia lolote wala hwuta kufanya wewe uwese kujibu maswali ninayo kuuliza.

Mwaga vitu mzee, ili uone tofauti kati yw kukakriri na kuelewa.
Nasema hivyo kwa sababu naona unauliza historia ya nyuma watu wamejuaje,Kama ni msomi najua unajua kifaa kinachotumia C-14 kuonyesha umri wa kitu.
Nakisikia sikia tu, embu nipe somo juu ya hicho kifaa na uniambie kinafanya vipi kazi , unaweza kunithibishia ya kuwa majibu yanayo tokana na C-14 ni kweli ? Au ukishapewa namba tu unatosheka ?

Kama unajua physics huwezi kuhoji dunia kuzunguka jua!
Lazima tuhoji, sababu wewe umeshaaminishwa ya kuwa Sayansi ndiyo sahihi zaidi lini uta hoji ? Msingi wa sayansi ni dhana, ndiyo maana utaona leo wamesema hivi kesho wanabadilika wanasema vile ? Sasa vipi tusihoji ?

Kitambo kidogo huko nyuma Wanasayansi walituambia "Universe is Eternal/Eternal Universe", leo hii kuna mambo ya Second Law of Thermodyanamics /Entropy mpaka wakafikie kuelezea Heat Death na kuonyesha ta kuwa Universe siyo Eternal. Kwahiyo lazima tuhoji kijana. Sasa wewe kama uhoji lazima ujione unajua kumbe hujui.
Unaifahamu Voyage 2? Hiki chombo ni cha kwanza kutoka nje ya solar system na kupiga selfie ya solar system!
Ulithibitisha ka ni kweli au umesikia na kusoma mitandaoni. ? Wewe kama wewe ulivyo pata hiyo habari,ulichukua hatua gani kuiahkiki ?

Unaweza kunithibitishia kuna "Solar System" ?
Kuna mambo mengi ambayo huyafahamu na kwa kutokufahamu kwako hakubadilishi uhalisia wa mambo.
Haya tunayaita mazungumzo baada ya habari, acha story weka ithibati hapa.
Ushauri : Soma sana na omba msaada uelekezwe mambo yalivyo kabla ya kufanya hitimisho kwa mambo yanayoonekana kuwa nje ya uwezo wako.
Mimi mwisho wangu wa kusoma ni pindi pale nafsi yangu itakapo rudi kwa Mola wangu, maadamu niko hai siwezi kuacha kusoma na sijawahi kuacha kusoma.

Ukirudi tena naimani utakuja na hoja na ushahidi wa kisayansi na siyo tena "ngano na vitimbi vya wanasayansi"

Ahsante.
 
Space and time begun kwenye Bing bang.
Big Bang ni Sayansi au ngano za kisayansi ? Huwa napata huzuni sana, napo ona mtu mpaka leo anairejea "Big Bang" kama ushahidi wa mwanzo wa dunia na ulimwengu kwa ujumla, huwa naona hafikirii wala kuhoji.

Mliijuaje hii Big Bang ?
Huwezi kuuliza nini kilikuwepo before,kwa sababu swali lenyewe halina mantiki maana "before" maana yake unauzungumzia muda ambao umeanza baada ya bing bang.
Lazima tuulize sababu wanao ielezea Big Bang wameikuta Dunia ipo na imepangika vizuri, kwahiyo lazima watuambie wamelijuaje hilo ? Kama hawawezi basi ilitakiwa Dunia ijielezee yenyewe, haoa tunaona kabisa wewe na wakubwa wako kuendelea kuihuisha nadharia ni kukataa matumizia ya akili, kukataa "designing", kukataa lengo, na kumkataa "designer" mwenye ufahamu.

Lakini, naomba ututhibitishie ya kuwa ni kweli muda ulianza baada ya "Kishindo Kikubwa" kutokea ?

Nakupa, kazi moja,naomba utuambie ni ipi mantiki ya nadhria ya "Big Bang" ?
Tukirudi kwenye swala lako kuuliza ulimwengu unapotanukia ni meaningless maana hakuna space kabla ya muda (space continuum).Hiyo space inayotanukiwa inaumbwa katika muda huo huo wa utanukaji
Hili mnalijuaje ? Kisayansi au kinadharia ?

Ahsante.
 
Dunia kuzunguka kwenye orbit ni ukichaa wa copernicus,NASA na walimu wa science hii ndo the greatest indoctrination ever,yani kwa milango yako ya ufahamu unaona dunia inazunguka ?
Vijana tatizo hawa hoji, halafu sisi tunao hoji wana anza kuuliza elimu zetu, na kujifaragua ? Nawaambia tu kujua elimu zetu hakuta wasaidia kitu wala hakuna uhusiano na hoja iliyopo mezani, cha msingi wajibu hoja basi. Hayo mengine hayana maana yoyote, ila huwa wakifikia huku kutaka kujua elimu ya muulizaji swali, huwa nacheka sana na kuona kazi imeisha na hana hoja.
 
Mtu anaona jua ndo lina move anaanza uwendawazimu ,sijui akili zina kazi gani..nimewaambia hiyo ni game inachezwa kwenye vichwa vyenu wanaona yale macomputer na mapicha,marocket wanapagawa balaa yani ni useless
Vijana tatizo hawa hoji, halafu sisi tunao hoji wana anza kuuliza elimu zetu, na kujifaragua ? Nawaambia tu kujua elimu zetu hakuta wasaidia kitu wala hakuna uhusiano na hoja iliyopo mezani, cha msingi wajibu hoja basi. Hayo mengine hayana maana yoyote, ila huwa wakifikia huku kutaka kujua elimu ya muulizaji swali, huwa nacheka sana na kuona kazi imeisha na hana hoja.
 
Kwa nini huoni na vitu vingine kama ukiwa katika mwanga?
Sasa mkuu hilo giza nalo si ndo unaliona ?

Au kwenye giza totoro unataka uone nini zaidi ya giza hilo ?
 
Sawa tumekubaliana kuwa sayansi ya anga ni uzushi kwa hiyo hata jua halipo,ni uzushi [emoji28][emoji28][emoji28] Mwezi,Nyota havipo ni uzushi! Hata Gravitational Force haipo ni uzushi [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapo ambiwa Sayansi ya anga ni uongo na ukainasibisha na Jua, inaonekana huelewi vitu hivi viwili havina mahusiano kabisa.

Inakuwaje usema kama Sayansi ya anga ni uzushi basi Jua nalo halipo ? Ulifikiria kweli ? Kwa kuhoji huku au kufikiria kwa mtindo huu, kunaonyesha wazi kabisa mna uwezo mdogo sana wa kuhoji na kufikiria mambo bali huwa hamfikirii na kama mnafikiria basi mnakosea katika kufikiria. Jua lipo hata kabla ya Sayansi kuwepo.

Mwezi na nyota vipi visiwepo wakati tunaviona mzee ?? Sidhani kama kuna mwanasayansi aliye wahi kuielezea Dunia na chanzo cha Ulimwengu akapatia, HAKUNA.
 
Mtu anaona jua ndo lina move anaanza uwendawazimu ,sijui akili zina kazi gani..nimewaambia hiyo ni game inachezwa kwenye vichwa vyenu wanaona yale macomputer na mapicha,marocket wanapagawa balaa yani ni useless
Mimi sema sina mamlaka tu, ningekuwa nina mamlaka watu kama hawa kuwatia jela, savabu wamepewa akili bure wanashindwa kuitumia.

Na wao ukiwauliza Jua lina chomozea wapi atakujibu "Mashariki" na ukimuuliza lina zama wapi ana kujibu "Magharibi".
 
Mimi sema sina mamlaka tu, ningekuwa nina mamlaka watu kama hawa kuwatia jela, savabu wamepewa akili bure wanashindwa kuitumia.

Na wao ukiwauliza Jua lina chomozea wapi atakujibu "Mashariki" na ukimuuliza lina zama wapi ana kujibu "Magharibi".
Ndo uchizi wenyewe,ukiwaambia what caused a big bang mnaweza ongea mwaka hupati jibu anasema bado tunafatilia ni theory nikaona sasa hawa bado wanangangania mawazo ya mtu bila kutumia bongo zao.
 
Back
Top Bottom