safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,312
- 18,181
Mkuu naona unanichanganya mimi mwanafunzi.Ulimwengu haukuwepo na ulimwengu umeanza baada ya bing bang.na kiuhalisia hakuna kinachofahamika zaidi ya laws of physics kama visababishi na nyuma ya 10exp-32 sec haijulikani nini kilikuwepo ila baada ya muda huo ulimwengu ulitanuka kwa factor ya at least 1078 katika 3 dimension. Yaani ni sawa na kutanua kitu cha 10−9 m,sawa na nusu ya molecule ya dna mpaka kufikia 10.6 light years (au 1017 au 62 trillion miles) .
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Mwanzo ulisema kuwa ulimwengu ulikuwa mdogo zaidi ya atom hapo kabla ya big bang.
Nikasema kuwa hii hoja inaoneshaa kuwa kabla ya big bang ulimwengu ulikuwepo pia.
Kwa sababu kitu kuwa kidogo zaidi ya atom hiyo haidhihirishi kuwa kitu hicho hakipo,bali inadhihirisha kuwa kitu kilikuwepo lakini kilikuwa kidogo.
2.Sasa saivi unaniambia kuwa ulimwengu haukuwepo bali ulimwengu ulitokea baada ya big bang.
Sasa ni dhaahi kuwa maelezo yako ya mwanzo juu ya ulimwengu kbal ya big bang hayakuwa sahihi ama ni ubovu wangu wa kuelewa tu ?