Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Kwa kweli hata mimi siwaelewi hawa NASA wapo bize na vitu ambavyo havina faida kwa binaadam

Maana sijawahi kusikia NASA wameenda kuchimba dhahabu sayari ya Mars au Mwezini
Wakipata wanacho kitafuta huenda watapata faida zaidi, assume wagundue sayari yenye kuweza kusupport uhai kama dunia ilivyo, au wakundue extra terrestrial ambao wako advanced kuliko sisi yani wana teknolojia ambayo iko so advanced kiasi kwamba sisi yetu inaonekana kama enzi za mawe?
 
Kwa nini huoni na vitu vingine kama ukiwa katika mwanga?
Kwani kwenye mwanga mbona giza hulioni linakuwa limeenda wapi wakati ambapo mwanga usipokuwepo giza unaliona ?

Mbona kwenye mwanga giza hulioni kisha ushangae kutokuona vitu ukiwa gizani ?
 
Hakuna Space bila Time huwezi ukauliza kilichopo mbele ya time ambapo time bado haijafika kwa hiyo hicho kitanukiwa hakipo kwa kuwa muda bado haujafika

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unayoyajibu unauwezo wa kuyatetea au wasema tu ?

Unaposema space unamaanisha nini ?

Na unaposema time unamaanisha nini ?

Nataka tuende uzuri hapo kwa mujibu tu wa ujuzi wako mkuu
 
Labda huo utororo kwa undani[emoji23][emoji23]
hahahahah si ndo hapo sasa.

We mtu unaona giza alafu unatakA kuhoji why huoni vitu.

Wakati huo akiwa kwenye mwanga haulizi kwa nini giza halioni.
 
Dunia kuzunguka kwenye orbit ni ukichaa wa copernicus,NASA na walimu wa science hii ndo the greatest indoctrination ever,yani kwa milango yako ya ufahamu unaona dunia inazunguka ?
Kumbe mambumbu mpo wengi

1)Wewe unahisi ni kitu gani kinacho sababisha bahari iwe na maji kupwa na maji kujaa?

2)Wewe unahisi ni sababu gani inayosababisha upande moja wa dunia unakuwa mchana na upande wa pili unakuwa usiku?

3) wewe unahisi ni sababu gani inayo sababisha ubadilishe saa yako eidha kuongeza au kupunguza majira ya saa yako unapo safiri masafa marefu kwa ndege
 
Nahisi!!!!
Kumbe mambumbu mpo wengi

1)Wewe unahisi ni kitu gani kinacho sababisha bahari iwe na maji kupwa na maji kujaa?

2)Wewe unahisi ni sababu gani inayosababisha upande moja wa dunia unakuwa mchana na upande wa pili unakuwa usiku?

3) wewe unahisi ni sababu gani inayo sababisha ubadilishe saa yako eidha kuongeza au kupunguza majira ya saa yako unapo safiri masafa marefu kwa ndege
 
Hakuna Space bila Time
Kama mambo ni hivi je kama hakukuwa na space mbona baada ya big bang hayo mavitu yaliyoripuka yakatengana na kila kitu kukaa pahala pake ?

Unadhani bila space kuwepo big bang ingetokea au mavitu yangrkuwa yamejishikia tu kwa sababu hayana pa kuripukia na kujitawanya ?
 
Kumbe mambumbu mpo wengi

1)Wewe unahisi ni kitu gani kinacho sababisha bahari iwe na maji kupwa na maji kujaa?

2)Wewe unahisi ni sababu gani inayosababisha upande moja wa dunia unakuwa mchana na upande wa pili unakuwa usiku?

3) wewe unahisi ni sababu gani inayo sababisha ubadilishe saa yako eidha kuongeza au kupunguza majira ya saa yako unapo safiri masafa marefu kwa ndege
1.magnetic field forces
2.sun revolving around the flat earth
3.speed and time variation in a circadian o'clock.
 
Space and time begun kwenye Bing bang.
Imeanza baada ya big bang au kabla ya big bang ?
Huwezi kuuliza nini kilikuwepo before,kwa sababu swali lenyewe halina mantiki
Kwa nini halina mantiki ?
maana "before" maana yake unauzungumzia muda ambao umeanza baada ya bing bang.
Kama mambo ni hivi kuwa ati huwezi kuuliza ama kuzungumzia mambo yaliyotokea baada ya big bang,sasa mbona watu wameielezea hiyo big bang yenyewe hasa,.

Kwa nini wengine wawe huru kuelezea big bang yenyewe,alafu sisi tuambiwe hakuna mantiki kuelezea mambo ya baada ya big bang ?
.Tukirudi kwenye swala lako kuuliza ulimwengu unapotanukia ni meaningless maana hakuna space kabla ya muda (space continuum).Hiyo space inayotanukiwa inaumbwa katika muda huo huo wa utanukaji
Sasa kabla ya hiyo space kuuumbwa kuna kuwa kuna nini mkuu ?
 
Kama mambo ni hivi je kama hakukuwa na space mbona baada ya big bang hayo mavitu yaliyoripuka yakatengana na kila kitu kukaa pahala pake ?

Unadhani bila space kuwepo big bang ingetokea au mavitu yangrkuwa yamejishikia tu kwa sababu hayana pa kuripukia na kujitawanya ?
Mfano point a mpaka point b ni kilometer 3.ukiwa na chombo cha kusafiri kwa speed ya kilometer 3 kwa lisaa ina maana kwa chombo hicho utatumia lisaa limoja kucover hiyo distance ya point a to b.

Ok ukipata chombo chenye speed ya kilometer nne kwa sekunde ..je point a to b utakuwa umetumia muda gani??

TIME DOESNT EXIST IS JUST CHANGE IN EVENTS ,DAY AND NIGHTS AND GROWTH.
 
Imeanza baada ya big bang au kabla ya big bang ?

Kwa nini halina mantiki ?

Kama mambo ni hivi kuwa ati huwezi kuuliza ama kuzungumzia mambo yaliyotokea baada ya big bang,sasa mbona watu wameielezea hiyo big bang yenyewe hasa,.

Kwa nini wengine wawe huru kuelezea big bang yenyewe,alafu sisi tuambiwe hakuna mantiki kuelezea mambo ya baada ya big bang ?

Sasa kabla ya hiyo space kuuumbwa kuna kuwa kuna nini mkuu ?
Hawa huwa hoja hawana, jata wanayo yaandika huwa hawayaelewi, ukiwabana wanaanza kuulizia elimu yako au mara ooh, wewe huwezi kuelewa tukianza kuelewa, inakuwa imetoka hiyo harudi tena.
 
Mfano point a mpaka point b ni kilometer 3.ukiwa na chombo cha kusafiri kwa speed ya kilometer 3 kwa lisaa ina maana kwa chombo hicho utatumia lisaa limoja kucover hiyo distance ya point a to b.

Ok ukipata chombo chenye speed ya kilometer nne kwa sekunde ..je point a to b utakuwa umetumia muda gani??

TIME DOESNT EXIST IS JUST CHANGE IN EVENTS ,DAY AND NIGHTS AND GROWTH.
Yes mkuu.

Mimi ninachoamini kuwa muda ni mambo ya watu tu.

Ila nyakati zipo,na hatuwezi kuelezea nyakati bila tukio.
 
Mfano point a mpaka point b ni kilometer 3.ukiwa na chombo cha kusafiri kwa speed ya kilometer 3 kwa lisaa ina maana kwa chombo hicho utatumia lisaa limoja kucover hiyo distance ya point a to b.

Ok ukipata chombo chenye speed ya kilometer nne kwa sekunde ..je point a to b utakuwa umetumia muda gani??

TIME DOESNT EXIST IS JUST CHANGE IN EVENTS ,DAY AND NIGHTS AND GROWTH.
Time wanakusudia saa,dakika na sekunde ama siyo ?
 
Mahesabu ya number za binadamu ,dunia ina nyakati na matukio yanayozunguka hapo hapo usiku kwa mchana usiku kwa mchana
Time wanakusudia saa,dakika na sekunde ama siyo ?
 
Nimekuuliza kuhusu vitu/mada/matter.
Unaelewa jinsi gani 'hali' ya giza inatokea?
Kwani kwenye mwanga mbona giza hulioni linakuwa limeenda wapi wakati ambapo mwanga usipokuwepo giza unaliona ?

Mbona kwenye mwanga giza hulioni kisha ushangae kutokuona vitu ukiwa gizani ?
 
,
Yes mkuu.

Mimi ninachoamini kuwa muda ni mambo ya watu tu.

Ila nyakati zipo,na hatuwezi kuelezea nyakati bila tukio.
IMG_20200606_223722_813.JPG
 
Back
Top Bottom