Mkaa wa mawe
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 5,055
- 7,491
Mkuu Sidhani kama spacex wanajihusisha na mambo ya telescope.Telescope za NASA au SpaceX zimefanikiwa kuona maeneo mengi sana na ya many light years ndo ufike. Itakuwaje zenyewe zione hayo maeneo kwa mda mfupi wakati bado mwanga still unasafiri, na tunajua tangu uumbaji, piga ua garagaza hiyo miaka 93 Billion light years hatuna. Hapo ndipo nilipogundua kumbe Universe yetu ni ndogo sana. Au unawezekana speed of light ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri.
Pia tukirudi kwenye mada hapa wewe ndio umejichanganya.
Hizo 93 billion light years ndio muda uliotumika huo mwanga kusafiri mpaka kufika hapa.
Means huo mwanga hizo telescope zinaona sasa hivi una 93 billion light years.
Hence hiyo inaprove universe ni kubwa kupita kiwango ambacho ni kwa asilimia kubwa ni impossible kwa watu wengi kuweza imagine.
Time travel hauhusiani na ukubwa wa universe wala udogo wake.1. Kama universe yetu ni ndogo basi hatutaweza kwenda future au past
Time travel ni kitendo cha kutravel ndani ya vipindi fulani tofauti ndani ya muda.
Hivyo universe haihusiki kivyovyote.
Ndani ya 3D space kwa asilimia kubwa ni impossible kufanya time travel ila itawezekana only kama theory ya multiverse ni possible au ni kweli.
Or kama itawezekana kupata access ya higher dimensions maybe ndani ya 5dimension utaweza kufanya time travel sababu utakuwa uko nje ya 3d space na fourth dimension ambayo ni Time or space-time kwa pamoja hence utaweza kutravel through different points in time.
So hiyo inamaanisha time travel haina uhusiano wowote na ukubwa au udogo wa universe.