Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
- Thread starter
- #81
sasa wewe hilo usijali
mradi wamekosea kukusoma,wapotezee
but naona kama kuna kitu unazungumza hapa..
ni kama wamekuchukulia pooa sana,hawajakuja kwa heshima unayostahili...is it?
Exactly! mimi nina udhaifu wa kulet people in, ni mtu matani and i'm all about loving life so i have this easiness about me kwahiyo watu wananichukulia poa which is not bad but wanavuka mipaka at times