Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
- Thread starter
- #61
Huo ni ushujaa bana.....!
Ushujaa wa kuvua pichu labda
Huo ni ushujaa bana.....!
BAK nakubali hata mdada inaweza tokea kuanguka kwa rafiki wa muda mrefu lakini kuna rank ya urafiki na mazoea ambapo mtu anatoka kwenye urafiki anakuwa kama 'kaka'
sasa kaka anapoanza 'kengeuka' kwa hisia, it's sad.
Fika huwezi msaidia, na hutaki mpoteza maana hata familia zenu zinafahamiana.
Waweza vunja urafiki, lakini why??
It's sad!
Mtambuzi, wala siharibu, lakini ni kitu nimekiona jana na leo na bado cha moto kichwani.
pole ED, ndo walivyo asilimia kubwa.
Hata ukidhani ni nyoka wa maonesho, kuna siku linataka kuonja viunga.
Pole mamaa. Inatokea all the time, ni afadhali umemkataa uadui wake sio sawa na mngekuwa wapenzi afu mkakosana. Mapenzi huhaeibu urafiki. He is a grown up, he will get over it. Mpe muda tu, urafiki utarudi japo si katika level ilw tena.
BAK nakubali hata mdada inaweza tokea kuanguka kwa rafiki wa muda mrefu lakini kuna rank ya urafiki na mazoea ambapo mtu anatoka kwenye urafiki anakuwa kama 'kaka'
sasa kaka anapoanza 'kengeuka' kwa hisia, it's sad.
Fika huwezi msaidia, na hutaki mpoteza maana hata familia zenu zinafahamiana.
Waweza vunja urafiki, lakini why??
It's sad!
Mtambuzi, wala siharibu, lakini ni kitu nimekiona jana na leo na bado cha moto kichwani.
ha haaa but na wewe ukijisikia kunipa usione haya lol
Ha ha ha afu kweli shuti unabadilisha nguo mbele ya joka la maonesho, kumbe lenyewe linakulia timing kurusha mate
Miaka kadhaa ya kutosha...........halafu hili suala limekuwa sugu linajitokeza mara kwa mara
wewe hujanielewa i guess
mimi napinga wao kukasirika wewe kuwakataa
sipingi wao kukutongoza
walichotakiwa kufanya ni kukubali wamekukosa
na maisha yaendeleee.....
Ushujaa wa kuvua pichu labda
Pole mamaa. Inatokea all the time, ni afadhali umemkataa uadui wake sio sawa na mngekuwa wapenzi afu mkakosana. Mapenzi huhaeibu urafiki. He is a grown up, he will get over it. Mpe muda tu, urafiki utarudi japo si katika level ilw tena.
Nishakusoma..........ishu kwanini atongoze isipo lazima kwa kusoma ovyo hisia zako na si kwamba amekudondokea kivileee ni kuwa tu ashajua your vulnerability
..Ndo hapo shetani naye akatae kupita lol!...halafu huyo rafiki mko ofisi moja au ofisi za jirani.
Ninavyofahamu mimi, shujaa ni yule mwenye ujasiri wa kuthubutu, sasa kama mtu unathubutu hilo ni kosa? kumbuka katika kuthubutu kuna kufanikiwa na kutofanikiwa, lakini kutofanikiwa ni hatua muhimu kuelekea katika kufanikiwa kwani hapo mtu unakuwa umejifunza somo kubwa maishani............
Na somo hilo litakusaidia kutorudia kosa siku nyingine utakapokuwa unathubutu.....LOL
he he he, hatuko ofisi moja ila eti hali halali kwa kuniwaza mie.
Akiniwaza tu anamaliza kichane cha ndege.
Uzuri hajasema kama ameoteshwa.