plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,395
- 1,439
- Thread starter
- #41
Universe imebeba vyote. Labda tuanze kwenye hii Solar system yetu kuna Jua (Sun) na sayari nane, ukiachilia mbali ile ya Pluto, pia kuna nyota na small black holes.Sorry what is universe in its real meaning... What's the different between galaxy, world and earth
Jr[emoji769]
Mbali na hii solar system yetu kuna nyota zingine zenye gravitation kubwa nazo zinauwezo wa kutengeneza solar sytem nyingine na kuna sayari zingine pia zinazizunguka. Kuna nyota nyingine ni kubwa zaidi ya "The Sun". Sasa mkusanyiko wa hizo solar system zinashikiliwa na a large massive thing called a Black Hole. Sasa hiyo Black hole inakuwa at the centre na ndiyo inashikilia vyote inatengeneza kitu kinaitwa Gallaxy. Gallaxy yetu inaitwa Milk Way.
Sasa Gallaxy pia zipo nyingi zenye tabia tofauti tofauti. Mkusanyiko wa Gallaxies tunapata kitu kinaitwa Cluster.
Cluster na zenyewe zipo nyingi, mkusanyiko wake tunapata kitu kinaitwa Super Cluster. Mkusanyiko wa Super Clusters tunajipata ndani ya anga kubwa ndiyo linaitwa Universe.
Ukija kwenye maswala ya kiroho inasadikika mbingu ya kwanza na ya pili zipo ndani ya universe. Anga la kwanza hadi la saba pia ni ndani ya universe. Nje ya universe ndiyo sijui, japo wanasayansi wanasema bado kuna Multverse, yaani mkusanyiko wa Universes.