safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,312
- 18,177
Kiufupi nao hawana majibu ya maswali mengi tu.The same can be said to the big bang kwamba ndo mwanzo.
Kiufupi nao hawana majibu ya maswali mengi tu.The same can be said to the big bang kwamba ndo mwanzo.
Ukishaenda future ukirudi haitakuwa future tena Itakuwa ur past [emoji23]Hii theory ya Time Travel inamaanisha kwenda kabisa past ukayaone maisha yalivyo, mfano ukienda past ukamuua babu yako maana yake ukirudi kipindi hiki hautaexist, ukienda future vilevile utajiona ulivyo in future, ukirudi now utajua namna ya kufanya ulibadilishe future uliyoiona n.k n.k
Mpango wa Time Travel wanang'ang'ana nao kwa sababu hiyo.
Hii theory kwenye movie flan "the flash" imeelezewa hii.Wanasema huko nje kuna Multverse yaani universe zipo nyingi halafu zimejipanga parallel. Albert Einstein aliwahi kuja na Theory moja inadai kwamba kuna Features tunaweza kuziona huku duniani lakini source yake sio huku duniani au kwenye universe yetu. Nitatoa mifano miwili.
1. Satellite za NASA zilipopita juu ya bara la Antactica ziliface high electrons zinazotokea duniani eneo lile. Lakini walipochunguza wakaona hakuna source ya electrons pale. Wakahisi huenda electrons zile zinatokea kwenye universe nyingine ambayo iko parallel na yetu.
2. Ukienda sehemu ambayo hujawahi kwenda kabisa. Lakini nafsi inakuambia kabisa hapo uliwahi kufika na unapafahamu. Theory hiyo inadai huenda wewe huyo huyo unaishi universe nyingine na umefika hilo eneo. Pia Theory inadai mtu mmoja unaweza kuishi kwenye parallel universe huku ukawa Polisi. Kule kwenye universe nyingine wewe ni Daktari, kwenye nyingine tena wewe ni Raisi wa nchi. Ila katika different parallel universes.
Very interesting aisee..Ndo wametoa hiyo idea kwenye hii concept
go deep kidogoVery interesting aisee..
Ndo mana naamini kwamba ukijiona upo duniani tu basi jua wewe utaishi milele.
Hata vitabu vinasema kila nafsi itaonja umauti.
Ukiskia neno kuonja maana yake kuna zaidi ya kuonja.
Hivyo kuna zaidi ya huo umauti ambao tutauonja.
Wakati huohuo nafsi tena zitaishi milele na mwili ndo utakufa, yani tunavurugwa hatari.Very interesting aisee..
Ndo mana naamini kwamba ukijiona upo duniani tu basi jua wewe utaishi milele.
Hata vitabu vinasema kila nafsi itaonja umauti.
Ukiskia neno kuonja maana yake kuna zaidi ya kuonja.
Hivyo kuna zaidi ya huo umauti ambao tutauonja.
Unaweza kunisaidia kwenda huko deepgo deep kidogo
Huko ambako siko universe ni wapi ?
unknownHuko ambako siko universe ni wapi ?
Hapa ndo naona sayansi nayo haiwezi kutupatia majibu ya maswali mengi tu.unknown
sisi kwenye hii dunia ni wagen tu pia na life span yetu ni ndogo sanaHapa ndo naona sayansi nayo haiwezi kutupatia majibu ya maswali mengi tu.
Wale wasioamini Mungu wanasema kuna maswali hayajibiki kwa mungu.
Wakati huo huo kuna maswali wanasayansi hawawezi kuyajibu sasa hukuti wanasema hawaamini sayansi kwa kuwa kuna maswali hayajibiki katika sayansi
Inawezekana upo sahihi..maana naamini kua ni nyota kubwa ndo sbb mwanga wake bado mkali..na inasemekana inazid kukua kwahvo kuna mda utafika jua nalo litakua dogo ka nyotaNyota tunazo ziona juu nyingi zimesha kufa miaka mingi sana tulicho salia ni kuona mwanga wa nyota ambao bado upo safarini
Basi kama ni hivyo maana yake universe inatanukia kwenye universe nyingine kwa sababu zipo nyingi au sio ?Zipo universe nyingine of different nature and laws.
''To understand the secret of the universe, think in terms of energy, vibration and frequency'' Nikola Tekiaje