Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

Mwanga unakuwezeshaje kukiona kikombe?
Kwa nini macho yako yasijeneriti mwanga uweze kukiona kikombe gizani?
Mwanga unao generate taswira huwa nje ya macho si ndani,macho yanapo contact na mwanga ndo process ya sight ina activate
 
Yes mkuu.

Mimi ninachoamini kuwa muda ni mambo ya watu tu.

Ila nyakati zipo,na hatuwezi kuelezea nyakati bila tukio.
Hapa sijakuelewa kidogo, embu weka mifano na mwelezo ya ziada.
 
Unajua haya mambo yanaelezewa vizuri sana kiimani (Kwahiyo ikitokea ukayakataa maelezo ya kiimani juu ya maumbile basi ujue unaukataa ukweli wazi wazi) kuliko wafanyavyo Wanasayansi.

Mathalani suala la muda, chanzo cha ulimwengu na mengine.
 
Kusipokuwa na jua,mwezi,nyota ,moto,taa,umeme embu toka hapo generate hayo macho usipapase kitu ukaguse fremu ya dirisha la duka hapo nje tuone?
Yaani katika vitu naonaga ni uwongo mweupe ni hiyo kitu ya kuambiwa "jicho halijenereit mwanga bali mpaka mwanga from the source of light uje uakisiwe ndo jicho lione"
 
Unaelewa kwamba waliokutangulia wangefikiri kama unavyofikiri wewe hivyo, leo hii usingekuwa na internet ya kuweza kuandika hiki ulichoandika huko ulikoandika, halafu mimi nikaona huku nilipo, kupitia simu yangu?

Unaelewa kwamba hesabu zilizotumika katika kujua utafiti wa mambo ya anga, zimetusaidia kurusha satellite angani na kutupa internet?
Satellite my foot...they are only underground cables acha sound mzee
 
We click hapo kuna mdau anaota jicho linagenerate mwanga
Nimeona halafu hatuelezi lina generate vipi huo mwanga. Lakini pili akili ina kataa, iweje jicho litengeneze mwanga halafu ndiyo lione, kwani jicho ni nini hasa ? Sijui kama amejiuliza hili ?

Jicho ni kwa ajili ya kuona, kwahiyo kuna hali ambayo ikiwepo ndiyo jicho linaona, kinyume chake haliwezi kuona.
 
Unajua haya mambo yanaelezewa vizuri sana kiimani (Kwahiyo ikitokea ukayakataa maelezo ya kiimani juu ya maumbile basi ujue unaukataa ukweli wazi wazi) kuliko wafanyavyo Wanasayansi.

Mathalani suala la muda, chanzo cha ulimwengu na mengine.
Sayansi inatumika sana upande wa giza tufike new world order tupigwe chip tuchomwe moto biashara iishe
 
Back
Top Bottom