Unapojali watu...

Elizabeth Dominic

Platinum Member
Dec 7, 2007
4,555
3,649
Nimeshindwa mtu wa kuzungumza naye kuhusu hili sababu naona linanizidi kidogo na kuni overwhelm kwa namna flani sababu limenitokea mfululizo
Namjali kila moja kwa jinsi ninavyoweza na pia huwaeshimu kwa kuwachukulia ni kwanza ni binadamu wenzangu na pia ni kama marafiki pia kwasababu mazingira ya kazi yametufanya tuwe pamoja kila siku au matukio fulani yalituunganisha njia zetu.
Lakini ndugu hawa kwasababu nawaonyesha upendo wa hali ya juu ambao hawakudhani wataupata kwa dada mimi bila kutegemea chochote kutoka kwao basi wao wakasoma tofauti na kudhani kuna hisia za mapenzi ya ziada na kuanza kujaribu kuchombeza na pale ninapowaeleza kuwa hivi ndivyo jinsi nilivyo na hakuna ziada zaidi ya upendo wa kibinadamu hutahayari na kushtuka kuwa mahusiano yetu hayatakuwa kama mwanzo.
Niache kujali? niache kuwa binadamu mwema kwa wenzangu kwa kuhofia kero za kutongozwa na kuharibu mahusiano niliyoya cherish? Ni vipi unashindwa kuthamini pendo lisilohusisha ngono?
 
...Usiache kujali, kutongozwa kwa mwanamke ni jambo la kawaida sana lakini si kila anayekutongoza lazima umkubalie ni kiasi cha wewe kumuelewesha tu kwamba hupendi kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na huyo muhusika kwa sababu moja au nyingine wengi watakuelewa na kuacha madodoso yao ya kukutongoza.

Nimeshindwa mtu wa kuzungumza naye kuhusu hili sababu naona linanizidi kidogo na kuni overwhelm kwa namna flani sababu limenitokea mfululizo
Namjali kila moja kwa jinsi ninavyoweza na pia huwaeshimu kwa kuwachukulia ni kwanza ni binadamu wenzangu na pia ni kama marafiki pia kwasababu mazingira ya kazi yametufanya tuwe pamoja kila siku au matukio fulani yalituunganisha njia zetu.
Lakini ndugu hawa kwasababu nawaonyesha upendo wa hali ya juu ambao hawakudhani wataupata kwa dada mimi bila kutegemea chochote kutoka kwao basi wao wakasoma tofauti na kudhani kuna hisia za mapenzi ya ziada na kuanza kujaribu kuchombeza na pale ninapowaeleza kuwa hivi ndivyo jinsi nilivyo na hakuna ziada zaidi ya upendo wa kibinadamu hutahayari na kushtuka kuwa mahusiano yetu hayatakuwa kama mwanzo.
Niache kujali? niache kuwa binadamu mwema kwa wenzangu kwa kuhofia kero za kutongozwa na kuharibu mahusiano niliyoya cherish? Ni vipi unashindwa kuthamini pendo lisilohusisha ngono?
 
...Usiache kujali, kutongozwa kwa mwanamke ni jambo la kwaida sana lakini si kila anayekutongoza lazima umkubalie ni kiasi cha wewe kumuelewesha tu kwamba hupendi kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na huyo muhusika kwa sababu moja au nyingine wengi watakuelewa na kuacha madodoso yao ya kukutongoza.

Tatizo si kuwakatalia ni pale unapokuwa umejenga aina ya uhusiano na mtu naye kuharibu kwa kusoma vibaya jinsi unavyomjali, ni kama hakutegemea au kuthamini ule upendo na heshima unayompa naye kugeuza hayo kama vile ulimtaka......................hakuwa na lazima ya kunitaka lakini anasukumwa na mawazo yake potofu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kwa ufupi mwanume yeyote rijali
ambae umeshaamua kuwa 'hutampa'
kaa nae mbali
kuepusha yoote haya

Nikae mbali na wafanyakazi wenzangu, nikae mbali na rafiki wangu wa muda mrefu, nikae mbali na niliyeamini ni mshauri wangu wa kiroho.............yaani its terrible
 
Nikae mbali na wafanyakazi wenzangu, nikae mbali na rafiki wangu wa muda mrefu, nikae mbali na niliyeamini ni mshauri wangu wa kiroho.............yaani its terrible

Nikwambie kitu
mwanaume hatongozi bahatimbaya
probably toka mwanzo alipanga kukutongoza
sasa keshakutongoza na umekataa
basi kubali kuwa mahusiano yamebadiilika
funga vioo tu sasa,bila kujali ni nani
 
...Hili unalosema ni kweli kabisa. Wakati mwingine kujali kwako na kumheshimu muhusika kunaweza kuonekana kama vile ungependa kuwepo na uhusiano zaidi ya ule ambao tayari upo kati yenu. Jaribu tu kumuelewesha labda atakuelewa na mkabaki na uhusiano ambao wewe unaoutaka na siyo ule wa kimapenzi ambao muhusika anataka uwepo kati yenu.

Tatizo si kuwakatalia ni pale unapokuwa umejenga aina ya uhusiano na mtu naye kuharibu kwa kusoma vibaya jinsi unavyomjali, ni kama hakutegemea au kuthamini ule upendo na heshima unayompa naye kugeuza hayo kama vile ulimtaka......................hakuwa na lazima ya kunitaka lakini anasukumwa na mawazo yake potofu
 
Usipende watu kwa kuwa karibu nao sana, unapaswa kupenda kwa kuheshim ili watu wasikuone unahisia nao na kukutongoza. Labda ufanye hivo kwa wanawake utaeleweka. Fanya wanaume wakuheshmu kama dada. Mama huruma we- ukimpenda mwanamume na K Mpe vinginevo jua wewe si shangaz yake asikutongoze. Halafu labda we mtoto mzuri ndo mana
 
Nikwambie kitu
mwanaume hatongozi bahatimbaya
probably toka mwanzo alipanga kukutongoza
sasa keshakutongoza na umekataa
basi kubali kuwa mahusiano yamebadiilika
funga vioo tu sasa,bila kujali ni nani

Duh! kwakweli lakini inaniachia simanzi na leo ndio kabisa moja nimemuita na kumkanya kwasababu ameharibu mahusiano hata ya kikazi kwa kuvuka mipaka sasa kaniacha hoi kwa kunieleza yuko radhi kibarua kiote nyasi, i'm really uncomfortable right now kwakuwa he is on my face like everyday
 
...Hili unalosema ni kweli kabisa. Wakati mwingine kujali kwako na kumheshimu muhusika kunaweza kuonekana kama vile ungependa kuwepo na uhusiano zaidi ya ule ambao tayari upo kati yenu. Jaribu tu kumuelewesha labda atakuelewa na mkabaki na uhusiano ambao wewe unaoutaka na siyo ule wa kimapenzi ambao muhusika anataka uwepo kati yenu.

Moja nimemueleza, mwengine sijui hata kwa kuanzia kwani huyo nilimchukulia kwa namna ya pekee na ndiye aliyekuwa my confidant ebu can you imagine?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Duh! kwakweli lakini inaniachia simanzi na leo ndio kabisa moja nimemuita na kumkanya kwasababu ameharibu mahusiano hata ya kikazi kwa kuvuka mipaka sasa kaniacha hoi kwa kunieleza yuko radhi kibarua kiote nyasi, i'm really uncomfortable right now kwakuwa he is on my face like everyday


huna jinsi
funga vioo tu sasa
 
Wnaume vimbe wazitooo hao, hawabebeki! UKIWAPA MRAHISI, CHA WOTE, MAHARAGE YA MBEYA!!! UKIWANYIMA UMEWADHARAU! UMEWAONA MIZOMBIII! UJIFANYA UKO JUU, MSHAMBA!. Inshort wanaume HAWANA JEMAAA! We unaeamua KUMPA mpee, USIETAKA BAAAAAASS! LAWAMA HAZIISHI!!!
 
Wnaume vimbe wazitooo hao, hawabebeki! UKIWAPA MRAHISI, CHA WOTE, MAHARAGE YA MBEYA!!! UKIWANYIMA UMEWADHARAU! UMEWAONA MIZOMBIII! UJIFANYA UKO JUU, MSHAMBA!. Inshort wanaume HAWANA JEMAAA! We unaeamua KUMPA mpee, USIETAKA BAAAAAASS! LAWAMA HAZIISHI!!!

Halafu ukiwanyima wanakugeuza adui na huku mlikuwa mabeste...............hata sielewi
 
Chuna kama unaona wanakusumbua au kukuchukulia kama open cheque. Kwa ufupi watu wanaodhani unawachombeza hawana maana. Hatuwezi kwa kufikiri kingonongono. Muhimu wape live kuwa wewe unajiheshimu na kupenda watu bila ujira. Wakizidi wambie una mchumba nadhani hii itakata nyodo na umbea.
 
Halafu ukiwanyima wanakugeuza adui na huku mlikuwa mabeste...............hata sielewi

Hahahaaaa! Hasira za MKOSAJI HIZO!!! Yaani aone KIDUDE kinaliwa na watu wengine, afurahiii tu!!! LOL! Dawa yao moja tu, ukikaa nao toka mwanzo unawatahadharisha una mtu, unampenda sanaaa! Full kuwaringishia! Ukijifanya usiri, wanaona nafasi iko wazi!
 
Chuna kama unaona wanakusumbua au kukuchukulia kama open cheque. Kwa ufupi watu wanaodhani unawachombeza hawana maana. Hatuwezi kwa kufikiri kingonongono. Muhimu wape live kuwa wewe unajiheshimu na kupenda watu bila ujira. Wakizidi wambie una mchumba nadhani hii itakata nyodo na umbea.

Ha ha ha...........ukiwaambia una mchumba ndio wanaongeza maspidi.................lakini imekula kwao wamepoteza rafiki wa kweli
 
Hahahaaaa! Hasira za MKOSAJI HIZO!!! Yaani aone KIDUDE kinaliwa na watu wengine, afurahiii tu!!! LOL! Dawa yao moja tu, ukikaa nao toka mwanzo unawatahadharisha una mtu, unampenda sanaaa! Full kuwaringishia! Ukijifanya usiri, wanaona nafasi iko wazi!

Inabidi nikutafute unifundishe ugaidi.........teh
 
Hapo kwenye Zombiii ndio nooma!

Wnaume vimbe wazitooo hao, hawabebeki! UKIWAPA MRAHISI, CHA WOTE, MAHARAGE YA MBEYA!!! UKIWANYIMA UMEWADHARAU! UMEWAONA MIZOMBIII! UJIFANYA UKO JUU, MSHAMBA!. Inshort wanaume HAWANA JEMAAA! We unaeamua KUMPA mpee, USIETAKA BAAAAAASS! LAWAMA HAZIISHI!!!
 
Back
Top Bottom