Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Exactly! mimi nina udhaifu wa kulet people in, ni mtu matani and i'm all about loving life so i have this easiness about me kwahiyo watu wananichukulia poa which is not bad but wanavuka mipaka at times
Nimekuelewa sasa ED,
Kumbe masikini mko kwenye levels tofauti...Wakati wenzio wanawinda wewe unawachukulia kama watazamaji wenzio...
Pole sana....Kama hauko kwenye mawindo...kaa mbali na wenye silaha zao tena risasi zikiwa kwenye chemba...They will shoot any time without prior notice...Na ndicho kinachokupata!
Babu DC!!