Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Dunia kuzunguka kwenye orbit ni ukichaa wa copernicus,NASA na walimu wa science hii ndo the greatest indoctrination ever,yani kwa milango yako ya ufahamu unaona dunia inazunguka ?
Wewe kwa milango yako ya fahamu ukiangalia mwezi si unaona una shape ya ndizi? Iweje waseme mwezi una shape ya tufe? Basi amini shape ya mwezi ni ndizi [emoji28][emoji28][emoji28]

Point ni kwamba maamuzi hayafanyiki kwa kutegemea milango ya fahamu pekee,Bali na ubongo pia unatumika.Jambo ambalo hulifahamu omba upatiwe maelezo uelewe utakuwa mwerevu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakisikia sikia tu, embu nipe somo juu ya hicho kifaa na uniambie kinafanya vipi kazi , unaweza kunithibishia ya kuwa majibu yanayo tokana na C-14 ni kweli ? Au ukishapewa namba tu unatosheka ?
Nimefurahi umekiri kwamba hujui na umeomba kupatiwa maelezo,Sasa kwa kifupi kuna mengine mengi ambayo huyajui na kabla ya kuhoji au kufikia muafaka ni heri ukaomba upatiwe maelezo kwanza
 
Yani wewe ndo ushapotea kwenye uso wa dunia duh,inawezakuwa formal education imekuathiri sana.
Nimefurahi umekiri kwamba hujui na umeomba kupatiwa maelezo,Sasa kwa kifupi kuna mengine mengi ambayo huyajui na kabla ya kuhoji au kufikia muafaka ni heri ukaomba upatiwe maelezo kwanza
 
Lazima tuhoji, sababu wewe umeshaaminishwa ya kuwa Sayansi ndiyo sahihi zaidi lini uta hoji ? Msingi wa sayansi ni dhana, ndiyo maana utaona leo wamesema hivi kesho wanabadilika wanasema vile ? Sasa vipi tusihoji ?

Kitambo kidogo huko nyuma Wanasayansi walituambia "Universe is Eternal/Eternal Universe", leo hii kuna mambo ya Second Law of Thermodyanamics /Entropy mpaka wakafikie kuelezea Heat Death na kuonyesha ta kuwa Universe siyo Eternal. Kwahiyo lazima tuhoji kijana. Sasa wewe kama uhoji lazima ujione unajua kumbe hujui.
Nakubaliana na wewe kuwa kuhoji ni swala muhimu ila kuna mambo ya kuhoji mpaka karne hii bado unahoji dunia kuzunguka jua!? Huo muda tulishaupita sasa tafiti zinazofanywa ni kubwa zaidi.Teknolojia inabadilika na yale yaliyoonekana hayawezekani sasa yanawezekana! Siku si nyingi space x wamepeleka falcon 9 kwenye orbit ambapo wanaweza kuiona dunia ikiwa round lakini jiulize kuna mtu bado atakwambia dunia ni flat 🤣🤣🙌🙌
 
Ulithibitisha ka ni kweli au umesikia na kusoma mitandaoni. ? Wewe kama wewe ulivyo pata hiyo habari,ulichukua hatua gani kuiahkiki ?

Unaweza kunithibitishia kuna "Solar System" ?
Narudia kukushauri kuuliza maswali yenye uzito zaidi ukiwa kama mtu aliyesoma physics japo kidogo huwezi kuuliza maswali yaliyoulizwa karne ya 8 huko 🤣🤣🤣 kuna mambo yanahitaji logical reasoning wewe unaona kuna jua,dunia,mwezi,majira ya mwaka,usiku,mchana na unafahamu kabisa teknolojia inavyokua na bado unahoji swali kama hilo karne hii 🤔🤔🤔
 
Nakupa mfano maana naona kama unapenda sana story za wana sayani kuliko kuhoji. Unaweza kuniambia ni jaribio gani la kisayansi limewahi kufanyika kuonyesha Dunia inazunguka ? Maana hilo nalo ni hitimisho.
Sio jaribio tu la kisayansi chombo kinachoitwa Pioneer kilifanya space mission na kimechukua video kabisa ya mzunguko wa dunia katika orbit yake! Sasa wewe karne hii bado unahoji jaribio la kisayansi.Appolo Astronauts walifika kabisa mwezini na wamefanya observation ya dunia ilivyo na bado unahoji kama dunia inazunguka au jua linaizunguka?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Big Bang ni Sayansi au ngano za kisayansi ? Huwa napata huzuni sana, napo ona mtu mpaka leo anairejea "Big Bang" kama ushahidi wa mwanzo wa dunia na ulimwengu kwa ujumla, huwa naona hafikirii wala kuhoji.
Unapopinga hoja uje na hoja yako sasa tunaomba utupatie hoja yako inayoweza kupingana na hoja zilizofanyiwa tafiti za kisayansi kwa kutumia teknolojia za kisasa kabisa na ushahidi wenye vithibitisho vya kutosha
 
Lazima tuulize sababu wanao ielezea Big Bang wameikuta Dunia ipo na imepangika vizuri, kwahiyo lazima watuambie wamelijuaje hilo ? Kama hawawezi basi ilitakiwa Dunia ijielezee yenyewe, haoa tunaona kabisa wewe na wakubwa wako kuendelea kuihuisha nadharia ni kukataa matumizia ya akili, kukataa "designing", kukataa lengo, na kumkataa "designer" mwenye ufahamu.

Lakini, naomba ututhibitishie ya kuwa ni kweli muda ulianza baada ya "Kishindo Kikubwa" kutokea ?

Nakupa, kazi moja,naomba utuambie ni ipi mantiki ya nadhria ya "Big Bang
Wewe ulipozaliwa ulimkuta kinjekitile ngwale? Ulipozaliwa uliikuta stone age? Jibu ni hapana.Lakini kwa kutumia teknolojia za kisasa na utaalam wa hali ya juu katika kuangalia historia tunapata kufahamu mambo yaliyokwepo muda mrefu uliopita kama vile uwepo wa dunia tangu miaka bilioni 3 iliyopita,uwepo wa dinosaria miaka milioni 200 iliyopita n.k unapotaka uambiwe wamelijuaje hilo nawe uwe tayari kukaa ufundishwe uelewe na si kupinga kabla hujaelewa mambo yanaendaje
 
Nimefurahi umekiri kwamba hujui na umeomba kupatiwa maelezo,Sasa kwa kifupi kuna mengine mengi ambayo huyajui na kabla ya kuhoji au kufikia muafaka ni heri ukaomba upatiwe maelezo kwanza
Nasubiri jibu la maswali niliyo kuuliza.

Tuendelee ....
 
Unapo ambiwa Sayansi ya anga ni uongo na ukainasibisha na Jua, inaonekana huelewi vitu hivi viwili havina mahusiano kabisa.

Inakuwaje usema kama Sayansi ya anga ni uzushi basi Jua nalo halipo ? Ulifikiria kweli ? Kwa kuhoji huku au kufikiria kwa mtindo huu, kunaonyesha wazi kabisa mna uwezo mdogo sana wa kuhoji na kufikiria mambo bali huwa hamfikirii na kama mnafikiria basi mnakosea katika kufikiria. Jua lipo hata kabla ya Sayansi kuwepo.

Mwezi na nyota vipi visiwepo wakati tunaviona mzee ?? Sidhani kama kuna mwanasayansi aliye wahi kuielezea Dunia na chanzo cha Ulimwengu akapatia, HAKUNA.
Unaelewa Sayansi hususani sayansi ya anga maana yake nini? Sayansi hiyo ya ànga unayoiita ya uzushi ndiyo iliyokufundisha kuwa hilo jua ni nyota na zile zinazowaka usiku ni nyota! Kama ni uzushi inamaanisha kinyume na unavyoamini
 
Nakubaliana na wewe kuwa kuhoji ni swala muhimu ila kuna mambo ya kuhoji mpaka karne hii bado unahoji dunia kuzunguka jua!? Huo muda tulishaupita sasa tafiti zinazofanywa ni kubwa zaidi.
Huo muda umeupita wewe ila wachunguzi wa mambo na wanasayansi wakubwa hawakulikalia kimya jambo hili, lazima marekebisho yawekwe na ukweli utawale.,nakuu :

Lincoln Barnett (1909-1979CE) wrote in his book: “The Universe and Dr.
Einstein” (with a forward by Einstein himself), “... for we cannot feel our
motion through space; nor has any physical experiment ever proved that the
earth actually is in motion.”

Stephen Hawking wrote: “Although it is not
uncommon for people to say that Copernicus proved Ptolemy wrong, that is
not true... one can use either picture as a model of the universe, for our
observations of the heavens can be explained by assuming either the earth
or the sun to be at rest.”

Sasa wewe unae sema yamepitwa na wakati wakati bado yanaenezwa na kufanyiwa kazi, inabidi utueleze wapi yamepitwa na wakati ?
Teknolojia inabadilika na yale yaliyoonekana hayawezekani sasa yanawezekana! Siku si nyingi space x wamepeleka falcon 9 kwenye orbit ambapo wanaweza kuiona dunia ikiwa round lakini jiulize kuna mtu bado atakwambia dunia ni flat 🤣🤣🙌🙌
Umehakikisha vipi kama hizi habari ni za kweli, au unapenda kusikia tu bila kuhoji na unapenda kuona tu kuzingatia ?

Sayansi ina ngano zake na visasili vyake na haya mambo ya Space X ni miongoni mwayo bali ni muendelezo wa uongo a yale maigizo yaliyo fanyika A51 katika kituo cha NASA, leo hoi naona anakuzwa Elon Musk na kampuni yake ya Space X, wanapeana vijiti tu,kuwasimuloa story nzuri zenye kuvutia.
 
Unaelewa Sayansi hususani sayansi ya anga maana yake nini? Sayansi hiyo ya ànga unayoiita ya uzushi ndiyo iliyokufundisha kuwa hilo jua ni nyota na zile zinazowaka usiku ni nyota! Kama ni uzushi inamaanisha kinyume na unavyoamini
Jua siyo nyota, jua ni jua ni jua na nyota ni nyota.

Naijua.
 
Narudia kukushauri kuuliza maswali yenye uzito zaidi ukiwa kama mtu aliyesoma physics japo kidogo huwezi kuuliza maswali yaliyoulizwa karne ya 8 huko 🤣🤣🤣 kuna mambo yanahitaji logical reasoning wewe unaona kuna jua,dunia,mwezi,majira ya mwaka,usiku,mchana na unafahamu kabisa teknolojia inavyokua na bado unahoji swali kama hilo karne hii 🤔🤔🤔
Kijana naona hii kazi huiwezi, unaleta story tu, hivi kati ya maswali mepesi na magumu yapi mtu anaweza kujibi kwa haraka na kwa wepesi ? Jibu ni maswali mepesi, sasa inakuwake maswali yangu hujibu?

Sasa acha utoto na usipoteze muda.
 
Kama mambo ni hivi je kama hakukuwa na space mbona baada ya big bang hayo mavitu yaliyoripuka yakatengana na kila kitu kukaa pahala pake ?

Unadhani bila space kuwepo big bang ingetokea au mavitu yangrkuwa yamejishikia tu kwa sababu hayana pa kuripukia na kujitawanya ?
Space na muda ambavyo kwa pamoja vinaunda 4 dimension vilianza baada ya bing bang.kuna kitu kinaitwa causality ambapo ili jambo liwepo ni lazima kuna kisababishi au mfululizo wa matukio ambayo frame yake ni muda yawepo.space na muda ni vitu vinavyoenda sawia kwa hiyo space iliundwa na time na kama ulivyosema matukio yote yaliyofuata yalifanyika ndani ya space
 
Jaribu kutuliza kichwa
Unaelewa Sayansi hususani sayansi ya anga maana yake nini? Sayansi hiyo ya ànga unayoiita ya uzushi ndiyo iliyokufundisha kuwa hilo jua ni nyota na zile zinazowaka usiku ni nyota! Kama ni uzushi inamaanisha kinyume na unavyoamini
 
Back
Top Bottom