Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Nimeshindwa mtu wa kuzungumza naye kuhusu hili sababu naona linanizidi kidogo na kuni overwhelm kwa namna flani sababu limenitokea mfululizo
Namjali kila moja kwa jinsi ninavyoweza na pia huwaeshimu kwa kuwachukulia ni kwanza ni binadamu wenzangu na pia ni kama marafiki pia kwasababu mazingira ya kazi yametufanya tuwe pamoja kila siku au matukio fulani yalituunganisha njia zetu.
Lakini ndugu hawa kwasababu nawaonyesha upendo wa hali ya juu ambao hawakudhani wataupata kwa dada mimi bila kutegemea chochote kutoka kwao basi wao wakasoma tofauti na kudhani kuna hisia za mapenzi ya ziada na kuanza kujaribu kuchombeza na pale ninapowaeleza kuwa hivi ndivyo jinsi nilivyo na hakuna ziada zaidi ya upendo wa kibinadamu hutahayari na kushtuka kuwa mahusiano yetu hayatakuwa kama mwanzo.
Niache kujali? niache kuwa binadamu mwema kwa wenzangu kwa kuhofia kero za kutongozwa na kuharibu mahusiano niliyoya cherish? Ni vipi unashindwa kuthamini pendo lisilohusisha ngono?
Namjali kila moja kwa jinsi ninavyoweza na pia huwaeshimu kwa kuwachukulia ni kwanza ni binadamu wenzangu na pia ni kama marafiki pia kwasababu mazingira ya kazi yametufanya tuwe pamoja kila siku au matukio fulani yalituunganisha njia zetu.
Lakini ndugu hawa kwasababu nawaonyesha upendo wa hali ya juu ambao hawakudhani wataupata kwa dada mimi bila kutegemea chochote kutoka kwao basi wao wakasoma tofauti na kudhani kuna hisia za mapenzi ya ziada na kuanza kujaribu kuchombeza na pale ninapowaeleza kuwa hivi ndivyo jinsi nilivyo na hakuna ziada zaidi ya upendo wa kibinadamu hutahayari na kushtuka kuwa mahusiano yetu hayatakuwa kama mwanzo.
Niache kujali? niache kuwa binadamu mwema kwa wenzangu kwa kuhofia kero za kutongozwa na kuharibu mahusiano niliyoya cherish? Ni vipi unashindwa kuthamini pendo lisilohusisha ngono?