mtaalam wa kuwatoa nduki naona umewasili lol
Miaka kadhaa ya kutosha...........halafu hili suala limekuwa sugu linajitokeza mara kwa mara
hakunaga linyoka la maonesho
huwa yanakusanya nguvu tu.
King'asti, hebu nitafsirie hapa
nshavuta yale makitu.
Nikupe tip moja ya kurahisisha maisha. Hao marafiki zako wa kiume, share nao relationship yako kwenye issues ambazo ziko positive. Muongelee mpenzio, na wakutanishe. Na wakikutaka usipandishe vioo dramatically. Joke around it, mtanie kuwa wewe kimeo kunizidi hata hunifai etc. That way uadui hautakuwa na nafasi, unahitaji tu kuwa muangalifu na mazingira yasimshawishi sana.
Japo wapo maaluni. Nina rafiki tulikutana.comference mbali,tukawa tunawasiliana sana baada ya hapo. Tukakutana in a town kwa miezi miwili akiwa na wanae na wakanizoea hadi mama yao akanijua sana. Afterwards nashangaa ananitaka. Nikamuambia utaharibu urafiki. So huwa namtania unampa lini mkeo talaka nihamie huko kuishi na wanao? Inabidi tucheke tu.
Kuna mkaka wa ofisini alikuwa close na mie, akaanza kunitolea mimacho. Nikajiwekea ulinzi. Nikamtania na kuanza kumuita sweetie mbele za watu na kujitambulisha kama small house yake. Nikamtambulisha hadi kwa Paw wangu kuwa ndo mume mwenzie na nikamuambia na mkewe asihofu namlindia kazini (Paw usisome hapa baba eeh). 4 years later tuko marafiki wa shida na raha, na uwazi wetu unatuaminisha hatutateleza. Na nahakikisha hanisimulii stress za nyumbani kwake na mie stress zangu naweka kando kabisaaa
kujali watu na kuwapenda, ule upendo wa agape siyo mbaya kabisa, na ndo urafiki. mtu hawezi kuwa rafiki yako kama humjali wala kumpenda. lakini matendo yako je yanafanana na mtu anayejali au kupenda kwa agape? au ndo kutega tu watu halafu ndo unasema unawapenda?
Nikupe tip moja ya kurahisisha maisha. Hao marafiki zako wa kiume, share nao relationship yako kwenye issues ambazo ziko positive. Muongelee mpenzio, na wakutanishe. Na wakikutaka usipandishe vioo dramatically. Joke around it, mtanie kuwa wewe kimeo kunizidi hata hunifai etc. That way uadui hautakuwa na nafasi, unahitaji tu kuwa muangalifu na mazingira yasimshawishi sana.
Japo wapo maaluni. Nina rafiki tulikutana.comference mbali,tukawa tunawasiliana sana baada ya hapo. Tukakutana in a town kwa miezi miwili akiwa na wanae na wakanizoea hadi mama yao akanijua sana. Afterwards nashangaa ananitaka. Nikamuambia utaharibu urafiki. So huwa namtania unampa lini mkeo talaka nihamie huko kuishi na wanao? Inabidi tucheke tu.
Kuna mkaka wa ofisini alikuwa close na mie, akaanza kunitolea mimacho. Nikajiwekea ulinzi. Nikamtania na kuanza kumuita sweetie mbele za watu na kujitambulisha kama small house yake. Nikamtambulisha hadi kwa Paw wangu kuwa ndo mume mwenzie na nikamuambia na mkewe asihofu namlindia kazini (Paw usisome hapa baba eeh). 4 years later tuko marafiki wa shida na raha, na uwazi wetu unatuaminisha hatutateleza. Na nahakikisha hanisimulii stress za nyumbani kwake na mie stress zangu naweka kando kabisaaa
Elizabeth Dominic nimeku-pm picha zangu waonyeshe!!!
Dat shud do the trick...af baadaye ukiwa na mmojawapo jus flash me ntakupigia ndo wajue am real!
ucpate shida na mm nipo...
v a lovely day my dia!!![/QUOTE
We Mentor kwani unadhani mtu akijua uko kwenye relationship ndio anaacha? ndio anakuwa kama motivated kuongeza juhudi
hahaha Elizabeth Dominic ushauri wa dada yangu King'asti apo juu unadai uwakutanishe na mpenzi wako wafahamiane. Je inakuwaje kama huna mpenzi? utawakutanisha na nani?
Bottom line mi naona wooote hao hujavutiwa nao kimapenzi tu.....akitokea mmoja akauteka moyo wako mazima bhaaas ushauri wa hapa utakuwa tofauti kidogo
kama walivosema The Boss, Dark City na @FP....angalia saana mazingira unayowajengea...hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu atakayeona shida kujaribu bahati yake. Ni KAWAIDA kabisa
Kuhusu kuharibu urafiki ;ukishamkatalia' ni dhahiri, kasema lara 1 kwamba lazima 'roho iume' kitu kutwaliwa mikononi mwa 'aliyekilea' bila mrabaha!
Morning!
Ha ha ha...........................usimpimie huyu mbabu, eti nimelaumiwa kwa kufungua moyo.....................
kazi kwake sasa ED kama anataka kumpa na dinner, lakini kaombwa, ana haki ya kutoa au kukataa
kujali watu na kuwapenda, ule upendo wa agape siyo mbaya kabisa, na ndo urafiki. mtu hawezi kuwa rafiki yako kama humjali wala kumpenda. lakini matendo yako je yanafanana na mtu anayejali au kupenda kwa agape? au ndo kutega tu watu halafu ndo unasema unawapenda?
....Kufungua moyo si sawa sawa na kufungua zipu.
Source: Elizabeth Dominic
lakini pia asiwakatalie wote,amkubalie japo mmoja awe kinga yake!!!te te te ha ha ha!
Komaa na msimamo wako. Atakuja kuelewa mbele ya safari.
Nikupe tip moja ya kurahisisha maisha. Hao marafiki zako wa kiume, share nao relationship yako kwenye issues ambazo ziko positive. Muongelee mpenzio, na wakutanishe. Na wakikutaka usipandishe vioo dramatically. Joke around it, mtanie kuwa wewe kimeo kunizidi hata hunifai etc. That way uadui hautakuwa na nafasi, unahitaji tu kuwa muangalifu na mazingira yasimshawishi sana.
Japo wapo maaluni. Nina rafiki tulikutana.comference mbali,tukawa tunawasiliana sana baada ya hapo. Tukakutana in a town kwa miezi miwili akiwa na wanae na wakanizoea hadi mama yao akanijua sana. Afterwards nashangaa ananitaka. Nikamuambia utaharibu urafiki. So huwa namtania unampa lini mkeo talaka nihamie huko kuishi na wanao? Inabidi tucheke tu.
Kuna mkaka wa ofisini alikuwa close na mie, akaanza kunitolea mimacho. Nikajiwekea ulinzi. Nikamtania na kuanza kumuita sweetie mbele za watu na kujitambulisha kama small house yake. Nikamtambulisha hadi kwa Paw wangu kuwa ndo mume mwenzie na nikamuambia na mkewe asihofu namlindia kazini (Paw usisome hapa baba eeh). 4 years later tuko marafiki wa shida na raha, na uwazi wetu unatuaminisha hatutateleza. Na nahakikisha hanisimulii stress za nyumbani kwake na mie stress zangu naweka kando kabisaaa
hahaha Elizabeth Dominic ushauri wa dada yangu King'asti apo juu unadai uwakutanishe na mpenzi wako wafahamiane. Je inakuwaje kama huna mpenzi? utawakutanisha na nani?
Bottom line mi naona wooote hao hujavutiwa nao kimapenzi tu.....akitokea mmoja akauteka moyo wako mazima bhaaas ushauri wa hapa utakuwa tofauti kidogo
kama walivosema The Boss, Dark City na @FP....angalia saana mazingira unayowajengea...hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu atakayeona shida kujaribu bahati yake. Ni KAWAIDA kabisa
Kuhusu kuharibu urafiki ;ukishamkatalia' ni dhahiri, kasema lara 1 kwamba lazima 'roho iume' kitu kutwaliwa mikononi mwa 'aliyekilea' bila mrabaha!
Morning!
Wanaume ni wagumu sana kuelewa.. hawana urafiki 'wa kawaida' hata siku moja. Hata akijifanya hana mpango siku moja atakugeuka tu. hawa ni ma - aquitance siku zote.
Halafu usithubutu hata siku moja kutoka na dume la namna hiyo halafu mkapiga kilaji hadi kulewa....
Haki ya nani kesho yake unaweza kukuta mitandao yote iko ON and USED....bila wewe mwenye ku-subscribe...!!
Achana na wanaume wewe!
Babu DC!!
mawazo yake potofu ndio yanayomfanya awaze upumbavu wake lakini wewe kama binaadamu una roho njema na akili zilizo sawa.mwambie ukweli kama haelewi tupa huko kwanini kukaa na mtu ambae haelewi.Tatizo si kuwakatalia ni pale unapokuwa umejenga aina ya uhusiano na mtu naye kuharibu kwa kusoma vibaya jinsi unavyomjali, ni kama hakutegemea au kuthamini ule upendo na heshima unayompa naye kugeuza hayo kama vile ulimtaka......................hakuwa na lazima ya kunitaka lakini anasukumwa na mawazo yake potofu
we eliza wewe utaniudhi kama haelewi anazidi kung'ang'ania tupa kule,vipi kujipatia stress zisizo na msingi tupa hata jalalani uchafu huo.Hiyo nzuri sana na nadhani it can work........................lakini hawa ving'ang'anizi nitatupa kulee............nafungua ukurasa mpya yakija tokea nitatumia mbinu hiyo
Nina experience na wenye macho makavu tena hata hawajalewa..Lakn niliwashinda...usishtuke babu.....