Unapojali watu...

Kwani urafiki wenu una mda gani?
Sawa hiyo haikataliwi lakini kwakuwa nikaribu na mhusika nimesoma kabisa kuwa huyu hakuwa na sababu za ukweli na uzito kuleta mapenzi ni kuwa tu ameona ile care and attention unampa hivyo akawaimislead kuna ziada, mfano atasema huyu mdada ananisikiliza kwenye simu hata kwa zaidi ya masaa 2 na hunipa maneno mazuri ya faraja na kunitia nguvu pia hunieleza kwa hali ya ukweli wa moyo wake basi hudhani ile bond mliyojenga ni kitu kingine kumbe its simply that kuwa ni moyo wako kuwa uko wazi na wa ukweli basi hudhani ana access ya kutumia vibaya ule moyo wako
 
dah, yaani umeniwahi tu
japo sikupanga kuanzisha sred

mie kuanzia jana nimehakiki, hakuna urafiki kati ya mke na mme.

Rafiki wangu wa high skul, jana kaanza kuniangalia kwa macho ya paka atazamavyo samaki.

Na mwingine co-worker wa miaka 5, leo anaongea makopa kopa! Dunia ina maajabu.

Nikasema ptuuuuu!
A hungry man is a dangerous man!

Mnatuharibia sasa..... Ukisikia umbea ndo huo......
 
@Kongosho hii iko pande zote mbili, hata mdada anaweza kabisa kujilengesha kwa "rafiki" ambaye wanaelewana sana kwa kudhani kwamba wakiwa wapenzi basi mapenzi yao yatashamiri sana, wakati mwingine mapenzi hushamiri na wakati mwingine kuwa ni disaster ya hali ya juu hata kuharibu urafiki uliokuwepo kabla.

dah, yaani umeniwahi tu
japo sikupanga kuanzisha sred

mie kuanzia jana nimehakiki, hakuna urafiki kati ya mke na mme.

Rafiki wangu wa high skul, jana kaanza kuniangalia kwa macho ya paka atazamavyo samaki.

Na mwingine co-worker wa miaka 5, leo anaongea makopa kopa! Dunia ina maajabu.

Nikasema ptuuuuu!
A hungry man is a dangerous man!
 

Sijui ni mimi ninayesemwa hapa......! LOL


black-couple-at-lunch.jpg

Ha ha ha................. Mtambuzi na wewe unawadekshia mabeste wako?
 
Last edited by a moderator:
Kwanza Mwanaume kukasirika na kuvunja urafiki
sababu ya kunyimwa k ni ushamba mno
ukiona mtu anakununuia sababu hiyo ujue tu ni mshamba na hastahili kupewa

angekuwa mjanja asingenuna na angeendeleza urafiki
na kutafuta kifaa kingine

Naombea uwe rafiki yangu The Boss unaonyesha hunaga hizo za kishamba.........
 
Last edited by a moderator:
Kuwakaribu na watu na kuwatendea mema na upendo :-
(Sio vibaya endelea kuwa who you are waki-misinterpret your caring that's their problem)

Marafiki / watu wa karibu kukutaka kimapenzi:-
Sio vibaya wala hawana kosa, its natural.. cha muhimu ni kuwaambia kwamba wewe haupo tayari na mahusiano hayo, na kama ni marafiki wa kweli wataacha kukughasi (its easier kwa watu ku-fall kwa watu walio karibu nao) so longer as hawavuki mipaka there is no harm...

Kumbuka...
Ni rahisi sana kwa mapenzi kutokea baada ya watu kuwa marafiki.., lakini ni vigumu sana watu kuwa marafiki baada ya kuwa wapenzi.. (hivyo be careful kama hauna uhakika na yeyote kati ya hao ni vema kwa wote kutoingiza mapenzi kwenye urafiki wenu) tena kama ni wafanyakazi wenzako hii inaweza ikawa recipe for disaster...

After all kama huwa ni rafiki na mcheshi kwa kila mtu atakayeona unajipendekeza atakuwa amedondoka kutoka dhama za kale
 
Je umeolewa?kama haujaolewa mi nadhan aliyekutongoza alipenda ukarimu wako kwake,thus why akaona si vibaya kama mtakua mme na mke,alijaribu kueleza hisia zake,sio mbaya tukafaamu wema uliokua unawatendea ili kupima kama wema huo unaweza kumvuta mtu karibu,nashindwa kupata picha ni aina gan ya wema

Sio wema wa Wema Sepetu..........ha ha ha..............just kindness.........lol
 
BAK nakubali hata mdada inaweza tokea kuanguka kwa rafiki wa muda mrefu lakini kuna rank ya urafiki na mazoea ambapo mtu anatoka kwenye urafiki anakuwa kama 'kaka'

sasa kaka anapoanza 'kengeuka' kwa hisia, it's sad.

Fika huwezi msaidia, na hutaki mpoteza maana hata familia zenu zinafahamiana.
Waweza vunja urafiki, lakini why??

It's sad!

Mtambuzi, wala siharibu, lakini ni kitu nimekiona jana na leo na bado cha moto kichwani.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom